Hakimi: Nimekuja Tanzania sababu ya Eng hersi

Kwaio Achraf Hakimi kumtaja Eng Hersi kwako imekuwa nongwa?
 
Amelipa fadhila kwa kitu gani? Ni fadhila gani hiyo aliyofanyiwa mpaka ameamua kuja kuilipa? Hiyo fadhila alifanyiwa na nani?
Ile issue yake ya kuandika mali kwa mama yake ili trend sana maeneo ya huku na kumuongezea followers wa kutosha.

My assumptions. Nothing more nothing less.
 
Alikula kitu kizito
 
[emoji23][emoji23]usiongelee history mkuu
 
Ile issue yake ya kuandika mali kwa mama yake ili trend sana maeneo ya huku na kumuongezea followers wa kutosha.

My assumptions. Nothing more nothing less.
Dah hii reasoning yako Ina matege sana. Nilivyoona umeandika anaharibu nikawa natafuta hayo mkosa ya Hakim katika usemi wake...? Kama sababu unazotoa ndo hizi basi tuishie hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…