#COVID19 Hakujawahi kuwepo kitu kinachoitwa COVID duniani. Ni uongo wa mabeberu

Mkuu mbona ulipoachwa kutangazwa na ugonjwa ukafa.
Mbona watu walirudi mitaani kutoka karantini na hadi leo maambukizi hayakuongezeka badala yake yakaisha kabisa bila hata watu kujikinga.


Kiafya imekaaje hapo mkuu.
Kaongee huu upupu mbele ya makamo wa raisi nafikiri hata kuelewa
 
Covid -19 was a scam. Is like HIV/AIDS, Cancer Treatments & Democracy. Stay tunned, with time everything will be revealed.
 
Ni dhahiri Magufuli hakuwa kibaraka wa mabeberu na aliwanyoosha sana mabeberu na vibaraka wao.
 
Ni dhahiri Magufuli hakuwa kibaraka wa mabeberu na aliwanyoosha sana mabeberu na vibaraka wao.

Ninakubaliana nawe kwenye hili. Pamoja na makando kando yake mengine kwa hili la kumwagilia nyoyo kujiridhisha kuwa hakuhujumiwa haliwezi kuwa jambo baya kwa kila mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…