Hakika uanasiasa unamdhalilisha na kumuanika Spika Tulia A. Mwansasu

Hakika uanasiasa unamdhalilisha na kumuanika Spika Tulia A. Mwansasu

Spika Dr. Tulia Ackson Mwansasu, msomi wa kiwango cha Shahada ya Uzamivu kutoka Chuo Kikuu cha Cape Town, Afrika ya Kusini sasa anadhalilishwa na kutwezwa na siasa. Msomi huyu na Mhadhiri wa zamani wa UDSM (mwanangu ambaye kwasasa naye ni Mhadhiri hapo alifundishwa naye) sasa ni dhahiri anazidiwa nguvu na siasa.

Siasa za kisasa zinataka matumizi sahihi ya fani, ujuzi na uzoefu juu ya mambo ambayo mwanasiasa anajihusisha nayo. Hata kwenye michakato ya kuwapata viongozi kwenye mihimili na kwingineko, mambo hayo huzingatiwa. Bunge ni chombo cha kutunga sheria na kuisimamia Serikali. Kinapaswa kuongozwa na mwerevu wa, pamoja na mambo mengine, sheria.

Pamoja na kwamba kwasasa amehama kwenye tasnia ya sheria (alikofika ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali) na kuhamia siasani, Dr. Tulia anapaswa kuwa mfano mwema. Anapaswa kuwaonesha watanzania kuwa taaluma yake ya sheria inatusaidia sote kupitia nafasi ya Uspika aliyonayo. Bado anapaswa kuzungumza kama mwanasheria-kuzungumza facts zaidi ya porojo na hoja kuliko vihoja.

Jambo hili la Mkataba wa DP World ni la kisheria. Sote tulimtegemea tangu Bungeni kulizungumza na kuliongoza kisheria kwa maslahi mapana ya Tanzania yetu. Lakini, siasa ikamzidi nguvu. Akafanya alivyoagizwa kichama na kiserikali badala ya kadiri ya taaluma yake. Bado, huko Mbeya, anaendelea kuliletea porojo, dhihaka na kebehi jambo hili na wale wanaolizungumzia. Siasa inamdhalilisha na kumtweza.

Katika mifumo ya kiintelijensia na kiutawala, sisi wabobevu wa mambo ya kiuongozi huwa tunaamini kuwa yeyote anayepewa chochote asichostahili au bila kutegemea, huyo huwa mnyenyekevu hadi kuwa mbovu. Anayestahili akipata husimama imara. Kukosa sifa huleta woga. Huleta kutojiamini. Hukufanya kuangalia pande zote kila mara. Huleta 'utumwa' wa kifikra.

Rais Samia, maoni yako ni yapi kuhusiana na Mkataba wa DP World?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mzee hongera sana kwa kuvumilia hapo Lumumba
 
Spika Dr. Tulia Ackson Mwansasu, msomi wa kiwango cha Shahada ya Uzamivu kutoka Chuo Kikuu cha Cape Town, Afrika ya Kusini sasa anadhalilishwa na kutwezwa na siasa. Msomi huyu na Mhadhiri wa zamani wa UDSM (mwanangu ambaye kwasasa naye ni Mhadhiri hapo alifundishwa naye) sasa ni dhahiri anazidiwa nguvu na siasa.

Siasa za kisasa zinataka matumizi sahihi ya fani, ujuzi na uzoefu juu ya mambo ambayo mwanasiasa anajihusisha nayo. Hata kwenye michakato ya kuwapata viongozi kwenye mihimili na kwingineko, mambo hayo huzingatiwa. Bunge ni chombo cha kutunga sheria na kuisimamia Serikali. Kinapaswa kuongozwa na mwerevu wa, pamoja na mambo mengine, sheria.

Pamoja na kwamba kwasasa amehama kwenye tasnia ya sheria (alikofika ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali) na kuhamia siasani, Dr. Tulia anapaswa kuwa mfano mwema. Anapaswa kuwaonesha watanzania kuwa taaluma yake ya sheria inatusaidia sote kupitia nafasi ya Uspika aliyonayo. Bado anapaswa kuzungumza kama mwanasheria-kuzungumza facts zaidi ya porojo na hoja kuliko vihoja.

Jambo hili la Mkataba wa DP World ni la kisheria. Sote tulimtegemea tangu Bungeni kulizungumza na kuliongoza kisheria kwa maslahi mapana ya Tanzania yetu. Lakini, siasa ikamzidi nguvu. Akafanya alivyoagizwa kichama na kiserikali badala ya kadiri ya taaluma yake. Bado, huko Mbeya, anaendelea kuliletea porojo, dhihaka na kebehi jambo hili na wale wanaolizungumzia. Siasa inamdhalilisha na kumtweza.

