Hakikisha unafanya kwa ukubwa Biashara yako wakati unaanza

Asante kwa wazo zuri la biashars mkuu. Je, kwa mimi ninayetaka kuanzisha biashara ya kilimo nianze na ekari ngapi mkuu?
 
Hi idea Ni nzuri

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hata siku 1 biashara haitokufia mkononi kama ukiweza Apply hii idea, Ndio mana nawambia watu

mimi biashara kunishinda itasubiri sana maana sio mtu wa kusubiri biashara inishinde nianze nyingine

mpya,Naanza biashara mpya hapo hapo kwenye biashara iliyopo Hata kama nauza bucha la nyama

kubadilishia gia hewani bucha nikaligeuza super market ni dakika sifuri tu Nyama zinaisha nabaki na super market...

Kuna mteja unaenda dukani kwake unaona kabisa huyu anamalizia KODI asepe,duka jeupe pee Unamuuliza bei

ya bidhaa anakutajia BEI kama vile duka lake limejikamilisha yani,Haogopi kudodewa yeye yupo na bei zake sawa

na wenzake ambao maduka yao yamejikamilisha mpaka na ma AC ndani,Unamsikitikia kisha unamwambia ASANTE unaondoka hununui kitu.

Anakuja anaachia FREM ana bidhaa kibao zimebaki anatafuta wakumuuzia,anakuja kuuza kwa nusu ya bei aliyonunulia... wakati alikua na uwezo wakurudisha hela yake akawa amepata hasara 1 tu ya (Muda) .

Biashara kufa mikononi mwako ni uzembe na kutokua na akili ya kuwaza zaidi ya hapo ulipo na zaidi ya hicho unachofanya sasa hivi.
 
Asante kwa wazo zuri la biashars mkuu. Je, kwa mimi ninayetaka kuanzisha biashara ya kilimo nianze na ekari ngapi mkuu?
Kilimo cha kutegemea Mvua za Muuumba Sina hata la kuweza kukushauri Mkuu

Kama unafanya kilimo cha umwagiliaji atleast tunaweza ongea LUGHA 1,nakubali

biashara ni (Betting) lakini biashara ya kilimo cha kutegemea Mvua za Msimu kwangu

mimi naona ni kama Kucheza BIKO mshiko nnje nnje (cheza sasa hiyo biko uone huo mshiko nnje nnje)
 
Nataka kulima kilimo cha kumwagilia mkuu. Nianzeje?
 
Boss shukrani sana naomba unipe na mfano wa stationery CONTROLA
 
Boss madini mazuri sana kwakweli....vip kuna mweny idea ya bajaji kuendesha mwenyew
 
Boss madini mazuri sana kwakweli....vip kuna mweny idea ya bajaji kuendesha mwenyew
Ibaki hvyo tu kuwa ukitaka kuona hell za bajaji au kiriku endesha mwenyewee ,haswa bajaji uatafika mbali na ndani ya mwak utakuwa umesha Jenga kina da mkuu
 
Huu ni ukweli mtupu Hii ya ugali mboga saba mkuu nimeishuhudia Kuna mama ntilie mmoja anaishi nayo hii na raia wanamgombea htari sio uchawi
 
Kubadilisha gear angani
 
Asantee sana kiongoz Ila samahani naomba unisaidie kitu Nina mtaji Ila sijui nifanye biashara gani?
 
Mimi nimepanga kuanziasha biashara ya mafuta ya kupikia alizeti nakuwa nalangua mashineni wanapokamua kisha niuze naomba unipatie mbinu zaidi ili niweze mamimi kusimama kwenye biashara hii na kuifurahia mr. Controla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…