Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Kwani we ulidhanije?Kumbe unadhani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani we ulidhanije?Kumbe unadhani
Sasa unachopinga ni nini hiyo ya Hakimu mkazi si ndio level ya Mkoa?Hakuna kitu kama mahakama ya mkoa kwenye mfumo wa sheria zetu. Mfumo wa mahakama unaanzia 1. Mahakama ya Mwanzo. 2. Mahakama ya Wilaya. 3.Mahakama ya Hakimu Mkazi. 4.Mahakama Kuu, na 4. Mahakama ya Rufaa.
Mkuu umeniwahi,nadhani originally hao mahakimu wakazi walikuwa wanaendeshea mabaraza hapo,hao si mahakimu wasomiAnakaa pale kisutu.
Umeeleza mfumo wa kimahakama ila hujajibu swaliHata haihitaji kusomea sheria. Sisi tulifundishwa Form Two habari za mihimili ya dola ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama.
Mfumo wa mahakama Tanzania wa Tanzania Bara unaanzia Mahakama ya Mwanzo. Hii ni mahakama ya ngazi ya chini. Inaweza kughukulika na mashauri ya kisheria kwenye kata au tarafa. Mashauri ambayo thamani yake haizidi elfu 50.(Japo busara pia inatumika). Hakimu wake anaitwa Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo au PCM kwa maana ya Primary Court Magistrate.
Mahakama inayofuata ni Mahakama ya Wilaya. Hii mahakama unspoken rufaa kutoka mahakama za mwanzo ndani ya Wilaya husika. Pia hupokea mashauri ambayo yanathamani zaidi ya shilingi elfu hamsini yasiyozidi laki mbili na nusu. Hakimu wake anaitwa Hakimu wa Mahakama ya Wilaya lazima awe walau na degree ya Sheria.
Mahakama ya Hakimu Mkazi inafuatia. Hii mahakama imepewa hadhi juu kidogo ya Mhakama ya Wilaya na inaweza kuthikiliza kesi ambazo thamani yake inazidi kidogo kiwango cha zile za wilaya. Hushughulikia mashauri ya ndani ya mkoa au Kanda. Hakimu wake anaitwa Hakimu Mkazi (idadi yao inategemea na mahitaji). Mara nyingi inaongezewa jina la mahali ilipo.
Mahakama inayofuata ni Mahakama Kuu. Hii inapokea rufaa kutoka Mahakama ya Wilaya na Mahakama ya Hakimu Mkazi. Pia hushughulikia mashauri ya jinai kubwa kama mauaji au kesi ambazo thamani yake ni kuanzia laki tano (busara). Mahakama kuu ni moja japo inafanya kazi kwa kanda. Hivyo haijalishi kosa lilopotendeka ila popote ndani ya Tanzania Bara shauri linaweza kufunguliwa. Kiongozi wa Mahakama hii anaitwa Jaji na anateuliwa na Rais.
Mahakama ya juu kabisa ni Mahakama ya Rufaa kwa Tanzania Bara. Kiongozi wa Mahakama hii ni Jaji Mkuu. Nayo inashughulikia rufaa kutoka Mahakama Kuu.
Huo ndiyo mfumo wa Mahakama ya Tanzania Bara. Kwa upande wa Zanzibar wao mfumo ni Tofauti kidogo japo. Hiyo ni knowledge ya Form Two.
Shida iko kichwani kwa mleta mada sio mfumo wa elimu yetuHili swali linapaswa kujibiwa na mtu yeyote aliyesoma Civics Form Two na kuendelea. Kabla yakukujibu naomba kujua wewe umefikia level ipi ya elimu? Kama umevuka form two basi kuna shida kwenye mfumo wa elimu yetu.
Hapo tuu ndo pananichanganyagaMahakama ndio inaitwa hivyo na sio hakimu. Ngoja waje weeleze sababu, 'Resident Magistrate Court"
We umejibu swali vizuri,engine wanatuletea ngonjera tu na swali la making hawajibu,Resident magistrate? Hapa hakuna elimu ya Civics wala ya sheria inayohitajika kujibu hili swali.
Ni kiingereza tu.
Mimi nadhani ni kutokana na kuwa huko nyuma kutokana na upungufu wa majaji wa mahakama kuu na ile ya rufaa majaji walilazimika kuzunguka mkoa mmoja hadi mwingine kwenda kutoa hukumu.. Yani unakuta jaji anatoka Mbeya kwena Iringa, Mwanza kwenda Shinyanga ili kutoa hukumu hivyo kuwafanya majaji wawe 'non resident magistrates'. Sasa kutokana na mashitaka kuwa mengi na kuchelewa kutolewa hukumu mahakama ikaamua ianzishe mahakama yenye uwezo wa kushughulikia baadhi ya mashauri ambayo sio lazima yashughulikiwe na majaji ndio wakaamua kuwe na hakimu wa kudumu wa eneo husika atayesikilisha mashauri madogo madogo na yale makubwa yangemsubiri jaji, Huyo hakimu wa kukaa eneo hilo nadhani ndio wakaamua wampe jina la resident magistrates yanii hakimu anakaa eneo lake la kazi hivyo kuwa hakimu mkazi.
