Hakika Yanga SC 'mmetuumbua' leo kwa vitendo tuliyojua jezi zenu nyeusi ndiyo zenye bahati kwenu

Hakika Yanga SC 'mmetuumbua' leo kwa vitendo tuliyojua jezi zenu nyeusi ndiyo zenye bahati kwenu

Nilivyovigundua kwa Yanga SC na kunifanya leo nizike rasmi Imani ya kwanini Jezi Nyeusi zilikuwa zinatumika hadi Kuhisi labda .ni imani za Kiuswahili / Ushirikina ni vifuatavyo....

1. Yanga SC inacheza Kiupambanaji hasa Spirit ambayo unaweza Kuitafuta kwa Tochi katika Vilabu Vingine.

2. Kocha Nabi aliyempa Uprofesa wa Mpira hakukosea na ana Msaidizi Fundi wa Kimbinu Kocha Kaze.

3. Yanga SC inacheza Kitumu na Kimkakati zaidi kuliko Timu nyingine yoyote.

4. Ukiwatizama Wachezaji wa Yanga SC hata tu Body Language yao unaona Ushindi.

5. Fitness ya hali ya Juu waliyonayo Wachezaji wa Yanga SC ni ya kuwafanya Washinde daima na Kufungwa ni bahati mbaya Kwao.

6. Utulivu, Umakini uliopo pomoja na Professionalism ya hali ya Juu
katika Management yao ni Chachu ya Kufanikiwa.

7. Malaika Bahati si tu anawapenda bali Kaamua kabisa kukita Kambi Kwao.

Sioni Aibu au Uwoga tena huku nikijiamini kabisa ( pamoja na kwamba Mimi GENTAMYCINE ) ni Simba SC dam dam kuwa kwa 75% nawapa Yanga SC nafasi ya kuwa Mabingwa tena kwa Msimu huu japo najua na nakiri kuwa katika Soka / Mpira wa Miguu lolote laweza Kutokea na muda wowote ule.

Tafadhali huu ni mtizamo wangu Mimi GENTAMYCINE na sijakulazimisha Uukubali na Uuamini japo una Wajibu wa Kuuheshimu kama ambavyo nami pia nitaheshimu Mchango wako hapa.

Yanga SC ni zaidi ya Jezi Nyeusi zao.
Mwaka unaisha naona akili zako nazo zimetoka mafichoni kuungana nawe mtani ktk kuupokea mwaka mpya.
Naanza kukuelewa sasa mtani.
Safi sana🤣🤣🤣
 
1. Manula
2. Kapombe
3. Hussein
4. Onyango
5. Inonga
6. Mkude
7. Sakho
8. Yasin
9. Kibu
10. Chama
11. Okra
Kibu Kuna Tetesi
IMG-20221226-WA0002.jpg
 
Ninachokukubali hupendi unafiki, sehemu ya kusema ukweli unausema.

Leo unawashauri makocha waende na kikosi gani kuwakabili kmc?
Kikosi chochote Nganda watashinda.
Kwa maoni yangu naona imeshapangwa iwe hivyo. Kinachonisukuma kuandika hivi ni hii ratiba yao wamepangiwa wasichoshwe watoto wa mama. Sio ile ratiba leo mkoa huu mechi inayofuata Dar inayofuata tena mkoa ule ule uliocheza kabla halafu inayofuata Dar tena.
Na hii KMC kupeleka mechi waliko Nganda inafikirisha kidogo ingawa sina uhakika na tuhuma.
 
Kikosi chochote Nganda watashinda.
Kwa maoni yangu naona imeshapangwa iwe hivyo. Kinachonisukuma kuandika hivi ni hii ratiba yao wamepangiwa wasichoshwe watoto wa mama. Sio ile ratiba leo mkoa huu mechi inayofuata Dar inayofuata tena mkoa ule ule uliocheza kabla halafu inayofuata Dar tena.
Na hii KMC kupeleka mechi waliko Nganda inafikirisha kidogo ingawa sina uhakika na tuhuma.
Chochote kinaweza kutokea, nawaombea kmc wapate walau point moja.
 
Nilivyovigundua kwa Yanga SC na kunifanya leo nizike rasmi Imani ya kwanini Jezi Nyeusi zilikuwa zinatumika hadi Kuhisi labda .ni imani za Kiuswahili / Ushirikina ni vifuatavyo....

