Hakufa kizembe: Nina hakika kuna watu walichezea vitasa. Tena vya maana

Hakufa kizembe: Nina hakika kuna watu walichezea vitasa. Tena vya maana

Kwenye kesi ya Mbowe na wale Commandos kuna mmoja anaitwa Mhina akiwa mahakamani anasimulia polisi walivyokuwa wanamfuatilia akiwa Tabora. Yaani mtu mmoja tu anafuatwa na gari mbili land cruiser hard top zilizojaa polisi wenye bunduki.

Mwanajeshi mmoja anaweza kuwatisha mamia ya polisi tena akiwa hana hata manati.
 
Silioni jeshi likikaa kimya Kwa kitendo cha police kumuuwa mwenzao kikatili hiv.

Serikali umechanganyikiwa Kwa tukio hili maana haisemwi Sana lakin uhalisia ni kuwa siasa za bongo zina harufu ya udini ndani yake.

Kwa tukio hili zipo dalili za Samia kuzikosa Kura za waislam.

Tanga wanajiuliza nin akitakacho Samia kutoka kwao?

Alianza kuwaondoa Wana Tanga kwenye Baraza lake la mawazir, hiyo haikutosha sasa anaua Wana Tanga?
 
Huyu alikuwa ni mwanajeshi mstaafu tena wa rank za juu. Ni wapi ni mtu aliyekuwa amekamilika kwenye medani za kivita hasa mbinu za kujilinda self defence tactics na ndio maana hata utekwaji wake ulikuwa wa kikomandoo

Imformer
Gari mbili za kazi
'Watu' wenye silaha za moto
Pingu

Haukuwa utekwaji wa kawaida. Watekaji walikuwa wamejiandaa vilivyo kwa lolote.

Walikuwa wanajua kwa hakika aina ya mtu wanayemteka na ndio maana baada tu ya kumvamia walumvalisha pingu almaarufu kama bangili na kuondoka naye kwa haraka sana.

Kuna swali moja muhimu sana hapa kwanini waliamua kutekeleza tukio lao pale kituo cha Kibo?

Katika Mojawapo ya simulizi za dereva anasema aliiona gari ikimfukuzia kwa nyuma tangu baada ya kutoka Kituo cha mabasi Mbezi.

Madereva wazoefu huwa wanajua anayewafukuzia ama anayewafuata ama kuwafuatilia.

Rejea simulizi ya dereva wa Tundu Lissu
Dereva wa bus la Tashrif hakutoa mwanya kwa gari husika limpite.

Yaani alilibania mpaka walipofika Kituo cha Kibo na kulazimika kusimama kupakia abiria.

Hapo hapo watekaji wakaona wasifanye kisa bali wapige ambush palepale na ndio maana gari moja likapiga block nyuma na kingine mbele

Kwa hesabu za haraka walijua fika Tashrif haiokotezi abiria njiani hivyo kusimama tena popote ingekuwa majaliwa labda pengine kwa kubahatisha Bagamoyo ama Kilingeni Msata.

Na huko hawakuwa na hakika nini kingetokea ama dereva angewastukia kwa asilimia 100 na kuharibu Mipango yote!

Emergency plan B ilifanikiwa na wakaweza kuondoka naye! Inawezekana kabisa huko walikompeleka walitoshana nguvu pengine hata kabla ya mahojiano.

Kumbukeni yule ni mstaafu jeshini sio mtu wa kutishwa akatishika..Nina hakika wana walichezea vitasa

Kwa uzoefu wangu majeruhi na wahanga wa utekwaji na ugomvi, wale wote walioonesha upinzani mkubwa hasa wa kugawa dozi za vitasa na ngumi za chembe.. Walipozidiwa na watesi wao walipigwa sana vichwani kuliko sehemu nyingine za mwili.

Mnakumbuka simulizi ya Dr. Ulimboka? Naye kati ya wale watekaji wake kuna mmoja alidili naye papendicular.

Yaani kimlalomlalo ndio maana walipomzidi nguvu walimbonda sana kichwa

Kwenye mapambano ya kupigania uhai kuna myth zinasema kuwa macho hurekodi matukio na kuyahifadhi.. Je ni maana walimtoboa macho?,🥺😭

Kingine cha kuumiza sana sana ni matumizi ya tindikali... Kama ilikuwepo ya kummwagia usoni.. Maana yake ipogo ya kumwaga kwenye mwili mzima! Je siku hiyo haikuwepo ya kutosha?

Iliyokuwepo ilitumika wapi na lini?

Kuna kila dalili kwamba walipata tabu sana kumpata.Aliwapiga chenga za kutosha sana na kwakweli maandalizi ya kumteka na kukaa naye hayakuwa ya kutosha ndio maana yakatokea yote yaliyotokea na wakaona wasikae na mwili wake!

Je, hofu kubwa ilikuwa ninini?

Tuupe muda wakati utasema!

