Hakuna aliyekufa na kurudi na kushuhudia maandiko kuhusu maisha baada ya kifo, je mwisho mwema ni upi?

Hakuna aliyekufa na kurudi na kushuhudia maandiko kuhusu maisha baada ya kifo, je mwisho mwema ni upi?

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Kuna kauli huwa inatolewa ya Mwisho mwema hasa pale inapoonekana Mtu tajiri au hawa ma celebrities/watu maarufu wanavyofurahia maisha , kwenye comments za watu utakuta tujaliwe mwisho mwema .

Je kufia imani , kutotafuta pesa na kuwa maskini , kutofurahia ya dunia kunakufanya kuwa na mwisho mwema ?







 
Ndugu yangu nakukaribisha usome Quran kwani ina majibu yote ya maisha ya hapa duniani na huko tunakokwenda baada ya kufa. Usisubiri mpaka ufe ili ujue kama ni kweli au laa kwa sababu it will be too late. Its now or never. Majuto baada ya kifo huwa ni makubwa sana

QURAN 23: 99-116

99. Mpaka yanapo mfikia mmoja wao mauti, husema: Mola wangu Mlezi! Nirudishe (tena duniani)

100. Ili nitende mema sasa badala ya yale niliyo yaacha. Wapi! Hii ni kauli aisemayo yeye tu. Na nyuma yao kipo kizuizi (hawezi kurudi duniani) mpaka siku watapo fufuliwa.

101. Basi litapo pulizwa baragumu hapo hautakuwapo ujamaa baina yao siku hiyo, wala hawataulizana.

102. Ama wale ambao mizani zao zitakuwa nzito, hao ndio wenye kufanikiwa.

103. Na wale ambao mizani zao zitakuwa nyepesi, hao ndio walio zitia hasarani nafsi zao, na katika Jahanamu watadumu.

104. Moto utababua nyuso zao, nao watakuwa na nyuso zilizo kunjana.


105. Je! Hazikuwa Aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha?

106. Watasema: Mola wetu Mlezi! Tulizidiwa na uovu wetu na tukawa watu tulio potea.

107. Mola wetu Mlezi! Tutoe humu Motoni (uturudishe tena duniani) Na kama tukifanya tena maasi basi kweli sisi ni wenye kudhulumu.

108. Atasema Mwenyezi Mungu: Tokomeeni humo, wala msinisemeze.

109. Bila ya shaka lilikuwapo kundi katika waja wangu likisema: Mola wetu Mlezi! Tumeamini; basi tusamehe na uturehemu, nawe ndiwe Mbora wa wanao rehemu.

110. Lakini nyinyi mliwakejeli hata wakakusahaulisheni kunikumbuka, na mlikuwa mkiwacheka.

111. Hakika Mimi leo nimewalipa kwa vile walivyo subiri. Bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu.

112. Atasema: (Mwenyezi Mungu) Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka?

113. Watasema: Tulikaa siku moja au sehemu ya siku (haitimii siku kamili). Basi waulize wanao weka hisabu.

114. Atasema: Nyinyi hamkukaa huko duniani ila kidogo tu, laiti ingeli kuwa mnajua.

115. Je! Mlidhani ya kwamba tulikuumbeni bure tu, na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa?

116. Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki, hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi Tukufu.
 
Ndugu yangu nakukaribisha usome Quran kwani ina majibu yote ya maisha ya hapa duniani na huko tunakokwenda baada ya kufa. Usisubiri mpaka ufe ili ujue kama ni kweli au laa kwa sababu it will be too late. Its now or never. Majuto baada ya kifo huwa ni makubwa sana

QURAN 23: 99-116

99. Mpaka yanapo mfikia mmoja wao mauti, husema: Mola wangu Mlezi! Nirudishe (tena duniani)

100. Ili nitende mema sasa badala ya yale niliyo yaacha. Wapi! Hii ni kauli aisemayo yeye tu. Na nyuma yao kipo kizuizi (hawezi kurudi duniani) mpaka siku watapo fufuliwa.

101. Basi litapo pulizwa baragumu hapo hautakuwapo ujamaa baina yao siku hiyo, wala hawataulizana.

102. Ama wale ambao mizani zao zitakuwa nzito, hao ndio wenye kufanikiwa.

103. Na wale ambao mizani zao zitakuwa nyepesi, hao ndio walio zitia hasarani nafsi zao, na katika Jahanamu watadumu.

104. Moto utababua nyuso zao, nao watakuwa na nyuso zilizo kunjana.


105. Je! Hazikuwa Aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha?

106. Watasema: Mola wetu Mlezi! Tulizidiwa na uovu wetu na tukawa watu tulio potea.

107. Mola wetu Mlezi! Tutoe humu Motoni (uturudishe tena duniani) Na kama tukifanya tena maasi basi kweli sisi ni wenye kudhulumu.

108. Atasema Mwenyezi Mungu: Tokomeeni humo, wala msinisemeze.

109. Bila ya shaka lilikuwapo kundi katika waja wangu likisema: Mola wetu Mlezi! Tumeamini; basi tusamehe na uturehemu, nawe ndiwe Mbora wa wanao rehemu.

110. Lakini nyinyi mliwakejeli hata wakakusahaulisheni kunikumbuka, na mlikuwa mkiwacheka.

111. Hakika Mimi leo nimewalipa kwa vile walivyo subiri. Bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu.

112. Atasema: (Mwenyezi Mungu) Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka?

113. Watasema: Tulikaa siku moja au sehemu ya siku (haitimii siku kamili). Basi waulize wanao weka hisabu.

114. Atasema: Nyinyi hamkukaa huko duniani ila kidogo tu, laiti ingeli kuwa mnajua.

115. Je! Mlidhani ya kwamba tulikuumbeni bure tu, na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa?

116. Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki, hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi Tukufu.
Quran ina majibu yote ya hapa duniani ila ya uongo.

