Hakimu anamuuliza huyu binti, "kwa nini ulimuacha huyu kijana?", binti anajibu "i thought he was too nice" ila wanawake, duuh🤣🤣

Hakimu anamuuliza huyu binti, "kwa nini ulimuacha huyu kijana?", binti anajibu "i thought he was too nice" ila wanawake, duuh🤣🤣

Mi nipo honest sana ila ndo hvo akiwa na mimi ajiandae..
Maana siwezi acha mashangazi kwa sababu yake.
Mashangazi kama kawaida
Ma single maza kama kawaida

Akiona hawezi hi gravity bora akakae mwezini
 
Wewe kuwa wewe na anayekuja na aje na wa kuondoka aondoke..., Kuishi maisha kwa ajili ya watu au fulani ni kujipunja sana ukizingatia maisha ni mafupi; Be Real.... (Whatever that may Be)
Mi kuna mda gheto huwa staki mtu zaidi ya mimi mwenyewe .
Self freedom ndo nayotaka mimi now
 
Back
Top Bottom