Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
RIP home boy alikua mtani wangu wa mambo ya Simba na Yanga yaani leo nimehuzunika sana kwa kweli kwa huyu bwana mdogo daah aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap aliwahi fanya kazi Mwanza pia...RIP to him ,
I knew the guy in Mwanza City, we could occasionally meet on weekends at sparrow hotel
Huyu binti ni mgonjwa,anaumwa green and yellow feverSasa kama kafa taarifa zisitolewe?
Umenikata stimu ghafla yaani arghh bye bwanaHufi leo wala kesho mkuu. Lazima ushuhudie anavyoongezwa muda.
Ww kweli ni Mzee wa IsangaRIP home boy alikua mtani wangu wa mambo ya Simba na Yanga yaani leo nimehuzunika sana kwa kweli kwa huyu bwana mdogo daah aisee.
Nimemfundisha book keeping na math vizuri tu, huwa nawasaliana nae sana sio kidogo ni dogo wa mtaani kwetu kabisa nimeumia sana sana...Ww kweli ni Mzee wa Isanga
jamaa alisoma Sangu Secondary
Mimi hiyo statement inanikera...sitamani kushuhudia hicho kitendo.Umenikata stimu ghafla yaani arghh bye bwana
Ni kweli mdudu ametaga kwa wanasheriaTasnia ya sheria inapigwa sana miezi hii 2.
Rest in peace
Akatage na ChamwinoNi kweli mdudu ametaga kwa wanasheria
Hhhaaa..mm nilishindwa kabisa kucope..nikaona nijitoe for good...sitaki sikia kitu chochote..yaan nahis nimepata brain injury kbs..Mimi hiyo statement inanikera...sitamani kushuhudia hicho kitendo.
Nimekumiss.
Daah! Strong msg toka moyoni.😍Hhhaaa..mm nilishindwa kabisa kucope..nikaona nijitoe for good...sitaki sikia kitu chochote..yaan nahis nimepata brain injury kbs..
Mm naandikaga sms nafuta..nna hasira kali sana rohoni kukuhusu!hata kama umeoa aise😎
Huu Sasa Mkwaraaa Mbuzi!!Lissu alivyo miminiwa risasi humu wewe na id yako nyingine ya Kawe Alumni mlikuwa mnashabikia sana kila kukicha afe. Kuweni na staha japo kidogo. Utadhani ndondocha.
Nafiki mkubwa usidhani una kinga eti MATAGA haupo salama we are tracking your evey single move and when the right time comes we gonna fix you all.
Tuanze ku post na wanaozaliwa kila kukicha ili tupate uwiano Mzuri! Je wanaokufa ni wengi kuliko wanaozaliwa!?Rate ya watu kufa imeongezeka sana ila nyinyi hamtaki kukubali, sasa watu wakiwa wanapost mnashindwa kutetea kwamba hakuna corona!
Tuanze ku post na wanaozaliwa kila kukicha ili tupate uwiano Mzuri! Je wanaokufa ni wengi kuliko wanaozaliwa!?
Anaulizia source ya taarifa.Ukijua chanzo utamfufua?