Hakufa kizembe: Nina hakika kuna watu walichezea vitasa. Tena vya maana

Hakufa kizembe: Nina hakika kuna watu walichezea vitasa. Tena vya maana

M
Silioni jeshi likikaa kimya Kwa kitendo cha police kumuuwa mwenzao kikatili hiv.

Serikali umechanganyikiwa Kwa tukio hili maana haisemwi Sana lakin uhalisia ni kuwa siasa za bongo zina harufu ya udini ndani yake.

Kwa tukio hili zipo dalili za Samia kuzikosa Kura za waislam.

Tanga wanajiuliza nin akitakacho Samia kutoka kwao?

Alianza kuwaondoa Wana Tanga kwenye Baraza lake la mawazir, hiyo haikutosha sasa anaua Wana Tanga?
Maneno yako yamenifikirisha sana nipo kwenye Tashrif naenda Dar.
 
Tofautisha Commando na wanajeshi wa kawaida broh! Mwanajeshi wa kawaida hata polisi wanaweza kumkamata kirahisi ila Special Force ( SF/ CDO) ni shughuli pevu hasa akiamua kujitetea.

Hao jamaa waliamua tu kuwa wapole wasilete tombwili wangebambikiwa kesi nzito ya uhaini+ ugaidi.
Sio kwa Commandos tu, hata kwa mwanajeshi asiye Commandos iko hivyo. Polisi ni waoga mno. Mafunzo ya jeshi yote ni ya kiume kweli.
 
Huyu alikuwa ni mwanajeshi mstaafu tena wa rank za juu. Ni wapi ni mtu aliyekuwa amekamilika kwenye medani za kivita hasa mbinu za kujilinda self defence tactics na ndio maana hata utekwaji wake ulikuwa wa kikomandoo

Imformer
Gari mbili za kazi
'Watu' wenye silaha za moto
Pingu

Haukuwa utekwaji wa kawaida. Watekaji walikuwa wamejiandaa vilivyo kwa lolote.

Walikuwa wanajua kwa hakika aina ya mtu wanayemteka na ndio maana baada tu ya kumvamia walumvalisha pingu almaarufu kama bangili na kuondoka naye kwa haraka sana.

Kuna swali moja muhimu sana hapa kwanini waliamua kutekeleza tukio lao pale kituo cha Kibo?

Katika Mojawapo ya simulizi za dereva anasema aliiona gari ikimfukuzia kwa nyuma tangu baada ya kutoka Kituo cha mabasi Mbezi.

Madereva wazoefu huwa wanajua anayewafukuzia ama anayewafuata ama kuwafuatilia.

Rejea simulizi ya dereva wa Tundu Lissu
Dereva wa bus la Tashrif hakutoa mwanya kwa gari husika limpite.

Yaani alilibania mpaka walipofika Kituo cha Kibo na kulazimika kusimama kupakia abiria.

Hapo hapo watekaji wakaona wasifanye kisa bali wapige ambush palepale na ndio maana gari moja likapiga block nyuma na kingine mbele

Kwa hesabu za haraka walijua fika Tashrif haiokotezi abiria njiani hivyo kusimama tena popote ingekuwa majaliwa labda pengine kwa kubahatisha Bagamoyo ama Kilingeni Msata.

Na huko hawakuwa na hakika nini kingetokea ama dereva angewastukia kwa asilimia 100 na kuharibu Mipango yote!

Emergency plan B ilifanikiwa na wakaweza kuondoka naye! Inawezekana kabisa huko walikompeleka walitoshana nguvu pengine hata kabla ya mahojiano.

Kumbukeni yule ni mstaafu jeshini sio mtu wa kutishwa akatishika..Nina hakika wana walichezea vitasa

Kwa uzoefu wangu majeruhi na wahanga wa utekwaji na ugomvi, wale wote walioonesha upinzani mkubwa hasa wa kugawa dozi za vitasa na ngumi za chembe.. Walipozidiwa na watesi wao walipigwa sana vichwani kuliko sehemu nyingine za mwili.

