Hakukuwa na sababu ya Profesa Mkenda kuzungumza aliyoyazungumza hadharani. Kiongozi ni kuwa na Kifua na Uvumilivu

..ukisikiliza hotuba nzima huwezi kutoka na mtizamo hasi kuhusu kauli ya Prof.Mkenda.
Hotuba niliisikiliza vyema na kwa umakini mkubwa. Mimi huwa sikurupuki wala kuandika jambo kwa mihemuko
 
Wewe Jamaa ni Mpumbavu Sana tu, Yaani katika Wajinga Wewe ndio umeshika Mpini, Unataka kutuambia kitu Gani? Wewe na Professor Mkenda Nani Mwenye Akili Zaidi? Chawa JUNYA Mkubwa weeee+ Ndigiri
Kwani unafahamu kiwango changu cha akili? Inaonyesha wewe ni mgonjwa wa akili
 
Nimeisikiliza hotuba ya Mkenda, kama ilivyokawaida ya Hawa wanasiasa uchwara kazi yao ni kujipendekeza kwa wakubwa and Mkenda is no exception!
At issue katika hotuba yake ni ile lazima kuelezea hadharani kuwa wasaidizi wa Rais walikuwa wanawazuia kumuona Rais!! Alitaka kupeleka ujumbe gani kuhusu uhusiano wa Rais na wasaidizi wake vis a vis some members of the cabinet?
To me Mkenda has shown that he is not a team player hence he is a liability to the government.
 
Kwa hiyo unaona ni sawa huyo Rajabu akitukana mawaziri wanaomsaidia rais? Wakati mwingine ni vizuri ukifikiria kwa kutumia ubongo kuliko kutumia tumbo lako. Wewe Mwashamba kweli, kwa hiyo akinyamaza ingekusaidia nini? Bado una ile mentality ya kijamaa ya kuficha ficha vitu.
 
Umesema ukweli mchungu kabisa
 
Nani aliyetukanwa?
 
Ukiona ivyo ujuwe tabia izo zimekuwa kero kupitiliza, wasomi wa aina ya Prof Mkenda huwa wamenyooka sana
 
Hakukuwa na haja ya kusema "..Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan"
 
Ungekuwa umewahi kuwa kiongozi wa ngazi yoyote ile ungeelewa hiki nilicho kiandika hapa
Uzuri silikwa urefu wa kamba na siko tayari kula kwa urefu wa kamba,wala kwa kichaka cha uchawa kwa wala kwa urefu wa kamba.
 
... Nakubaliana na wewe. Amefanya jambo la hovyo sana kama Kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…