Mkuu watu wana majumba ughaibuni. Hawa wanaweza kuwa uraia pacha. Wanafanyia birthday parties New York. Mwamba alisema yeye alikuwa rais wa wanyonge. Akasema palikuwa vita ya kiuchumi. Kuwa yeye alikuwa rais kwamba alijua mengi.
Akasema alikuwa kajitoa kupigana na mafisadi haya bila kujali litakalo mtokea.
Hawa wanaolamba asali hivi wasingemwacha kuwatishia usalama wao na mali zao.
Mwamba asingeweza kitoboa. Ninaona Pana hoja hapa. Tuwaombe mods subira tupandishe uzi kuomba kistaraabu kufukua kaburi.
Hatukuwemo, ila kwenye hili tutawaunga mkono. Kuna harufu kali ya panya mahali.