Mnakumbuka simulizi ya Dr. Ulimboka? Naye kati ya wale watekaji wake kuna mmoja alidili naye papendicular.

Yaani kimlalomlalo ndio maana walipomzidi nguvu walimbonda sana kichwa

Kwenye mapambano ya kupigania uhai kuna myth zinasema kuwa macho hurekodi matukio na kuyahifadhi.. Je ni maana walimtoboa macho?,🥺😭

Kingine cha kuumiza sana sana ni matumizi ya tindikali... Kama ilikuwepo ya kummwagia usoni.. Maana yake ipogo ya kumwaga kwenye mwili mzima! Je siku hiyo haikuwepo ya kutosha?

Iliyokuwepo ilitumika wapi na lini?

Kuna kila dalili kwamba walipata tabu sana kumpata.Aliwapiga chenga za kutosha sana na kwakweli maandalizi ya kumteka na kukaa naye hayakuwa ya kutosha ndio maana yakatokea yote yaliyotokea na wakaona wasikae na mwili wake!

Je, hofu kubwa ilikuwa ninini?

Tuupe muda wakati utasema!

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo

View attachment 3092791
Alikuwa anajua kinachoenda kutokea kwa nini hakugomea kwenye gari ikazuka zogo akawatumia abiria kama ulinzi wake? Hiyo ingezusha taharuki lakin ingesaidia kiasi chake maana wananchi wote tunajua kuwa kuna vitendo vya kigaidi vinaendelea na watu wanatekwa kila siku. Nasikitika tumempoteza mwanajeshi wetu na shujaa. R.I.P
 
sio kila mwanajeshi anauwezo wa kupambana na watu zaidi ya mmoja tena nao ni wakakamavu wenye silaha.
Kwa umri wa Marehemu hakuna namna angeweza kupambana na watu ambao waliweza kumteka na kumfunga pingu gizani zaidi ya pale pale kwenye gari.

Kimedani Marehemu alipaswa kuanzisha zogo na mtiti pale pale ndani ya bus kama tayari alishausoma michezo ili apate usaidizi wa watu wanaomfahamu hasa dereva na wahudumu wa bus + raia wema wengine, ingeleta tension kubwa Kwa watekaji na hata kuabbort mission.

Ukishatekwa out of public na ukawa kwenye miliki ya watekaji gizani huko unakuwa huna ujanja tena zaidi ya kutegemea huruma ya watekaji, au uwe kwenye level ya ukomando na uwe umeshawahi kukutana na harakati za namna hiyo kimedani, ukomando pia bila practise in real business hauwezi kukufanya ukawa competent kwenye issue ngumu.

Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi Mzee wetu Marehemu, amuondelee adhabu kaburi na kumpa kauli thabiti.
 
Huyu alikuwa ni mwanajeshi mstaafu tena wa rank za juu. Ni wapi ni mtu aliyekuwa amekamilika kwenye medani za kivita hasa mbinu za kujilinda self defence tactics na ndio maana hata utekwaji wake ulikuwa wa kikomandoo

Imformer
Gari mbili za kazi
'Watu' wenye silaha za moto
Pingu

Haukuwa utekwaji wa kawaida. Watekaji walikuwa wamejiandaa vilivyo kwa lolote.

Walikuwa wanajua kwa hakika aina ya mtu wanayemteka na ndio maana baada tu ya kumvamia walumvalisha pingu almaarufu kama bangili na kuondoka naye kwa haraka sana.

Kuna swali moja muhimu sana hapa kwanini waliamua kutekeleza tukio lao pale kituo cha Kibo?

Katika Mojawapo ya simulizi za dereva anasema aliiona gari ikimfukuzia kwa nyuma tangu baada ya kutoka Kituo cha mabasi Mbezi.

Madereva wazoefu huwa wanajua anayewafukuzia ama anayewafuata ama kuwafuatilia.

Rejea simulizi ya dereva wa Tundu Lissu
Dereva wa bus la Tashrif hakutoa mwanya kwa gari husika limpite.

