green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Nikimkamata huyo mwizi atakomaMwosha Huoshwa
Wako naye atalambwa, trust me
Karma is b**ch
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikimkamata huyo mwizi atakomaMwosha Huoshwa
Wako naye atalambwa, trust me
Karma is b**ch
It is just a perception on ujanja,
Wengine wanaperceive kutembea na madem wengi ndo ujanja,
Wengine wanapercive ujanja ni kuwa na good family,
mm napercive ujanja ni kuwa na maendeleo makubwa e.g. before 40 make sure u own a big house (s) of at least 100Mln Tsh, nice car(s) of a combinede worth of at least 50Mln, some good assets of at least 50Mln, stable and extra income of a combined total of at least 5Mln a month.
sasa ukitaka kujua nan mjanja zaidi muulize MO anapercive ujanja n nn
Wote nimeshawalamba hasa wake za watu na bado nawalamba
It is just a perception on ujanja,
Wengine wanaperceive kutembea na madem wengi ndo ujanja,
Wengine wanapercive ujanja ni kuwa na good family,
mm napercive ujanja ni kuwa na maendeleo makubwa e.g. before 40 make sure u own a big house (s) of at least 100Mln Tsh, nice car(s) of a combinede worth of at least 50Mln, some good assets of at least 50Mln, stable and extra income of a combined total of at least 5Mln a month.
sasa ukitaka kujua nan mjanja zaidi muulize MO anapercive ujanja n nn
Kama hujamla muuza maandazi au vitumbua wewe si chochote😛 jokeZote nimetimiza nifanye nini Kingine?
uoe sasa bahariaZote nimetimiza nifanye nini Kingine?
Zote hzo nishachakaza sijaacha hata moja labda Kama kuna mpya1.Baa medi na mademu unaokutana nao club
2.Mama Ntilie
3.Wanafunzi wa vyuo
4.Demu uliyekosea namba
5.Demu mliyekutana katika mitandao ya kijamii
6.Demu wa saluni
7.Demu wa rafiki yako.
8.Mpangaji mwenzako
9.Mfanyakazi mwenzako
10.Demu yoyote atakayejipendekeza we lamba tu.
Ukifikisha 40 weka pembeni fantasy zako tulia na familia wacha umalaya zidisha ibada na mapenzi kwa mkeo acha pombe,anza kuwekeza kwa ajili ya uzeeni.
Ukifikisha 40 na bado ukawa bado unaendele na tabia za kishenzi uzee wako utapata tabu sana.
Kuna KY mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wote nimeshawalamba hasa wake za watu na bado nawalamba
Kuwa na mwanamke mmoja utapata tez dumeMWANAUME KAMILI NI YULE ANAEJITAMBUA NA IDADI KUBWA YA WANAWAKE HAIKUFANYI UONEKANE SHABABI
Kuna Dada alinambia ndom zinamletea fangasi sasa Mm nikawa naogopa kumla kavu... Akanambia waogopa nn?? Cku hizi tunaogopa kisukari tuu ukimwi hauui... Daah dyudyu ilisinyaa pale pale... Alikuwa dem wa hitwewatu hawauogopi kwasababu hauuwi siku hizi watu wanaogopa kisukari tu
oops oops. file corrupted... kumbe we ni wa tanga nimekuchanganya na yule wa ukongaHahaha..I wish ningekuwa na hao kuku,hakika ningefuata ushauri wako
Yes, everyone has his/her perceptions.Mkuu uliyoyataja hata mtumishi mstaafu na kiinua mgongo chake hafikii sasa sisi vijana tufanyeje?, mi nadhani ujanja ni kuishi maisha vizuri bila kuyapima kwa fedha.
Nimesema kuishi maisha vizuri na si kuishi maisha mazuri.
Thats why kila mtu anatafsiri yake.Kwa maisha ya wasaka tonge tu haya, we uko ndotoni nahisi.