1. Yanga SC inacheza Kiupambanaji hasa Spirit ambayo unaweza Kuitafuta kwa Tochi katika Vilabu Vingine.

2. Kocha Nabi aliyempa Uprofesa wa Mpira hakukosea na ana Msaidizi Fundi wa Kimbinu Kocha Kaze.

3. Yanga SC inacheza Kitumu na Kimkakati zaidi kuliko Timu nyingine yoyote.

4. Ukiwatizama Wachezaji wa Yanga SC hata tu Body Language yao unaona Ushindi.

5. Fitness ya hali ya Juu waliyonayo Wachezaji wa Yanga SC ni ya kuwafanya Washinde daima na Kufungwa ni bahati mbaya Kwao.

6. Utulivu, Umakini uliopo pomoja na Professionalism ya hali ya Juu
katika Management yao ni Chachu ya Kufanikiwa.

7. Malaika Bahati si tu anawapenda bali Kaamua kabisa kukita Kambi Kwao.

Sioni Aibu au Uwoga tena huku nikijiamini kabisa ( pamoja na kwamba Mimi GENTAMYCINE ) ni Simba SC dam dam kuwa kwa 75% nawapa Yanga SC nafasi ya kuwa Mabingwa tena kwa Msimu huu japo najua na nakiri kuwa katika Soka / Mpira wa Miguu lolote laweza Kutokea na muda wowote ule.

Tafadhali huu ni mtizamo wangu Mimi GENTAMYCINE na sijakulazimisha Uukubali na Uuamini japo una Wajibu wa Kuuheshimu kama ambavyo nami pia nitaheshimu Mchango wako hapa.

Yanga SC ni zaidi ya Jezi Nyeusi zao.
Hapana bwana usibadilishe gia angani ulisema jezi nyeusi ya yanga ndio inayowafanya washinde mechi na ukawatisha watu kwamba na wao wasikubali kuvaa jezi tofauti na nyeusi kwani ndiyo ina maelekezo ya mganga wao sasa timu nyingi zimeanza kuingia mkenge na simba usishangae wakaja na wao kutaka wavae jezi nyeusi ili wasifungwe na yanga uliwapoteza
 
Nilivyovigundua kwa Yanga SC na kunifanya leo nizike rasmi Imani ya kwanini Jezi Nyeusi zilikuwa zinatumika hadi Kuhisi labda .ni imani za Kiuswahili / Ushirikina ni vifuatavyo....

1. Yanga SC inacheza Kiupambanaji hasa Spirit ambayo unaweza Kuitafuta kwa Tochi katika Vilabu Vingine.

2. Kocha Nabi aliyempa Uprofesa wa Mpira hakukosea na ana Msaidizi Fundi wa Kimbinu Kocha Kaze.

3. Yanga SC inacheza Kitumu na Kimkakati zaidi kuliko Timu nyingine yoyote.

4. Ukiwatizama Wachezaji wa Yanga SC hata tu Body Language yao unaona Ushindi.

5. Fitness ya hali ya Juu waliyonayo Wachezaji wa Yanga SC ni ya kuwafanya Washinde daima na Kufungwa ni bahati mbaya Kwao.

6. Utulivu, Umakini uliopo pomoja na Professionalism ya hali ya Juu
katika Management yao ni Chachu ya Kufanikiwa.

7. Malaika Bahati si tu anawapenda bali Kaamua kabisa kukita Kambi Kwao.

Sioni Aibu au Uwoga tena huku nikijiamini kabisa ( pamoja na kwamba Mimi GENTAMYCINE ) ni Simba SC dam dam kuwa kwa 75% nawapa Yanga SC nafasi ya kuwa Mabingwa tena kwa Msimu huu japo najua na nakiri kuwa katika Soka / Mpira wa Miguu lolote laweza Kutokea na muda wowote ule.

Tafadhali huu ni mtizamo wangu Mimi GENTAMYCINE na sijakulazimisha Uukubali na Uuamini japo una Wajibu wa Kuuheshimu kama ambavyo nami pia nitaheshimu Mchango wako hapa.

Yanga SC ni zaidi ya Jezi Nyeusi zao.
Unaomba kura za wananchi? Usijali utapata
 
Mbona ulijifanya fundi wakusoma body language kipindi kile wanaenda Tunisia na ukala za pua?Yanga hii kila Kolo atakiri hadharani
 
Back
Top Bottom