TANZIA Hakimu Godfrey Mwambapa afariki dunia

TANZIA Hakimu Godfrey Mwambapa afariki dunia

RIP home boy alikua mtani wangu wa mambo ya Simba na Yanga yaani leo nimehuzunika sana kwa kweli kwa huyu bwana mdogo daah aisee.
 
Mimi hiyo statement inanikera...sitamani kushuhudia hicho kitendo.

Nimekumiss.
Hhhaaa..mm nilishindwa kabisa kucope..nikaona nijitoe for good...sitaki sikia kitu chochote..yaan nahis nimepata brain injury kbs..
Mm naandikaga sms nafuta..nna hasira kali sana rohoni kukuhusu!hata kama umeoa aise😎
 
Lissu alivyo miminiwa risasi humu wewe na id yako nyingine ya Kawe Alumni mlikuwa mnashabikia sana kila kukicha afe. Kuweni na staha japo kidogo. Utadhani ndondocha.

Nafiki mkubwa usidhani una kinga eti MATAGA haupo salama we are tracking your evey single move and when the right time comes we gonna fix you all.
Huu Sasa Mkwaraaa Mbuzi!!
 
Rate ya watu kufa imeongezeka sana ila nyinyi hamtaki kukubali, sasa watu wakiwa wanapost mnashindwa kutetea kwamba hakuna corona!
Tuanze ku post na wanaozaliwa kila kukicha ili tupate uwiano Mzuri! Je wanaokufa ni wengi kuliko wanaozaliwa!?
 
Tuanze ku post na wanaozaliwa kila kukicha ili tupate uwiano Mzuri! Je wanaokufa ni wengi kuliko wanaozaliwa!?

Kufa nguvu kazi ya taifa inapotea ,kondoo mmoja akipotea mchungaji anawaacha wale 99 na kuenda kumtafuta aliyepotea ,hao wanaozaliwa ni baraka labda ungejikita kwenye child mortality rate.
 
Back
Top Bottom