Huko sijafika mkuu niliishia kwa ras simbaHili swali linapaswa kujibiwa na mtu yeyote aliyesoma Civics Form Two na kuendelea. Kabla yakukujibu naomba kujua wewe umefikia level ipi ya elimu? Kama umevuka form two basi kuna shida kwenye mfumo wa elimu yetu.
KumbeHakuna kitu kama mahakama ya mkoa kwenye mfumo wa sheria zetu. Mfumo wa mahakama unaanzia 1. Mahakama ya Mwanzo. 2. Mahakama ya Wilaya. 3.Mahakama ya Hakimu Mkazi. 4.Mahakama Kuu, na 4. Mahakama ya Rufaa.
Nadhani wewe ni kati ya walionielewaBado hujajibu swali la mtoa mada
Hahah,elungataYule hakimu wake anaishi ndani ya jengo hilo la mahakama,
ndo maana inaitwa mahakama ya makazi kisutu,
yaani mahakama ya hakimu mkaaji wa mule mule ndani ya mahakama ya kisutu
Elimu yangu ni kwa ras simbaNimemuuliza elimu yake kakimbia. Angejibu ningejua namna ya kupanga maelezo kulingana na kiwango chake ili aelewe kirahisi.
Kwa hivyo ni kama bwana yule aliyeng'ang'ania ndani ofisin, buguruni?Yule hakimu wake anaishi ndani ya jengo hilo la mahakama,
ndo maana inaitwa mahakama ya makazi kisutu,
yaani mahakama ya hakimu mkaaji wa mule mule ndani ya mahakama ya kisutu
Asante kwa msisitizo mkuuJibu swali acha ngendembwe! Kwa nini inaitwa mahakama ya hakimu mkazi Kisutu?
Khaaaa..mkuu mbona umeenda mbali sanaMahakimu wa Kisutu ndio Mahakimu wenye Kesi za Maana, na Escrow, ma EPA, Ma Richmond na watakatisha Fedha wote wanshtakiwa Kisutu!
Hakimu wa Kagera au Sumbawanga ataishia kusikiliza kesi za Imani za kishirikina na Migogoro ya Kijinga jinga
Jibu swali la msingi,acha kupuyangaiko hivi hizi mahakama zimepangwa kulingana na makosa na uwezo wa mahakimu katika kuamua kesi na ukubwa wa kesi mfano
1)Mahakama ya Mwanzo.
Hapa huamuliwa kesi za madai tu huwezi kukuta jaji katika mahakama hizi na mala nyingi mahakimu wake ni wenye elimu kiwango cha diploma mpaka degree moja una wakuta hapa
2. Mahakama ya Wilaya
Hapa uamuliwa makosa ya jinai na makosa ya madai ambayo yalitolewa mamuzi katika mahakama ya mwanzo lakini mamuzi hayo yakakatiwa rufaa hivyo kesi hiyo huamishiwa mahakama ya wilaya katika mahakama hii ndio utakuta majaji
3.Mahakama ya Hakimu Mkazi.
Mahakama hii huhusisha makosa ya jinai tu kwaiyo kesi zilizopo hapa ni za makosa ya jinai tu na uamuliwa na majaji tu pia hushugulikia na zile kesi ambazo zimekatwa rufaa katika mahakama ya wilaya
Pia kumbuka si kila mkoa kuna mahakama ya hakimu mkazi
Kwa mtiririko wa maelezo haya nadhani utakuwa umepata mwanga kuwa
Mahakama Kuu, na Mahakama ya Rufaa zinajishugulisha na nini
Kidoogo nimekuelewa elewa mkuuResident magistrate? Hapa hakuna elimu ya Civics wala ya sheria inayohitajika kujibu hili swali.
Ni kiingereza tu.
Mimi nadhani ni kutokana na kuwa huko nyuma kutokana na upungufu wa majaji wa mahakama kuu na ile ya rufaa majaji walilazimika kuzunguka mkoa mmoja hadi mwingine kwenda kutoa hukumu.. Yani unakuta jaji anatoka Mbeya kwena Iringa, Mwanza kwenda Shinyanga ili kutoa hukumu hivyo kuwafanya majaji wawe 'non resident magistrates'. Sasa kutokana na mashitaka kuwa mengi na kuchelewa kutolewa hukumu mahakama ikaamua ianzishe mahakama yenye uwezo wa kushughulikia baadhi ya mashauri ambayo sio lazima yashughulikiwe na majaji ndio wakaamua kuwe na hakimu wa kudumu wa eneo husika atayesikilisha mashauri madogo madogo na yale makubwa yangemsubiri jaji, Huyo hakimu wa kukaa eneo hilo nadhani ndio wakaamua wampe jina la resident magistrates yanii hakimu anakaa eneo lake la kazi hivyo kuwa hakimu mkazi.
Asante kwa swali nzuri ulompaMi nilpata A civics form 2 na 4 lakini sijui kwanini inaitwa hivyo sababu nilkuwa napenda masomo ya sayans hasa pcm..ukisema hivyo inamaana hata mimi nikimfata lawyer nikamuuliza kwanini gari ikifunga breki unasukumwa mbele akishindwa nimwambie kuna tatizo kwenye elimu yetu...jibu kama unajua kwanini hakimu mkazi kisutu?
Ungemwaga aradhani hapa mkuuNina notes njoo nikupe mkuu ukizisoma tu utaelewa kwanini inaitwa hivyo.