Katika mifumo ya kiintelijensia na kiutawala, sisi wabobevu wa mambo ya kiuongozi huwa tunaamini kuwa yeyote anayepewa chochote asichostahili au bila kutegemea, huyo huwa mnyenyekevu hadi kuwa mbovu. Anayestahili akipata husimama imara. Kukosa sifa huleta woga. Huleta kutojiamini. Hukufanya kuangalia pande zote kila mara. Huleta 'utumwa' wa kifikra.

Rais Samia, maoni yako ni yapi kuhusiana na Mkataba wa DP World?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hakika kwa sasa, ukimsikiliza Tulia, kama hujaambiwa na mtu yeyote juu ya kiwango chake cha elimu, ni vigumu sana kufikiria kuwa anaweza kuwa japo na shahada moja ya sheria. Amekuwa ni mtu wa porojo na vioja, asiye na mvele wala nyuma, mtu asiyetambua hata thamani ya ubinadamu wake.

Kama watu wote waliosoma wangekuwa ni wanafiki na wasiojirambua kama Tulia, hakika kysingekuwa na haja hata ya kusoma.
 
"Katika mifumo ya kiintelijensia na kiutawala, sisi wabobevu wa mambo ya kiuongozi huwa tunaamini kuwa yeyote anayepewa chochote asichostahili au bila kutegemea, huyo huwa mnyenyekevu hadi kuwa mbovu. Anayestahili akipata husimama imara. Kukosa sifa huleta woga. Huleta kutojiamini. Hukufanya kuangalia pande zote kila mara. Huleta 'utumwa' wa kifikra"

Mimi naomba niishi na hayo maneno bora kabisa, yatanifaa baadae
 
Yani mpaka mwenyewe najiuliza siasa ina nini ndani yake?
Maana kawakusanya watu ambao hawaelewi kitu anasema anatoa elimu kuhusu mkataba, afu wao wanasema tuko nae bega kwa bega hata kwenye misiba, ametukopesha peas, Bajaji, nk
Afu yeye ameona kamaliza
Yaani imefika mahali Tulia unamuonea huruma tu.

Yaani vitu vingine unaona kabisa anaona hadi aibu.
 
"Katika mifumo ya kiintelijensia na kiutawala, sisi wabobevu wa mambo ya kiuongozi huwa tunaamini kuwa yeyote anayepewa chochote asichostahili au bila kutegemea, huyo huwa mnyenyekevu hadi kuwa mbovu. Anayestahili akipata husimama imara. Kukosa sifa huleta woga. Huleta kutojiamini. Hukufanya kuangalia pande zote kila mara. Huleta 'utumwa' wa kifikra"

Mimi naomba niishi na hayo maneno bora kabisa, yatanifaa baadae
Kukosa sifa hukosa kujiamini.

Hivi vyeo vya kupachikwa lazima uvitumikie hata kama ni kujidhalikusha ikibidi.
 
Hakuna sehemu inayoharibu taaluma ya mtu kama ccm.
Kuna Phd nyingi sana katika taifa hili ambapo kama zingekuwa zinapewa nafasi na uhuru taifa lingekuwa na hatua walao nyingi mbele.
Ila kweli wenye Phd wakiwa vyama vingine wana baki na sense zao.

Cc. kalamaganda kabidu
 
Kwa asili mwanamke wa kinyakyusa ni muoga, amejengwa katika mfumo wa utii adabu na unyenyekevu hata akiona sio yeye ataitikia ndio Tulia ni mpumbavu sana na ni mbwa pia
 
Elimu haijawahi kuwabadilisha watu wa pande izo. Mtu hata awe na digrii mia, bado vile vitabia vya kinyakyusa vinakuwepo.
Unakumbuka jinsi Daktari Mwakyembe msomi mwenye digrii nne alivyomchamba na kumsagia kunguni waziri mkuu wa kipindi kile Eddo Ngoyai Lowasa. Bila hata ya kumsitiri kwa kumuacha na kipensi, mzee wa watu alivuliwa nguo zote mbele ya kadamnasi, katikati ya vikao vya bunge.
Msomi mwakyembe alikuwa anachamba kuliko wale wanawake wa kiswahili wa Buza na Mbagala! Unakumbuka!
Mkuu mbona ile kashifa ya Richmond haikuwa na utata mwingi kama hii, lakini kuna watu jiuzuru nyadhifa zao; lakini hii iko poa tu, kwa nini?
 