Yaani alilibania mpaka walipofika Kituo cha Kibo na kulazimika kusimama kupakia abiria.

Hapo hapo watekaji wakaona wasifanye kisa bali wapige ambush palepale na ndio maana gari moja likapiga block nyuma na kingine mbele

Kwa hesabu za haraka walijua fika Tashrif haiokotezi abiria njiani hivyo kusimama tena popote ingekuwa majaliwa labda pengine kwa kubahatisha Bagamoyo ama Kilingeni Msata.

Na huko hawakuwa na hakika nini kingetokea ama dereva angewastukia kwa asilimia 100 na kuharibu Mipango yote!

Emergency plan B ilifanikiwa na wakaweza kuondoka naye! Inawezekana kabisa huko walikompeleka walitoshana nguvu pengine hata kabla ya mahojiano.

Kumbukeni yule ni mstaafu jeshini sio mtu wa kutishwa akatishika..Nina hakika wana walichezea vitasa

Kwa uzoefu wangu majeruhi na wahanga wa utekwaji na ugomvi, wale wote walioonesha upinzani mkubwa hasa wa kugawa dozi za vitasa na ngumi za chembe.. Walipozidiwa na watesi wao walipigwa sana vichwani kuliko sehemu nyingine za mwili.

Mnakumbuka simulizi ya Dr. Ulimboka? Naye kati ya wale watekaji wake kuna mmoja alidili naye papendicular.

Yaani kimlalomlalo ndio maana walipomzidi nguvu walimbonda sana kichwa

Kwenye mapambano ya kupigania uhai kuna myth zinasema kuwa macho hurekodi matukio na kuyahifadhi.. Je ni maana walimtoboa macho?,🥺😭

Kingine cha kuumiza sana sana ni matumizi ya tindikali... Kama ilikuwepo ya kummwagia usoni.. Maana yake ipogo ya kumwaga kwenye mwili mzima! Je siku hiyo haikuwepo ya kutosha?

Iliyokuwepo ilitumika wapi na lini?

Kuna kila dalili kwamba walipata tabu sana kumpata.Aliwapiga chenga za kutosha sana na kwakweli maandalizi ya kumteka na kukaa naye hayakuwa ya kutosha ndio maana yakatokea yote yaliyotokea na wakaona wasikae na mwili wake!

Je, hofu kubwa ilikuwa ninini?

Tuupe muda wakati utasema!

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo

View attachment 3092791
Ukishakula pingu tena za mikono nyuma alafu ukalegezwa goti la mguu mmoja..
Kinachofuata ni umber kati za mbavu (kwa kitako cha mtutu )na vitifu vya magoti (kwenye mashavu) huna ujanja wa kujizuia hata kama una mafunzo vipi.
Ukilegea unalazwa chini kwa tumbo unakanyagwa shingoni na mbavu zinagongwa tena kidogo
Hapo damu lazima ivirie kwenye mapafu na maini inakupelekea kushindwa kuhema ndio kwa heri
 
Huyu alikuwa ni mwanajeshi mstaafu tena wa rank za juu. Ni wapi ni mtu aliyekuwa amekamilika kwenye medani za kivita hasa mbinu za kujilinda self defence tactics na ndio maana hata utekwaji wake ulikuwa wa kikomandoo

Imformer
Gari mbili za kazi
'Watu' wenye silaha za moto
Pingu

Haukuwa utekwaji wa kawaida. Watekaji walikuwa wamejiandaa vilivyo kwa lolote.

Walikuwa wanajua kwa hakika aina ya mtu wanayemteka na ndio maana baada tu ya kumvamia walumvalisha pingu almaarufu kama bangili na kuondoka naye kwa haraka sana.

Kuna swali moja muhimu sana hapa kwanini waliamua kutekeleza tukio lao pale kituo cha Kibo?

Katika Mojawapo ya simulizi za dereva anasema aliiona gari ikimfukuzia kwa nyuma tangu baada ya kutoka Kituo cha mabasi Mbezi.

Madereva wazoefu huwa wanajua anayewafukuzia ama anayewafuata ama kuwafuatilia.