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo

View attachment 3092791
ndugu yangu, kwa tuliopitia sanaa za mapigano, ukishaona wamekufunga pingu tu, jua wamekupunguzia asilimia kubwa sana ya upinzani. na kama wanakujua wewe ni mjeda, jua hawatakufungua pingu ng'ooo usijewapora bunduki kwa utaalamu wako. hivyo tuomboleze tu ila sidhani kama kulikuwa na upinzani wowote.
 
Huyu alikuwa ni mwanajeshi mstaafu tena wa rank za juu. Ni wapi ni mtu aliyekuwa amekamilika kwenye medani za kivita hasa mbinu za kujilinda self defence tactics na ndio maana hata utekwaji wake ulikuwa wa kikomandoo

Imformer
Gari mbili za kazi
'Watu' wenye silaha za moto
Pingu

Haukuwa utekwaji wa kawaida. Watekaji walikuwa wamejiandaa vilivyo kwa lolote.

Walikuwa wanajua kwa hakika aina ya mtu wanayemteka na ndio maana baada tu ya kumvamia walumvalisha pingu almaarufu kama bangili na kuondoka naye kwa haraka sana.

Kuna swali moja muhimu sana hapa kwanini waliamua kutekeleza tukio lao pale kituo cha Kibo?

Katika Mojawapo ya simulizi za dereva anasema aliiona gari ikimfukuzia kwa nyuma tangu baada ya kutoka Kituo cha mabasi Mbezi.

Madereva wazoefu huwa wanajua anayewafukuzia ama anayewafuata ama kuwafuatilia.

Rejea simulizi ya dereva wa Tundu Lissu
Dereva wa bus la Tashrif hakutoa mwanya kwa gari husika limpite.

Yaani alilibania mpaka walipofika Kituo cha Kibo na kulazimika kusimama kupakia abiria.

Hapo hapo watekaji wakaona wasifanye kisa bali wapige ambush palepale na ndio maana gari moja likapiga block nyuma na kingine mbele

Kwa hesabu za haraka walijua fika Tashrif haiokotezi abiria njiani hivyo kusimama tena popote ingekuwa majaliwa labda pengine kwa kubahatisha Bagamoyo ama Kilingeni Msata.

Na huko hawakuwa na hakika nini kingetokea ama dereva angewastukia kwa asilimia 100 na kuharibu Mipango yote!

Emergency plan B ilifanikiwa na wakaweza kuondoka naye! Inawezekana kabisa huko walikompeleka walitoshana nguvu pengine hata kabla ya mahojiano.

Kumbukeni yule ni mstaafu jeshini sio mtu wa kutishwa akatishika..Nina hakika wana walichezea vitasa

Kwa uzoefu wangu majeruhi na wahanga wa utekwaji na ugomvi, wale wote walioonesha upinzani mkubwa hasa wa kugawa dozi za vitasa na ngumi za chembe.. Walipozidiwa na watesi wao walipigwa sana vichwani kuliko sehemu nyingine za mwili.

Mnakumbuka simulizi ya Dr. Ulimboka? Naye kati ya wale watekaji wake kuna mmoja alidili naye papendicular.

Yaani kimlalomlalo ndio maana walipomzidi nguvu walimbonda sana kichwa

Kwenye mapambano ya kupigania uhai kuna myth zinasema kuwa macho hurekodi matukio na kuyahifadhi.. Je ni maana walimtoboa macho?,🥺😭

Kingine cha kuumiza sana sana ni matumizi ya tindikali... Kama ilikuwepo ya kummwagia usoni.. Maana yake ipogo ya kumwaga kwenye mwili mzima! Je siku hiyo haikuwepo ya kutosha?

Iliyokuwepo ilitumika wapi na lini?

Kuna kila dalili kwamba walipata tabu sana kumpata.Aliwapiga chenga za kutosha sana na kwakweli maandalizi ya kumteka na kukaa naye hayakuwa ya kutosha ndio maana yakatokea yote yaliyotokea na wakaona wasikae na mwili wake!

Je, hofu kubwa ilikuwa ninini?

Tuupe muda wakati utasema!

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo

View attachment 3092791
Kule Mwananyamala ile miili mingine 3 imeshaondolewa kufuta evidence
 
Huyu alikuwa ni mwanajeshi mstaafu tena wa rank za juu. Ni wapi ni mtu aliyekuwa amekamilika kwenye medani za kivita hasa mbinu za kujilinda self defence tactics na ndio maana hata utekwaji wake ulikuwa wa kikomandoo

Imformer
Gari mbili za kazi
'Watu' wenye silaha za moto
Pingu

Haukuwa utekwaji wa kawaida. Watekaji walikuwa wamejiandaa vilivyo kwa lolote.

Walikuwa wanajua kwa hakika aina ya mtu wanayemteka na ndio maana baada tu ya kumvamia walumvalisha pingu almaarufu kama bangili na kuondoka naye kwa haraka sana.

