Hakujawahi kuwepo taifa la Palestine. Pata crush course kidogo

Hakujawahi kuwepo taifa la Palestine. Pata crush course kidogo

viongozi wote wa Israel kabla ya 1948 walikuwa na Passport ya Palestine

Hapa chini ni maombi ya visa kwa serikali ya Pmaisha ya hapo haya Ili 1948alestine kumkaribisha Shimon Peres kuingia Palestine miaka kadhaa kabla ya 1948. Shimon Peres baadae alikuja kuwa waziri mkuu wa Israel

View attachment 3096697
Labda ni tatizo la elimu,sijui ni kukosa uelewa au ufahamu najua maarifa mnayo, historia ya hapo haianzii 1948, vuta picha toka enzi ya Yakoub ,na kizazi chake ,Days na kizazi chake kabla ya kutazama leo au 1948
 
1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, sio taifa la Palestina.

2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman, sio dola ya Palestina.

3. Kabla ya Ufalme wa Ottoman, kulikuwa na dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, sio taifa la Palestina.

4. Kabla ya dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, kulikuwa na Dola ya Ayubid-Kurdi, sio dola ya Palestina.

5. Kabla ya Milki ya Ayubid, kulikuwa crusaders na Ufalme wa Kikristo wa Yerusalemu, sio nchi ya Palestina.

6. Kabla ya Ufalme wa Yerusalemu, kulikuwa na dola za Umayyad na Fatimid, sio dola ya Palestina.

7. Kabla ya dola za Umayyad na Fatimid, kulikuwa na dola ya Byzantine, sio dola ya Palestina.

8. Kabla ya Milki ya Byzantini, kulikuwa na Milki ya Sassanid-Persian, si nchi ya Palestina.

9. Kabla ya Milki ya Sassanid-Persian, kulikuwa na Milki ya Byzantine tena, sio nchi ya Palestina.

10. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Milki ya Kirumi, sio nchi ya Palestina.

11. Kabla ya Ufalme wa Kirumi, kulikuwa na taifa la Wayahudi la Hasmonean, si taifa la Palestina.

12. Kabla ya serikali ya Kiyahudi ya Wahasmonean, kulikuwa na himaya ya Ugiriki ya Seleucid, si taifa la Palestina.

13. Kabla ya himaya ya Ugiriki ya Seleucid, kulikuwa na himaya ya Alexander the Great, si taifa la Palestina.

14. Kabla ya himaya ya Aleksander the great, kulikuwa na milki ya Uajemi, si taifa la Palestina.

15. Kabla ya Milki ya Uajemi, kulikuwa na Milki ya Babeli, si nchi ya Palestina.

16. Kabla ya Milki ya Babeli, kulikuwa na falme za Israeli na Yuda, si taifa la Palestina.

17. Kabla ya Ufalme wa Israeli na Yuda, kulikuwa na Ufalme wa Israeli, sio nchi ya Palestina.

18. Kabla ya Ufalme wa Israeli, kulikuwa na utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, sio taifa la Palestina.

19. Kabla ya utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, palikuwa na mkusanyiko wa falme huru za miji ya Kanaani, si taifa la Palestina.

Kumekuwa na serikali nyingi huko, lakini hakujawahi kutokea Palestina.

Palestine ni propaganda state.
Hata hao LGBTQ wenzio, watu wa upinde wenzio ambao unawaunga mkono wanakubali kuwepo kwa taifa la Palestine (Palestinian State). Taifa la israel lilianzishwa na kutangazwa May 14, 1948 juzi tu ata miaka 100 haifiki.

Hakuna nchi inaitwa Israel, wale wote ni wageni waliletwa kuja kuishi pale kama diaspora kwenye ardhi ya Palestine baadae wakatangazwa ndio kwao wakaanza kumega ardhi ya palestine na kujikumbizia, Israel ata asili ya middle East hawana ni ubabe tu wa nchi za magharibi hadi leo, na watatoka tu hakuna namna.
 
1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, sio taifa la Palestina.

2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman, sio dola ya Palestina.

3. Kabla ya Ufalme wa Ottoman, kulikuwa na dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, sio taifa la Palestina.

4. Kabla ya dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, kulikuwa na Dola ya Ayubid-Kurdi, sio dola ya Palestina.

