Hakiyanani.. Nimeamini demu wangu muaminifu!!!

Demu akikukataa achana nae sio kutunga story na kusambaza namba yake ili asumbuliwe bila ya idhini yake. TCRA ifanye kazi yake!
 
Wewe utakuwa umetokea mkoani hivi karibuni!!!
 
Huku ni kupatwa kwa akili...

Yaani unataka kula hela za wehu wenzako mchana kweupe?
 
Huyu wataalamu watamla.. Kuna vichwa vina sound za hatari.. Ww jilegeze tu.. Kuna watu wanatumia hadi uchawi.. Analiwa huku hajui kuwa analiwa
 
(1). Ulimkuta Bado Yuko Bikra??.

(2). Kama Wewe Umemtongoza Huyo Bint Miezi Mitatu Ndipo Akakubali. Je! Hujui Kwamba Kuna Watu Wanauwezo Wa Kumtongoza Mwanamke Ndani Ya Maisha Yao Yote Hadi Tu Pale Watakapo Kubaliwa??.

Nb: Hakuna Mwanamke Anaemkata Mwanaume Moja Kwa Moja Labda Mwanaume Mwenyewe Akate Tamaa Mapema.
 
Hayatuhusu. This is your private business. Absolutely private.
 
Mwanangu bora ungejisifua tuu sio kuweka namba! Dah ila ukikua utaacha ni utoto tuu huo!
 
Nimeshamtongoza na tumeelewana nikapige mzigo jumapili, sasa nitumie vijisenti vya guest ili nikakamilishe nisikuangushe.
 



!
!
mbona hana Whatsapp?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…