Hakika uanasiasa unamdhalilisha na kumuanika Spika Tulia A. Mwansasu


Sina Mengi Sana
Your browser is not able to display this video.
 
Uko sahihi. Nimesikia kwa masikio yangu mawili akitukana (bila shaka) akina Prof. Shivji, Tibaijuka, etc; akina Dr. Slaa, Nshala, etc; wanasheria wenzie akina Mwabukusi, Madeleka, etc; Wazee akina Warioba, Butiku, etc; kwamba, ni WAPUMBAVU. Duuh, pesa na madaraka; eeh Mungu tusaidie!
 
wewe wa pande gani? unatukana watu! ubaguzi ni ujinga wa hali ya juu. Usi generalize watu wote wa pande hizo unazozichukia kwamba kila mtu yuko hivyo huo ni upuuzi wa hali ya juu sana, umenikera kwelikweli. Wabunge walikuwa wanaungamkono wote ni pande hizo?? Ubaguzi na dharau ni ugonjwa mbaya sana
 
Kwamba Mwakyembe kuanika ukweli ilikuwa kosa na 'vitabia vya kinyakyusa'? Na huyu spika kukumbatia ujinga pia ni kosa? Pick a lane!

Lowasa alikuwa mwana mtandao wa mafisadi. Alishiriki kikamilifu kwenye uhuni wote wa 2005.
Huyo Mzee anaemsifia ndiyo walioharibu nchi hii na mtandao wao, jamaa nimedharau sana ametoka kwenye hoja anashambulia Kabila, inaelekea ni mtu mwenye uwezo mdogo sana wakufikili!
 
Hakuna sehemu inayoharibu taaluma ya mtu kama ccm.
Kuna Phd nyingi sana katika taifa hili ambapo kama zingekuwa zinapewa nafasi na uhuru taifa lingekuwa na hatua walao nyingi mbele.
Ndio maana kuna jamaa mmoja aliiterm abbreviation ya PhD kama permanent head destruction
 
Tulia ametulizwa akili
 
Pole...
 
Badala ya kuleta hoja unaleta ukabila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…