Kuna swali moja muhimu sana hapa kwanini waliamua kutekeleza tukio lao pale kituo cha Kibo?

Katika Mojawapo ya simulizi za dereva anasema aliiona gari ikimfukuzia kwa nyuma tangu baada ya kutoka Kituo cha mabasi Mbezi.

Madereva wazoefu huwa wanajua anayewafukuzia ama anayewafuata ama kuwafuatilia.

Rejea simulizi ya dereva wa Tundu Lissu
Dereva wa bus la Tashrif hakutoa mwanya kwa gari husika limpite.

Yaani alilibania mpaka walipofika Kituo cha Kibo na kulazimika kusimama kupakia abiria.

Hapo hapo watekaji wakaona wasifanye kisa bali wapige ambush palepale na ndio maana gari moja likapiga block nyuma na kingine mbele

Kwa hesabu za haraka walijua fika Tashrif haiokotezi abiria njiani hivyo kusimama tena popote ingekuwa majaliwa labda pengine kwa kubahatisha Bagamoyo ama Kilingeni Msata.

Na huko hawakuwa na hakika nini kingetokea ama dereva angewastukia kwa asilimia 100 na kuharibu Mipango yote!

Emergency plan B ilifanikiwa na wakaweza kuondoka naye! Inawezekana kabisa huko walikompeleka walitoshana nguvu pengine hata kabla ya mahojiano.

Kumbukeni yule ni mstaafu jeshini sio mtu wa kutishwa akatishika..Nina hakika wana walichezea vitasa

Kwa uzoefu wangu majeruhi na wahanga wa utekwaji na ugomvi, wale wote walioonesha upinzani mkubwa hasa wa kugawa dozi za vitasa na ngumi za chembe.. Walipozidiwa na watesi wao walipigwa sana vichwani kuliko sehemu nyingine za mwili.

Mnakumbuka simulizi ya Dr. Ulimboka? Naye kati ya wale watekaji wake kuna mmoja alidili naye papendicular.

Yaani kimlalomlalo ndio maana walipomzidi nguvu walimbonda sana kichwa

Kwenye mapambano ya kupigania uhai kuna myth zinasema kuwa macho hurekodi matukio na kuyahifadhi.. Je ni maana walimtoboa macho?,🥺😭

Kingine cha kuumiza sana sana ni matumizi ya tindikali... Kama ilikuwepo ya kummwagia usoni.. Maana yake ipogo ya kumwaga kwenye mwili mzima! Je siku hiyo haikuwepo ya kutosha?

Iliyokuwepo ilitumika wapi na lini?

Kuna kila dalili kwamba walipata tabu sana kumpata.Aliwapiga chenga za kutosha sana na kwakweli maandalizi ya kumteka na kukaa naye hayakuwa ya kutosha ndio maana yakatokea yote yaliyotokea na wakaona wasikae na mwili wake!

Je, hofu kubwa ilikuwa ninini?

Tuupe muda wakati utasema!

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo

View attachment 3092791
Polisi imekuwa siyo sehemu salama tena
Kimsingi vyombo vya Dola vilivyohusika na tukio hili wamefanya kitu kibaya Sana, Tena ni kitu kibaya sana kupita kiasi. Nashindwa kuandika maelezo mengi hapa mtandaoni, Ila tuombe Mungu tu atunusuru na dhahama nzito Sana inayokuja.
 
Kwenye kesi ya Mbowe na wale Commandos kuna mmoja anaitwa Mhina akiwa mahakamani anasimulia polisi walivyokuwa wanamfuatilia akiwa Tabora. Yaani mtu mmoja tu anafuatwa na gari mbili land cruiser hard top zilizojaa polisi wenye bunduki.

Mwanajeshi mmoja anaweza kuwatisha mamia ya polisi tena akiwa hana hata manati.
Tofautisha Commando na wanajeshi wa kawaida broh! Mwanajeshi wa kawaida hata polisi wanaweza kumkamata kirahisi ila Special Force ( SF/ CDO) ni shughuli pevu hasa akiamua kujitetea.

Hao jamaa waliamua tu kuwa wapole wasilete tombwili wangebambikiwa kesi nzito ya uhaini+ ugaidi.
 
ndugu yangu, kwa tuliopitia sanaa za mapigano, ukishaona wamekufunga pingu tu, jua wamekupunguzia asilimia kubwa sana ya upinzani. na kama wanakujua wewe ni mjeda, jua hawatakufungua pingu ng'ooo usijewapora bunduki kwa utaalamu wako. hivyo tuomboleze tu ila sidhani kama kulikuwa na upinzani wowote.
Hata angejitetea sana kimapigano asingefanikiwa mbele ya rundo la askari wenye mafunzo na idara za juu za kiserikali.
Hao wanakuzima na shoti Ili kukupunguzia nguvu na kukulegeza.
Jamani kuwa mstaafu wa jeshi haikupi guarantee ya kumudu kupiga kundi la maafisa wa kidola.
 
Back
Top Bottom