Rejea simulizi ya dereva wa Tundu Lissu
Dereva wa bus la Tashrif hakutoa mwanya kwa gari husika limpite.

Yaani alilibania mpaka walipofika Kituo cha Kibo na kulazimika kusimama kupakia abiria.

Hapo hapo watekaji wakaona wasifanye kisa bali wapige ambush palepale na ndio maana gari moja likapiga block nyuma na kingine mbele

Kwa hesabu za haraka walijua fika Tashrif haiokotezi abiria njiani hivyo kusimama tena popote ingekuwa majaliwa labda pengine kwa kubahatisha Bagamoyo ama Kilingeni Msata.

Na huko hawakuwa na hakika nini kingetokea ama dereva angewastukia kwa asilimia 100 na kuharibu Mipango yote!

Emergency plan B ilifanikiwa na wakaweza kuondoka naye! Inawezekana kabisa huko walikompeleka walitoshana nguvu pengine hata kabla ya mahojiano.

Kumbukeni yule ni mstaafu jeshini sio mtu wa kutishwa akatishika..Nina hakika wana walichezea vitasa

Kwa uzoefu wangu majeruhi na wahanga wa utekwaji na ugomvi, wale wote walioonesha upinzani mkubwa hasa wa kugawa dozi za vitasa na ngumi za chembe.. Walipozidiwa na watesi wao walipigwa sana vichwani kuliko sehemu nyingine za mwili.

Mnakumbuka simulizi ya Dr. Ulimboka? Naye kati ya wale watekaji wake kuna mmoja alidili naye papendicular.

Yaani kimlalomlalo ndio maana walipomzidi nguvu walimbonda sana kichwa

Kwenye mapambano ya kupigania uhai kuna myth zinasema kuwa macho hurekodi matukio na kuyahifadhi.. Je ni maana walimtoboa macho?,🥺😭

Kingine cha kuumiza sana sana ni matumizi ya tindikali... Kama ilikuwepo ya kummwagia usoni.. Maana yake ipogo ya kumwaga kwenye mwili mzima! Je siku hiyo haikuwepo ya kutosha?

Iliyokuwepo ilitumika wapi na lini?

Kuna kila dalili kwamba walipata tabu sana kumpata.Aliwapiga chenga za kutosha sana na kwakweli maandalizi ya kumteka na kukaa naye hayakuwa ya kutosha ndio maana yakatokea yote yaliyotokea na wakaona wasikae na mwili wake!

Je, hofu kubwa ilikuwa ninini?

Tuupe muda wakati utasema!

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo

View attachment 3092791
Last month rais alikuwa anagawa nishani kwa askari wa jwtz ikulu.

Kuna jamaa alikuwa anaelezewa wasifu wake mpaka mwishoni nikasema inakuwaje huyu mtu aki asi si inakuwa balaa maana ni
Kanali,comando,
kasoma
Cuba,uk,u.s.a,russia,turkey
Mission
Congo,commoro,kibiti,shelshel, nk.

Ameshawahi kuwa
Mkufunzi wa chuo cha usalama jeshini nk
 
Jamani kama kuna dokta yeyote aliyemtibu mgonjwa mwenye MANUNDU au mapengo mapya atoe taarifa usikute alikula ndoo ya maana kutoka kwa muhanga
 
Akuna kufa kzembe kfo nkfo tu ila wamemuuwa kwa ukatili kwl ndy nch yetu ilipo fikia Mungu pokea roho ya shujaa ukampe raha na furaha ya milele RIP kamanda
 
Huyu alikuwa ni mwanajeshi mstaafu tena wa rank za juu. Ni wapi ni mtu aliyekuwa amekamilika kwenye medani za kivita hasa mbinu za kujilinda self defence tactics na ndio maana hata utekwaji wake ulikuwa wa kikomandoo

Imformer
Gari mbili za kazi
'Watu' wenye silaha za moto
Pingu

Haukuwa utekwaji wa kawaida. Watekaji walikuwa wamejiandaa vilivyo kwa lolote.

