Hakimu mkazi au resident magistrate ni nani?

Hakuna kitu kama mahakama ya mkoa kwenye mfumo wa sheria zetu. Mfumo wa mahakama unaanzia 1. Mahakama ya Mwanzo. 2. Mahakama ya Wilaya. 3.Mahakama ya Hakimu Mkazi. 4.Mahakama Kuu, na 4. Mahakama ya Rufaa.
Sasa unachopinga ni nini hiyo ya Hakimu mkazi si ndio level ya Mkoa?
 
Umeeleza mfumo wa kimahakama ila hujajibu swali
 
Hili swali linapaswa kujibiwa na mtu yeyote aliyesoma Civics Form Two na kuendelea. Kabla yakukujibu naomba kujua wewe umefikia level ipi ya elimu? Kama umevuka form two basi kuna shida kwenye mfumo wa elimu yetu.
Shida iko kichwani kwa mleta mada sio mfumo wa elimu yetu
 
We umejibu swali vizuri,engine wanatuletea ngonjera tu na swali la making hawajibu,
 
Hili swali linapaswa kujibiwa na mtu yeyote aliyesoma Civics Form Two na kuendelea. Kabla yakukujibu naomba kujua wewe umefikia level ipi ya elimu? Kama umevuka form two basi kuna shida kwenye mfumo wa elimu yetu.
Huko sijafika mkuu niliishia kwa ras simba
 
Hakuna kitu kama mahakama ya mkoa kwenye mfumo wa sheria zetu. Mfumo wa mahakama unaanzia 1. Mahakama ya Mwanzo. 2. Mahakama ya Wilaya. 3.Mahakama ya Hakimu Mkazi. 4.Mahakama Kuu, na 4. Mahakama ya Rufaa.
Kumbe
 
Yule hakimu wake anaishi ndani ya jengo hilo la mahakama,
ndo maana inaitwa mahakama ya makazi kisutu,
yaani mahakama ya hakimu mkaaji wa mule mule ndani ya mahakama ya kisutu
Hahah,elungata
 
Yule hakimu wake anaishi ndani ya jengo hilo la mahakama,
ndo maana inaitwa mahakama ya makazi kisutu,
yaani mahakama ya hakimu mkaaji wa mule mule ndani ya mahakama ya kisutu
Kwa hivyo ni kama bwana yule aliyeng'ang'ania ndani ofisin, buguruni?
 
Mahakimu wa Kisutu ndio Mahakimu wenye Kesi za Maana, na Escrow, ma EPA, Ma Richmond na watakatisha Fedha wote wanshtakiwa Kisutu!

Hakimu wa Kagera au Sumbawanga ataishia kusikiliza kesi za Imani za kishirikina na Migogoro ya Kijinga jinga
Khaaaa..mkuu mbona umeenda mbali sana
 
Jibu swali la msingi,acha kupuyanga
 
Kidoogo nimekuelewa elewa mkuu
 
Asante kwa swali nzuri ulompa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…