Hakufa kizembe: Nina hakika kuna watu walichezea vitasa. Tena vya maana


Nimeiona video yake akiogelea baharini mwamba yuko vizuri sana. Naamini aliwatandazia dozi za maana hawa maqumer
Yeah wapiga mbizi kama yeye wana pumzi sana
Mwanajeshi mmoja anaweza kuwatisha mamia ya polisi tena akiwa hana hata manati.😁
Kweli zama hizi ufukue maiti zaidi ya 13 halafu hilo eneo lisiwe story? Watu wa eneo hilo wawe kimyaaa.📌🔨
Mbinu ziko nyingi sana ukishahisi usalama wako ni mdogo.. Unatulia kabisa na kujifanya zoba.. Kisha kiustaarabu kabisa unaomba kwenda msalani, kwakuwa ulikuwa mpole wanadanganyika na kukufungua walau mkono mmoja.. Ukitambua wazi kabisa nafasi ya kutoka salama ni finyu unaamua kufa kishujaa.. Unampelekea moto aliye karibu yako
Kule Mwananyamala ile miili mingine 3 imeshaondolewa kufuta evidence
Unaweza kukuta haipo tena🥺😭
Gari linalotoka Tanga linaanza kufika Mbezi au Tegeta?
Gari linalotoka Tanga likifika Tegeta litashusha abiria ama litapakia?
Jamani kama kuna dokta yeyote aliyemtibu mgonjwa mwenye MANUNDU au mapengo mapya atoe taarifa usikute alikula ndoo ya maana kutoka kwa muhanga
😂😂😂😂😂
 
Kama alifungwa pingu hivyo vitasa alirusha kwa ukamilifu? Tufariji tu
 
kuna kila dalili za kiasasi ambacho hakijawahi kutokea!
watu washachoka sasa muda wowote moto walioufukia na majivu utawaka kwa kuwa maskini hawana cha kupoteza zaidi ya roho zao zinazoteswa kwa dhuruma kila siku.
ni swala na muda na si muda mrefututayaona haya.
 
Kingine cha kuumiza sana sana ni matumizi ya tindikali... Kama ilikuwepo ya kummwagia usoni.. Maana yake ipogo ya kumwaga kwenye mwili mzima! Je siku hiyo haikuwepo ya kutosha?

Iliyokuwepo ilitumika wapi na lini?.

No wonder kuna miili haipatikani. Kama yule alierekodi msafara wa Samia kule Rukwa!!
 
Mzee nadhani hakufa kizembe nadhani alipambana ipasavyo. Ila mistake moja tu naona alifanya. Uwanja wa mapambano ulitakiwa kuwa pale pale kibo wakati watu wanaona
Hilo nalo neno, labda hakuichukulia serious kivile😇
 
Inaumiza sana kama binadamu mwenzangu..je kama baba? Babu? Mume? Mjomba...nk .nk?
Ila malipo ni hapa hapa duniani...
Wenzetu huko mbele mtuhumiwa ana haki until proven guilty hata aweje au amefanya nini.....

Watu wanamchora Trump yuko uchi...na wanaishi..huku mtu kachoma picha ya kizimkazi kaomba msamaha ila wameona haitoshi wamempoteza mpk leo...
Hii nchi ina watu wa ajabu sana hivi kwa nini hii hali ya kujihami au tuseme kutotaka kukosolewa imekua kubwa sana kweye huu utawal na ya mwendazake? Ni kwamba hawajiamini au?.
Huku kwetu sheria zipo hazifuatwi na hakuna wa kuwauliza..
 
KIFO ni KIFO tu.

Hii kauli itamuandama maisha yake yote hapa duniani.

GOD BLESS TANGANYIKA
 
KIFO ni KIFO tu.

Hii kauli itamuandama maisha yake yote hapa duniani.

GOD BLESS TANGANYIKA

Huu siyo wakati wa kuendelea kulalamika tu kwa maneno na kumuachia Mungu, huu ni wakati wa kuchukua hatua kwa vitendo.
Actions speaks louder than words
 
Walicheza hesabu zao vyema. Maana muhusika angefanikiwa kushiriki katika uongozi wa sasa ulioanza kutangaza hadharani misimamo yao juu ya uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, Bara pangechimbika. Nadhani kwa mara ya kwanza tungetoa wakimbizi kuelekea Kenya, Uganda na kwingineko. Taifa kwanza, mengine baadae. Mungu ibariki Afrika, Mungu ibari Tanzania.
 
Kitendo cha kupigwa bangili ndio kilifanya deadly martial art technique zisiwe workable
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…