Spika Dr. Tulia Ackson Mwansasu, msomi wa kiwango cha Shahada ya Uzamivu kutoka Chuo Kikuu cha Cape Town, Afrika ya Kusini sasa anadhalilishwa na kutwezwa na siasa. Msomi huyu na Mhadhiri wa zamani wa UDSM (mwanangu ambaye kwasasa naye ni Mhadhiri hapo alifundishwa naye) sasa ni dhahiri anazidiwa nguvu na siasa.

Siasa za kisasa zinataka matumizi sahihi ya fani, ujuzi na uzoefu juu ya mambo ambayo mwanasiasa anajihusisha nayo. Hata kwenye michakato ya kuwapata viongozi kwenye mihimili na kwingineko, mambo hayo huzingatiwa. Bunge ni chombo cha kutunga sheria na kuisimamia Serikali. Kinapaswa kuongozwa na mwerevu wa, pamoja na mambo mengine, sheria.

Pamoja na kwamba kwasasa amehama kwenye tasnia ya sheria (alikofika ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali) na kuhamia siasani, Dr. Tulia anapaswa kuwa mfano mwema. Anapaswa kuwaonesha watanzania kuwa taaluma yake ya sheria inatusaidia sote kupitia nafasi ya Uspika aliyonayo. Bado anapaswa kuzungumza kama mwanasheria-kuzungumza facts zaidi ya porojo na hoja kuliko vihoja.

Jambo hili la Mkataba wa DP World ni la kisheria. Sote tulimtegemea tangu Bungeni kulizungumza na kuliongoza kisheria kwa maslahi mapana ya Tanzania yetu. Lakini, siasa ikamzidi nguvu. Akafanya alivyoagizwa kichama na kiserikali badala ya kadiri ya taaluma yake. Bado, huko Mbeya, anaendelea kuliletea porojo, dhihaka na kebehi jambo hili na wale wanaolizungumzia. Siasa inamdhalilisha na kumtweza.

Katika mifumo ya kiintelijensia na kiutawala, sisi wabobevu wa mambo ya kiuongozi huwa tunaamini kuwa yeyote anayepewa chochote asichostahili au bila kutegemea, huyo huwa mnyenyekevu hadi kuwa mbovu. Anayestahili akipata husimama imara. Kukosa sifa huleta woga. Huleta kutojiamini. Hukufanya kuangalia pande zote kila mara. Huleta 'utumwa' wa kifikra.

Rais Samia, maoni yako ni yapi kuhusiana na Mkataba wa DP World?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kusema kweli sikutegemea kuwa siasa ingemtoa ufahamu Tulia kiasi hiki.
 
Elimu haijawahi kuwabadilisha watu wa pande izo. Mtu hata awe na digrii mia, bado vile vitabia vya kinyakyusa vinakuwepo.
Unakumbuka jinsi Daktari Mwakyembe msomi mwenye digrii nne alivyomchamba na kumsagia kunguni waziri mkuu wa kipindi kile Eddo Ngoyai Lowasa. Bila hata ya kumsitiri kwa kumuacha na kipensi, mzee wa watu alivuliwa nguo zote mbele ya kadamnasi, katikati ya vikao vya bunge.
Msomi mwakyembe alikuwa anachamba kuliko wale wanawake wa kiswahili wa Buza na Mbagala! Unakumbuka!
Wanyakyusa hawapendi ubabaishaji,ni watu Wawazi sana na wamenyooka!
 
Hakika kwa sasa, ukimsikiliza Tulia, kama hujaambiwa na mtu yeyote juu ya kiwango chake cha elimu, ni vigumu sana kufikiria kuwa anaweza kuwa japo na shahada moja ya sheria. Amekuwa ni mtu wa porojo na vioja, asiye na mvele wala nyuma, mtu asiyetambua hata thamani ya ubinadamu wake.

Kama watu wote waliosoma wangekuwa ni wanafiki na wasiojirambua kama Tulia, hakika kysingekuwa na haja hata ya kusoma.
Huyu hapa![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tulia.ackson_20230624_4.jpg
 

Attachments

  • IMG-20230714-WA0001.jpg
    IMG-20230714-WA0001.jpg
    58.3 KB · Views: 2
Spika Dr. Tulia Ackson Mwansasu, msomi wa kiwango cha Shahada ya Uzamivu kutoka Chuo Kikuu cha Cape Town, Afrika ya Kusini sasa anadhalilishwa na kutwezwa na siasa. Msomi huyu na Mhadhiri wa zamani wa UDSM (mwanangu ambaye kwasasa naye ni Mhadhiri hapo alifundishwa naye) sasa ni dhahiri anazidiwa nguvu na siasa.