Walikuwa wanajua kwa hakika aina ya mtu wanayemteka na ndio maana baada tu ya kumvamia walumvalisha pingu almaarufu kama bangili na kuondoka naye kwa haraka sana.

Kuna swali moja muhimu sana hapa kwanini waliamua kutekeleza tukio lao pale kituo cha Kibo?

Katika Mojawapo ya simulizi za dereva anasema aliiona gari ikimfukuzia kwa nyuma tangu baada ya kutoka Kituo cha mabasi Mbezi.

Madereva wazoefu huwa wanajua anayewafukuzia ama anayewafuata ama kuwafuatilia.

Rejea simulizi ya dereva wa Tundu Lissu
Dereva wa bus la Tashrif hakutoa mwanya kwa gari husika limpite.

Yaani alilibania mpaka walipofika Kituo cha Kibo na kulazimika kusimama kupakia abiria.

Hapo hapo watekaji wakaona wasifanye kisa bali wapige ambush palepale na ndio maana gari moja likapiga block nyuma na kingine mbele

Kwa hesabu za haraka walijua fika Tashrif haiokotezi abiria njiani hivyo kusimama tena popote ingekuwa majaliwa labda pengine kwa kubahatisha Bagamoyo ama Kilingeni Msata.

Na huko hawakuwa na hakika nini kingetokea ama dereva angewastukia kwa asilimia 100 na kuharibu Mipango yote!

Emergency plan B ilifanikiwa na wakaweza kuondoka naye! Inawezekana kabisa huko walikompeleka walitoshana nguvu pengine hata kabla ya mahojiano.

Kumbukeni yule ni mstaafu jeshini sio mtu wa kutishwa akatishika..Nina hakika wana walichezea vitasa

Kwa uzoefu wangu majeruhi na wahanga wa utekwaji na ugomvi, wale wote walioonesha upinzani mkubwa hasa wa kugawa dozi za vitasa na ngumi za chembe.. Walipozidiwa na watesi wao walipigwa sana vichwani kuliko sehemu nyingine za mwili.

Mnakumbuka simulizi ya Dr. Ulimboka? Naye kati ya wale watekaji wake kuna mmoja alidili naye papendicular.

Yaani kimlalomlalo ndio maana walipomzidi nguvu walimbonda sana kichwa

Kwenye mapambano ya kupigania uhai kuna myth zinasema kuwa macho hurekodi matukio na kuyahifadhi.. Je ni maana walimtoboa macho?,🥺😭

Kingine cha kuumiza sana sana ni matumizi ya tindikali... Kama ilikuwepo ya kummwagia usoni.. Maana yake ipogo ya kumwaga kwenye mwili mzima! Je siku hiyo haikuwepo ya kutosha?

Iliyokuwepo ilitumika wapi na lini?

Kuna kila dalili kwamba walipata tabu sana kumpata.Aliwapiga chenga za kutosha sana na kwakweli maandalizi ya kumteka na kukaa naye hayakuwa ya kutosha ndio maana yakatokea yote yaliyotokea na wakaona wasikae na mwili wake!

Je, hofu kubwa ilikuwa ninini?

Tuupe muda wakati utasema!

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo

Wewe mwenyewe umesema walijua aina ya mtu wanayeenda kumteka thats why immediately walimfunga pingu,,je unafikiri uko walikompeleka walimfungua pingu?chapisho zuri but senselessly actually
 
Hii rank yake isiyotajwa ni rank gani? Inawezekana alikuwa special. Lakini, he was a low profile person. Walikuwa na hofu gani naye?
hapa huitaji D mbili kuelewa mada kila kitu kipo wazi,mtoa mada kampa rank kubwa marehemu kwasababu ya namna walivyomteka na kumuua hakika jamaa alisumbua ndo maana yakamkuta maukatili zaidi
 
Last month rais alikuwa anagawa nishani kwa askari wa jwtz ikulu.

Kuna jamaa alikuwa anaelezewa wasifu wake mpaka mwishoni nikasema inakuwaje huyu mtu aki asi si inakuwa balaa maana ni
Kanali,comando,
kasoma
Cuba,uk,u.s.a,russia,turkey
Mission
Congo,commoro,kibiti,shelshel, nk.

