Hakiyanani.. Nimeamini demu wangu muaminifu!!!

Hakiyanani.. Nimeamini demu wangu muaminifu!!!

Niaje wazeiyaaah..
Mko Bwaxx..

EBANA SAWA :
Nyie waswahili nasikia mwasema "kosea maisha usikosee nini...." Haya bana...
Kwa kuwa Namie sitaki kabisa kuja kujuta baada ya kuingia kwa ndoa nimefanya intensive investigation kwa my future baby mama na nimejiridhisha aisee kweli she deserve to be my next pillow...

MNAJUA NIMEFANYAJE :
Kwanza nilitafuta line za simu kama nne hivi tofauti... Nikawa namtongoza kwa gia mbali mbali nazozijua mie mfano kumrushia pesa ndefu 'with no reason', kumjulia hali each and every hour, good night every day, Good morning kibao... Kumualika heavy dinner at some Hot locations in Dar es Salaam.... Na mengine meengi siwezi kuorodhesha hapa sababu hamnilipi!!!!!

Yaan kama haitoshi nimetafuta machizi wanaojidai eti ni wataalam wa kupiga sound cjui ma 'play boy' na hela ikabidi nawapa ili tu wamtokee mchumba wangu TUONE kama atalainika LAKIN WAAAPI....

Kila mbinu nikitumia WAAAPI.... Mwanamke hababaiki... Hababaiki na pesa, dinner, romantic words, Good morning, I love you wala nini kubabake.

Mimi mwenyewe nimekua nilimtongoza kwa zaidi ya miez mitatu sasa (kwa umakini mkubwa haja gundua kama ni mie) pesa kibao amekula nimeingia loss kubwa zaidi ya Tsh........... Sasa nimeinua mikono juu na kusema kuwa NIMEAMINI MANZI WANGU MUAMINIFU....

Na kama mnadhani nawapiga porojo basi bila hiyana nawadondoshea namba yake hapa (picha siweki acheni ujinga) mnaojiita wataalam wa kupiga sound na vijisenti vyenu ruksa kumchalenji MREMBO wangu.... Then mtanipa feedback....
Akikubali kula mzigo (najua Huwezi hata utumie ndumba)

0764086614

Hiyo sasa tiririkeni mazee.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng


Wewe zuzu lisilo na mfano hapa Afrika, mtu anapokea pesa za mtu asiyemjua, hazirudishi kwa mtumaji anazitumia halafu unatwambia eti ni muaminifu!
 
Huyu jamaa amecheza dili na huyu demu wake (Vaileti)ili wapate hela ya kujikimu.humpati mtu wa kutuma pesa kwenye hiyo namba mkuu!ila nimeamini Magufuli kiboko,alivyoibana hela kila mtu anatafuta njia ya kumpiga tukio mwenzake.
 
WAAAPI WEWE.... NA VIBAMIA VYENU HIVO NAWAAAMBIA HIVI... DEMU WANGU HABABAIKI... JINSI MLIVOWAOGA BADALA MCHANGAMKIE NAMBA HIYO NIMEWAPA.. MNAPOTEZA MUDA KUCOMMENT HUMU..
ACHENI UBOYA.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Kama ww huna bamia weka picha tuone
 
Huyu jamaa amecheza dili na huyu demu wake (Vaileti)ili wapate hela ya kujikimu.humpati mtu wa kutuma pesa kwenye hiyo namba mkuu!.

CHEKI BOYA MWINGINE HUYU...
HIVI NGOJA NIKUULIZE KUMPIGA SAUNDI MANZI NI LAZIMA UMTUMIE PESA KABLA????
HUNA MDOMO??
ACHA UBOYA!!!!

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Wewe zuzu lisilo na mfano hapa Afrika, mtu anapokea pesa za mtu asiyemjua, hazirudishi kwa mtumaji anazitumia halafu unatwambia eti ni muaminifu!

NDIO HARUDISHI.... MTU HUJAMUOMBA HELA ANA KUTUMIA WALA HAKUDAI NA BAHAT NZURI UNA SHIDA ZAKO KIBAO UTAFANYA NINI??
MJINI HAPA WEWE...
ACHA UBOYA

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Utakua una matatizo kichwani, unaweka number ya mkeo public ili upate nini?, akianza kupigiwa usiku wa manane na wanaume utafurahi?, au kuna biashara nyingine inaendelea juu ya hii number mimi ndio nimemiss point hapa?
 
Niaje wazeiyaaah..
Mko Bwaxx..

EBANA SAWA :
Nyie waswahili nasikia mwasema "kosea maisha usikosee nini...." Haya bana...
Kwa kuwa Namie sitaki kabisa kuja kujuta baada ya kuingia kwa ndoa nimefanya intensive investigation kwa my future baby mama na nimejiridhisha aisee kweli she deserve to be my next pillow...

MNAJUA NIMEFANYAJE :
Kwanza nilitafuta line za simu kama nne hivi tofauti... Nikawa namtongoza kwa gia mbali mbali nazozijua mie mfano kumrushia pesa ndefu 'with no reason', kumjulia hali each and every hour, good night every day, Good morning kibao... Kumualika heavy dinner at some Hot locations in Dar es Salaam.... Na mengine meengi siwezi kuorodhesha hapa sababu hamnilipi!!!!!

Yaan kama haitoshi nimetafuta machizi wanaojidai eti ni wataalam wa kupiga sound cjui ma 'play boy' na hela ikabidi nawapa ili tu wamtokee mchumba wangu TUONE kama atalainika LAKIN WAAAPI....

Kila mbinu nikitumia WAAAPI.... Mwanamke hababaiki... Hababaiki na pesa, dinner, romantic words, Good morning, I love you wala nini kubabake.

Mimi mwenyewe nimekua nilimtongoza kwa zaidi ya miez mitatu sasa (kwa umakini mkubwa haja gundua kama ni mie) pesa kibao amekula nimeingia loss kubwa zaidi ya Tsh........... Sasa nimeinua mikono juu na kusema kuwa NIMEAMINI MANZI WANGU MUAMINIFU....

Na kama mnadhani nawapiga porojo basi bila hiyana nawadondoshea namba yake hapa (picha siweki acheni ujinga) mnaojiita wataalam wa kupiga sound na vijisenti vyenu ruksa kumchalenji MREMBO wangu.... Then mtanipa feedback....
Akikubali kula mzigo (najua Huwezi hata utumie ndumba)

0764086614

Hiyo sasa tiririkeni mazee.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
ni bikira? kama sio bikira utasemaje ni mwaminifu? acha ushamba, hata hao uliowatumia washamla, ulifikiri watarudi kukuambia wamekula?
 
Bila hata vipimo we jamaa ni mentally retarded, kama kweli wewe ni engineer nakushauri anza ku engineer kichwa chako kwanza.
 
Back
Top Bottom