Siasa za kisasa zinataka matumizi sahihi ya fani, ujuzi na uzoefu juu ya mambo ambayo mwanasiasa anajihusisha nayo. Hata kwenye michakato ya kuwapata viongozi kwenye mihimili na kwingineko, mambo hayo huzingatiwa. Bunge ni chombo cha kutunga sheria na kuisimamia Serikali. Kinapaswa kuongozwa na mwerevu wa, pamoja na mambo mengine, sheria.

Pamoja na kwamba kwasasa amehama kwenye tasnia ya sheria (alikofika ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali) na kuhamia siasani, Dr. Tulia anapaswa kuwa mfano mwema. Anapaswa kuwaonesha watanzania kuwa taaluma yake ya sheria inatusaidia sote kupitia nafasi ya Uspika aliyonayo. Bado anapaswa kuzungumza kama mwanasheria-kuzungumza facts zaidi ya porojo na hoja kuliko vihoja.

Jambo hili la Mkataba wa DP World ni la kisheria. Sote tulimtegemea tangu Bungeni kulizungumza na kuliongoza kisheria kwa maslahi mapana ya Tanzania yetu. Lakini, siasa ikamzidi nguvu. Akafanya alivyoagizwa kichama na kiserikali badala ya kadiri ya taaluma yake. Bado, huko Mbeya, anaendelea kuliletea porojo, dhihaka na kebehi jambo hili na wale wanaolizungumzia. Siasa inamdhalilisha na kumtweza.

Katika mifumo ya kiintelijensia na kiutawala, sisi wabobevu wa mambo ya kiuongozi huwa tunaamini kuwa yeyote anayepewa chochote asichostahili au bila kutegemea, huyo huwa mnyenyekevu hadi kuwa mbovu. Anayestahili akipata husimama imara. Kukosa sifa huleta woga. Huleta kutojiamini. Hukufanya kuangalia pande zote kila mara. Huleta 'utumwa' wa kifikra.

Rais Samia, maoni yako ni yapi kuhusiana na Mkataba wa DP World?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mkuu Spika wa JMT yuko chini ya Rais. Anatetea kila kitu serikali inavyosema, tatizo katiba.
 
Spika Dr. Tulia Ackson Mwansasu, msomi wa kiwango cha Shahada ya Uzamivu kutoka Chuo Kikuu cha Cape Town, Afrika ya Kusini sasa anadhalilishwa na kutwezwa na siasa. Msomi huyu na Mhadhiri wa zamani wa UDSM (mwanangu ambaye kwasasa naye ni Mhadhiri hapo alifundishwa naye) sasa ni dhahiri anazidiwa nguvu na siasa.

Siasa za kisasa zinataka matumizi sahihi ya fani, ujuzi na uzoefu juu ya mambo ambayo mwanasiasa anajihusisha nayo. Hata kwenye michakato ya kuwapata viongozi kwenye mihimili na kwingineko, mambo hayo huzingatiwa. Bunge ni chombo cha kutunga sheria na kuisimamia Serikali. Kinapaswa kuongozwa na mwerevu wa, pamoja na mambo mengine, sheria.

Pamoja na kwamba kwasasa amehama kwenye tasnia ya sheria (alikofika ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali) na kuhamia siasani, Dr. Tulia anapaswa kuwa mfano mwema. Anapaswa kuwaonesha watanzania kuwa taaluma yake ya sheria inatusaidia sote kupitia nafasi ya Uspika aliyonayo. Bado anapaswa kuzungumza kama mwanasheria-kuzungumza facts zaidi ya porojo na hoja kuliko vihoja.

Jambo hili la Mkataba wa DP World ni la kisheria. Sote tulimtegemea tangu Bungeni kulizungumza na kuliongoza kisheria kwa maslahi mapana ya Tanzania yetu. Lakini, siasa ikamzidi nguvu. Akafanya alivyoagizwa kichama na kiserikali badala ya kadiri ya taaluma yake. Bado, huko Mbeya, anaendelea kuliletea porojo, dhihaka na kebehi jambo hili na wale wanaolizungumzia. Siasa inamdhalilisha na kumtweza.

