Hakufa kizembe: Nina hakika kuna watu walichezea vitasa. Tena vya maana

Mkuu ukishapigwa pingu hauna ujanja hata ungelikuwa ni nani, watakufanya wanavyotaka na hauna ujanja.

Kurusha mingumi na mateke hadi mwili uwe huru.

Nadhani tujadili namna ya kukomesha mambo haya yaliyokithiri sana kwa sasa.
 

Nimeiona video yake akiogelea baharini mwamba yuko vizuri sana. Naamini aliwatandazia dozi za maana hawa maqumer
Yeah wapiga mbizi kama yeye wana pumzi sana
Mwanajeshi mmoja anaweza kuwatisha mamia ya polisi tena akiwa hana hata manati.😁
 

Nimeiona video yake akiogelea baharini mwamba yuko vizuri sana. Naamini aliwatandazia dozi za maana hawa maqumer
Yeah wapiga mbizi kama yeye wana pumzi sana
Mwanajeshi mmoja anaweza kuwatisha mamia ya polisi tena akiwa hana hata manati.😁
Kweli zama hizi ufukue maiti zaidi ya 13 halafu hilo eneo lisiwe story? Watu wa eneo hilo wawe kimyaaa.📌🔨
 
Afu lela ulela. Kwa mujibu wa taarifa za mwanzo ni kuwa gari ilikuwa ikitokea Tanga kuja Dsm, ila maelezo yako ni kama vile gari ilikuwa ikitoka Dar kwenda Tanga.
Inatupa picha hii simulizi yako ni ya kijiweni kabisa wala haina uhusiano na taarifa halisi
 

Nimeiona video yake akiogelea baharini mwamba yuko vizuri sana. Naamini aliwatandazia dozi za maana hawa maqumer
Yeah wapiga mbizi kama yeye wana pumzi sana
Mwanajeshi mmoja anaweza kuwatisha mamia ya polisi tena akiwa hana hata manati.😁
Kweli zama hizi ufukue maiti zaidi ya 13 halafu hilo eneo lisiwe story? Watu wa eneo hilo wawe kimyaaa.📌🔨
Mbinu ziko nyingi sana ukishahisi usalama wako ni mdogo.. Unatulia kabisa na kujifanya zoba.. Kisha kiustaarabu kabisa unaomba kwenda msalani, kwakuwa ulikuwa mpole wanadanganyika na kukufungua walau mkono mmoja.. Ukitambua wazi kabisa nafasi ya kutoka salama ni finyu unaamua kufa kishujaa.. Unampelekea moto aliye karibu yako
 

Nimeiona video yake akiogelea baharini mwamba yuko vizuri sana. Naamini aliwatandazia dozi za maana hawa maqumer
Yeah wapiga mbizi kama yeye wana pumzi sana
Mwanajeshi mmoja anaweza kuwatisha mamia ya polisi tena akiwa hana hata manati.😁
Kweli zama hizi ufukue maiti zaidi ya 13 halafu hilo eneo lisiwe story? Watu wa eneo hilo wawe kimyaaa.📌🔨
Mbinu ziko nyingi sana ukishahisi usalama wako ni mdogo.. Unatulia kabisa na kujifanya zoba.. Kisha kiustaarabu kabisa unaomba kwenda msalani, kwakuwa ulikuwa mpole wanadanganyika na kukufungua walau mkono mmoja.. Ukitambua wazi kabisa nafasi ya kutoka salama ni finyu unaamua kufa kishujaa.. Unampelekea moto aliye karibu yako
Kule Mwananyamala ile miili mingine 3 imeshaondolewa kufuta evidence
Unaweza kukuta haipo tena🥺😭
 

Nimeiona video yake akiogelea baharini mwamba yuko vizuri sana. Naamini aliwatandazia dozi za maana hawa maqumer
Yeah wapiga mbizi kama yeye wana pumzi sana
Mwanajeshi mmoja anaweza kuwatisha mamia ya polisi tena akiwa hana hata manati.😁
Kweli zama hizi ufukue maiti zaidi ya 13 halafu hilo eneo lisiwe story? Watu wa eneo hilo wawe kimyaaa.📌🔨
Mbinu ziko nyingi sana ukishahisi usalama wako ni mdogo.. Unatulia kabisa na kujifanya zoba.. Kisha kiustaarabu kabisa unaomba kwenda msalani, kwakuwa ulikuwa mpole wanadanganyika na kukufungua walau mkono mmoja.. Ukitambua wazi kabisa nafasi ya kutoka salama ni finyu unaamua kufa kishujaa.. Unampelekea moto aliye karibu yako
Kule Mwananyamala ile miili mingine 3 imeshaondolewa kufuta evidence
Unaweza kukuta haipo tena🥺😭
Gari linalotoka Tanga linaanza kufika Mbezi au Tegeta?
Gari linalotoka Tanga likifika Tegeta litashusha abiria ama litapakia?
 
Upambane kwa mikono mitupu na watu walio na silaha tena wamekufunga na pingu? Unaangalia sana movie nini?

Chamuhimu zifanyike juhudi kubwa ukweli ufahamike na wahusika wachukuliwe hatua.
Angesema aligoma kuwapa wanachotaka Sawa, lakini sio kupambana kiasi cha kuleta upinzani!
 

UPUUZI TU UMEANDIKA. KIBAO ALISHAKUWA MZEE. HALAFU UMEJICHANGANYA KUWA ALIFUNGWA PINGU. KISHA UNASEMA WATU WALICHEZEA VITASA. MWANDISHI UMEANDIKA KAMA MADOGO WA VIJIWENI. HAMNA FACT NI HABARI ZA KUJITUNGIA TU. MWACHENI MZEE WETU APUMZIKE SIYO KUANDIKA ANDIKA HABARI ZA KIPUUZI KUTAKA MPATE COMMENTS NYINGI
 

MNADANGANYANA SANA NYIE MADOGO.
 
Angesema aligoma kuwapa wanachotaka Sawa, lakini sio kupambana kiasi cha kuleta upinzani!
Kabisa tena trained soldier aliepata mafunzo sawasawa achana na hawa wa miez 6 siku zote anafundishwa kuwa watulivu kwenye hatari hasa akiwa amebanwa na adui mwenye silaha ili kuangalia chance ya kuokoa uhai au kuchelewesha asiuwawe kama kuna msaada unakuja angalau umkute yuko hai, na haufundishwi kupambana vita ambayo unajua kabisa utashindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…