5. Kabla ya Milki ya Ayubid, kulikuwa crusaders na Ufalme wa Kikristo wa Yerusalemu, sio nchi ya Palestina.

6. Kabla ya Ufalme wa Yerusalemu, kulikuwa na dola za Umayyad na Fatimid, sio dola ya Palestina.

7. Kabla ya dola za Umayyad na Fatimid, kulikuwa na dola ya Byzantine, sio dola ya Palestina.

8. Kabla ya Milki ya Byzantini, kulikuwa na Milki ya Sassanid-Persian, si nchi ya Palestina.

9. Kabla ya Milki ya Sassanid-Persian, kulikuwa na Milki ya Byzantine tena, sio nchi ya Palestina.

10. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Milki ya Kirumi, sio nchi ya Palestina.

11. Kabla ya Ufalme wa Kirumi, kulikuwa na taifa la Wayahudi la Hasmonean, si taifa la Palestina.

12. Kabla ya serikali ya Kiyahudi ya Wahasmonean, kulikuwa na himaya ya Ugiriki ya Seleucid, si taifa la Palestina.

13. Kabla ya himaya ya Ugiriki ya Seleucid, kulikuwa na himaya ya Alexander the Great, si taifa la Palestina.

14. Kabla ya himaya ya Aleksander the great, kulikuwa na milki ya Uajemi, si taifa la Palestina.

15. Kabla ya Milki ya Uajemi, kulikuwa na Milki ya Babeli, si nchi ya Palestina.

16. Kabla ya Milki ya Babeli, kulikuwa na falme za Israeli na Yuda, si taifa la Palestina.

17. Kabla ya Ufalme wa Israeli na Yuda, kulikuwa na Ufalme wa Israeli, sio nchi ya Palestina.

18. Kabla ya Ufalme wa Israeli, kulikuwa na utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, sio taifa la Palestina.

19. Kabla ya utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, palikuwa na mkusanyiko wa falme huru za miji ya Kanaani, si taifa la Palestina.

Kumekuwa na serikali nyingi huko, lakini hakujawahi kutokea Palestina.

Palestine ni propaganda state.
Ni "crash course", si "crush course".
 
Kwahiyo saivi
Mkuu ni vema ukasoma kabla HUJAJA HAPA KUONGEA UTUMBO.
Niongee tu kwa kifupi.
Hizo himaya ulizozitaja za Mamluk,Ottoman, Byzantine,Roman,Umayyad Caliphate,Persia zote hizo zilikua na maeneo yake na makao makuu yake.
NA wewe taarifa ulivyoileta ni sawa na kusema HIZO HIMAYA ZOTE ZILIKUA SEHEMU MOJA IITWAYO PALESTINA.
Byzantine ilikua Constantinople.
Roman ilikua Rome Italy.
Ottoman ilikua Konya.
Persia ilikua Konya pia kabla ya Waturuki kuipora Konya toka kwa Persia.
Mamluk ilikua DOLA NDOGO SANA CHINI YA OTTOMAN ambayo ilikua inahusisha Egypt,Algeria na Alleppo/Syria.
Eneo hilo la Palestina lilitawaliwa na himaya hizo tofauti.
Na himaya ya mwisho kuitawala ni Ottoman kabla Uingereza haijaifanya kuwa mandatory.
Na ndio maana ikatambulika kama BRITISH PALESTINE MANDATORY STATE.

Someni jamani msije kutudanganya humu ndani.
Kwahiyo saivi waachiwe ISRAEL badae Tanzania si ni yakuachiana tu
 
viongozi wote wa Israel kabla ya 1948 walikuwa na Passport ya Palestine

Hapa chini ni maombi ya visa kwa serikali ya Palestine kumkaribisha Shimon Peres kuingia Palestine miaka kadhaa kabla ya 1948. Shimon Peres baadae alikuja kuwa waziri mkuu wa Israel

View attachment 3096697
But the land was under Jews au Arabs? what we know Arabs walihamishiwa Jordan
 
But the land was under Jews au Arabs? what we know Arabs walihamishiwa Jordan
Jews were a minority.

When zionists migrated to Palestine, they connived to do an ethnic cleansing of arabs majority. Jence they perpetrated what is famously known as Nakba, which was the leaving of more than 750000 arab inhabitants.
 
Back
Top Bottom