Katika mifumo ya kiintelijensia na kiutawala, sisi wabobevu wa mambo ya kiuongozi huwa tunaamini kuwa yeyote anayepewa chochote asichostahili au bila kutegemea, huyo huwa mnyenyekevu hadi kuwa mbovu. Anayestahili akipata husimama imara. Kukosa sifa huleta woga. Huleta kutojiamini. Hukufanya kuangalia pande zote kila mara. Huleta 'utumwa' wa kifikra.

Rais Samia, maoni yako ni yapi kuhusiana na Mkataba wa DP World?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kwa wanaojua ugumu wa kuipata PhD Amerika na Ulaya, nina wasi wasi Tulia aliweza kubebwa kupata hiyo PhD. Maana, akiongea unaona ni kilaza wa kawaida.
 
Kwa wanaojua ugumu wa kuipata PhD Amerika na Ulaya, nina wasi wasi Tulia aliweza kubebwa kupata hiyo PhD. Maana, akiongea unaona ni kilaza wa kawaida.
PHD ya Oxford, Cambrige, Havard sio kama ya UDSM. Dr Nshalla kapita Havard. Wanamtishia maisha kwa kuitetea Tanganyika.
 
Spika Dr. Tulia Ackson Mwansasu, msomi wa kiwango cha Shahada ya Uzamivu kutoka Chuo Kikuu cha Cape Town, Afrika ya Kusini sasa anadhalilishwa na kutwezwa na siasa. Msomi huyu na Mhadhiri wa zamani wa UDSM (mwanangu ambaye kwasasa naye ni Mhadhiri hapo alifundishwa naye) sasa ni dhahiri anazidiwa nguvu na siasa.

Siasa za kisasa zinataka matumizi sahihi ya fani, ujuzi na uzoefu juu ya mambo ambayo mwanasiasa anajihusisha nayo. Hata kwenye michakato ya kuwapata viongozi kwenye mihimili na kwingineko, mambo hayo huzingatiwa. Bunge ni chombo cha kutunga sheria na kuisimamia Serikali. Kinapaswa kuongozwa na mwerevu wa, pamoja na mambo mengine, sheria.

Pamoja na kwamba kwasasa amehama kwenye tasnia ya sheria (alikofika ngazi ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali) na kuhamia siasani, Dr. Tulia anapaswa kuwa mfano mwema. Anapaswa kuwaonesha watanzania kuwa taaluma yake ya sheria inatusaidia sote kupitia nafasi ya Uspika aliyonayo. Bado anapaswa kuzungumza kama mwanasheria-kuzungumza facts zaidi ya porojo na hoja kuliko vihoja.

Jambo hili la Mkataba wa DP World ni la kisheria. Sote tulimtegemea tangu Bungeni kulizungumza na kuliongoza kisheria kwa maslahi mapana ya Tanzania yetu. Lakini, siasa ikamzidi nguvu. Akafanya alivyoagizwa kichama na kiserikali badala ya kadiri ya taaluma yake. Bado, huko Mbeya, anaendelea kuliletea porojo, dhihaka na kebehi jambo hili na wale wanaolizungumzia. Siasa inamdhalilisha na kumtweza.

Katika mifumo ya kiintelijensia na kiutawala, sisi wabobevu wa mambo ya kiuongozi huwa tunaamini kuwa yeyote anayepewa chochote asichostahili au bila kutegemea, huyo huwa mnyenyekevu hadi kuwa mbovu. Anayestahili akipata husimama imara. Kukosa sifa huleta woga. Huleta kutojiamini. Hukufanya kuangalia pande zote kila mara. Huleta 'utumwa' wa kifikra.

Rais Samia, maoni yako ni yapi kuhusiana na Mkataba wa DP World?

Mzee Tupatupa wa )Lumumba, Dar es Salaam
What is the herding behavior theory?

Herding can be defined as the phenomenon of individuals deciding to follow others and imitating group behaviours rather than deciding independently and atomistically on the basis of their own, private information.
Hayo maelezo nitoka mtandao ya kijamii

Ya kwangu hii hapa:

Uyumbu ni tabia ya watu tulio wapa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kutumikia malengo ya kikundi fulani, (conflict of interest) ama uoga, (amygdala),kuogopa viongozi wao. Herding behavior is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of group objectives, (conflict of interest) or fear of their leaders,(amygdala), by Ipyana Haraba. The end result will be lack of individual decision making ,thus, disaster or uncertainty inherent
 
Back
Top Bottom