Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mbaya sana hii wanakusaidia kwa faida zao, huku wakitangaza brand zao. Madaraja ni mengi sanaMost people wont support you until they see it's popular to support you.
Hii ndio Dunia ya leo.
Kweli kabisa,Mimi ninao yatima ambao wanahitaji msaada Ila Sina kipato kikubwa Sana Cha kuwasaidia.Hakikisha katika kipato chako unachokipata usisahau kutoa sadaka
Usisahau kuwakumbuka watoto yatima
Usisahau kuwakumbuka wenye mahitaji maalumu
Usiwasahau wenye hali za chiniView attachment 2991332
Hilo jina la I'd lnanitafakarisha sanaMkuu usemavyo upo sawa mno Anza namimi 0759534082 M-Pesa. Ahsantee sana.
muhimu sana kusaidiaHakikisha katika kipato chako unachokipata usisahau kutoa sadaka
Usisahau kuwakumbuka watoto yatima
Usisahau kuwakumbuka wenye mahitaji maalumu
Usiwasahau wenye hali za chiniView attachment 2991332
Tuma Hela kwanzaHilo jina la I'd lnanitafakarisha sana
Hela ya nini kakaTuma Hela k
Tuma Hela kwanza
Kweli love mida mingine watu hubarikiwa kupitia utoaji!
Ni kweli ila kuna angalizo. Mkono unaotoa inabidi uwe na kiasi maana unaopokea haukataiMbaya sana hii wanakusaidia kwa faida zao, huku wakitangaza brand zao. Madaraja ni mengi sana
Kivip mkuuNi kweli ila kuna angalizo. Mkono unaotoa inabidi uwe na kiasi maana unaopokea haukatai