Ameshawahi kuwa
Mkufunzi wa chuo cha usalama jeshini nk
Hao ndio wanatakiwa wawe karibu na umma
Bahati mbaya sana ccm ilishajiweka.katibu a jwtz.
 

Nimeiona video yake akiogelea baharini mwamba yuko vizuri sana. Naamini aliwatandazia dozi za maana hawa maqumer
Yeah wapiga mbizi kama yeye wana pumzi sana
Kwenye kesi ya Mbowe na wale Commandos kuna mmoja anaitwa Mhina akiwa mahakamani anasimulia polisi walivyokuwa wanamfuatilia akiwa Tabora. Yaani mtu mmoja tu anafuatwa na gari mbili land cruiser hard top zilizojaa polisi wenye bunduki.

Mwanajeshi mmoja anaweza kuwatisha mamia ya polisi tena akiwa hana hata manati.
Mwanajeshi mmoja anaweza kuwatisha mamia ya polisi tena akiwa hana hata manati.😁
Nje ya Mada. Mkuu Mshana Jr Najiuliza katikati ya matukio kibao ya watu kupotea, PT walijitokeza na story ya mganga wa kienyeji kuwa ndie anapoteza watu, kwamba kapoteza watu zaidi ya 13.

Cha ajabu hadi leo hakuna picha ya mganga, picha ya makaburi waliyofukua, kesi mahakamani, ndugu waliojitokeza kuhusishwa na maiti zilizofukuliwa/zilizookotwa (coz marehemu wote PT walitawataja majina, wala hakuna hata kijiji, wilaya au eneo lolote kuna story hiyo inazungumzwa.

Kweli zama hizi ufukue maiti zaidi ya 13 halafu hilo eneo lisiwe story? Watu wa eneo hilo wawe kimyaaa.

Nahisi walikuwa wanatupanga kwa story ya kutunga kutuaminisha watu wanapotezwa na mengi, wao hawahusiki. Hili la huyu mzee limewaumbua zaidi. Nawaza tu.
Kweli zama hizi ufukue maiti zaidi ya 13 halafu hilo eneo lisiwe story? Watu wa eneo hilo wawe kimyaaa.📌🔨
ndugu yangu, kwa tuliopitia sanaa za mapigano, ukishaona wamekufunga pingu tu, jua wamekupunguzia asilimia kubwa sana ya upinzani. na kama wanakujua wewe ni mjeda, jua hawatakufungua pingu ng'ooo usijewapora bunduki kwa utaalamu wako. hivyo tuomboleze tu ila sidhani kama kulikuwa na upinzani wowote.
Mbinu ziko nyingi sana ukishahisi usalama wako ni mdogo.. Unatulia kabisa na kujifanya zoba.. Kisha kiustaarabu kabisa unaomba kwenda msalani, kwakuwa ulikuwa mpole wanadanganyika na kukufungua walau mkono mmoja.. Ukitambua wazi kabisa nafasi ya kutoka salama ni finyu unaamua kufa kishujaa.. Unampelekea moto aliye karibu yako
Kule Mwananyamala ile miili mingine 3 imeshaondolewa kufuta evidence
Unaweza kukuta haipo tena🥺😭
Afu lela ulela. Kwa mujibu wa taarifa za mwanzo ni kuwa gari ilikuwa ikitokea Tanga kuja Dsm, ila maelezo yako ni kama vile gari ilikuwa ikitoka Dar kwenda Tanga.
Inatupa picha hii simulizi yako ni ya kijiweni kabisa wala haina uhusiano na taarifa halisi
Gari linalotoka Tanga linaanza kufika Mbezi au Tegeta?
Gari linalotoka Tanga likifika Tegeta litashusha abiria ama litapakia?
Amefanya uhaini huyo mzee jambo ambalo limepelekea kifo chake.
Uhaini gani huo? Kahukumiwa na mahakama gani?
 
Back
Top Bottom