Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Hakikisha unapoalikwa usikusanye kijiji cha marafiki au ukaambatana na watoto zingatia mwaliko unakuhusu wewe tu sio marafiki zako
Hakikisha mnapokuwa mumeahiadiana na mtu kukutana unakuwa ontime maana wapo watu mkiaahidina saa tisa yeye anakuja saa kumi😀
Hakikisha unavaa kuringana na eneo zingatia vazi la staha usije kuoneka kituko. Yatafakari mazingira na aina ya mtu wako. Kama ni siku ya kwanza kuonana naye epuka kuvaa vibaya.
Hakikisha mnapokuwa mnaongea unampa usikivu na kuepuka kuwa busy na simu, tv au chochote kile kitakachonesha unadharau.
Hakikisha unakula na kunywa kwa tahadhali na kwa staha. Kukuambia kula au kunywa kile utakacho usifanye kwa sifa kuwa mtoshelevu
Hakikisha unanukia au umejipamba kwa kiasi tu. Maana wapo watu wanajiremba mpaka wanakuwa vituko zaidi badala ya kupendeza .
Hakikisha mnapokuwa mumeahiadiana na mtu kukutana unakuwa ontime maana wapo watu mkiaahidina saa tisa yeye anakuja saa kumi😀
Hakikisha unavaa kuringana na eneo zingatia vazi la staha usije kuoneka kituko. Yatafakari mazingira na aina ya mtu wako. Kama ni siku ya kwanza kuonana naye epuka kuvaa vibaya.
Hakikisha mnapokuwa mnaongea unampa usikivu na kuepuka kuwa busy na simu, tv au chochote kile kitakachonesha unadharau.
Hakikisha unakula na kunywa kwa tahadhali na kwa staha. Kukuambia kula au kunywa kile utakacho usifanye kwa sifa kuwa mtoshelevu
Hakikisha unanukia au umejipamba kwa kiasi tu. Maana wapo watu wanajiremba mpaka wanakuwa vituko zaidi badala ya kupendeza .