Ni ya uongo kwasababu ni yanapishana na science.

Ni ya uongo kwasababu yana utata mwingi sana kiasi cha kujipinga yenyewe.


There is no God at all.
 
Quran ina majibu yote ya hapa duniani ila ya uongo.

Ni ya uongo kwasababu ni yanapishana na science.

Ni ya uongo kwasababu yana utata mwingi sana kiasi cha kujipinga yenyewe.


There is no God at all.
According to science? Yenyewe haijui mambo mengi mno. Ingekuwa na majibu kusingekuwa na imani.
 
According to science? Yenyewe haijui mambo mengi mno. Ingekuwa na majibu kusingekuwa na imani.
Then Hakuna sehemu nmedai science inajua mambo yote.

Je unadhani ni sahihi kwa quran kupishana na science kwa yale mambo ambayo science tayari inamajibu yake!?
 
Then Hakuna sehemu nmedai science inajua mambo yote.

Je unadhani ni sahihi kwa quran kupishana na science kwa yale mambo ambayo science tayari inamajibu yake!?
Hapana hatahivyo kwa sababu sayansi haijui siri za ulimwengu ikiwemo kifo basi huwezi toa hitimisho la kinacholetwa na imani.
 
أَيَعِدُكُمْ أَنَّكُمْ إِذَا مِتُّمْ وَكُنتُمْ تُرَابًا وَعِظَامًا أَنَّكُم مُّخْرَجُونَ ﴿٣٥﴾

35. Je, anakuahidini kwamba nyinyi mtakapokufa, mkawa mchanga na mifupa kuwa ati mtatolewa (kuwa hai)?[10]

هَيْهَاتَ هَيْهَاتَ لِمَا تُوعَدُونَ ﴿٣٦﴾

36. Mbali kabisa, hayawezekani kabisa! Hayo mnayoahidiwa.

إِنْ هِيَ إِلَّا حَيَاتُنَا الدُّنْيَا نَمُوتُ وَنَحْيَا وَمَا نَحْنُ بِمَبْعُوثِينَ ﴿٣٧﴾

37. Hakuna lolote isipokuwa tu uhai wetu wa duniani, tunakufa na tunaishi, na wala sisi hatutofufuliwa.

إِنْ هُوَ إِلَّا رَجُلٌ افْتَرَىٰ عَلَى اللَّـهِ كَذِبًا وَمَا نَحْنُ لَهُ بِمُؤْمِنِينَ ﴿٣٨﴾

38. Yeye si lolote isipokuwa mtu aliyemtungia Allaah uongo, nasi hatutomwamini.
قَالَ رَبِّ انصُرْنِي بِمَا كَذَّبُونِ ﴿٣٩﴾

39. (Mtume huyo) akasema: Rabb wangu! Ninusuru kwa sababu wamenikadhibisha.
 
Quran ina majibu yote ya hapa duniani ila ya uongo.

Ni ya uongo kwasababu ni yanapishana na science.

Ni ya uongo kwasababu yana utata mwingi sana kiasi cha kujipinga yenyewe.


There is no God at all.
Naomba sehemu moja tu ambayo qur an inajigonga yenywe kwa yenyewe
 
Science ipi inaizunfumzia kiongoz? Hii isiyojua hata asili ya mwanadam wakasema ni sokwe au hii inayosema ulitokea mlipuko ukapatikana dunia?
Then Hakuna sehemu nmedai science inajua mambo yote.

Je unadhani ni sahihi kwa quran kupishana na science kwa yale mambo ambayo science tayari inamajibu yake!?s
 
Yesu alikufa na kufuka na kuelezea maisha baada ya kifo. Dunia ni panda na kubwa. Unachokijua duniani ni punje tu. Yako Mambo mengi yanayoendelea ulimwenguni na huyajui
 
Kuna kauli huwa inatolewa ya Mwisho mwema hasa pale inapoonekana Mtu tajiri au hawa ma celebrities/watu maarufu wanavyofurahia maisha , kwenye comments za watu utakuta tujaliwe mwisho mwema .

Je kufia imani , kutotafuta pesa na kuwa maskini , kutofurahia ya dunia kunakufanya kuwa na mwisho mwema ?







Naona umeacha kuandika mambi ya siasa ndio umepotea kabisa
 
Ndugu yangu nakukaribisha usome Quran kwani ina majibu yote ya maisha ya hapa duniani na huko tunakokwenda baada ya kufa. Usisubiri mpaka ufe ili ujue kama ni kweli au laa kwa sababu it will be too late. Its now or never. Majuto baada ya kifo huwa ni makubwa sana

QURAN 23: 99-116

99. Mpaka yanapo mfikia mmoja wao mauti, husema: Mola wangu Mlezi! Nirudishe (tena duniani)

100. Ili nitende mema sasa badala ya yale niliyo yaacha. Wapi! Hii ni kauli aisemayo yeye tu. Na nyuma yao kipo kizuizi (hawezi kurudi duniani) mpaka siku watapo fufuliwa.

101. Basi litapo pulizwa baragumu hapo hautakuwapo ujamaa baina yao siku hiyo, wala hawataulizana.

102. Ama wale ambao mizani zao zitakuwa nzito, hao ndio wenye kufanikiwa.

103. Na wale ambao mizani zao zitakuwa nyepesi, hao ndio walio zitia hasarani nafsi zao, na katika Jahanamu watadumu.

104. Moto utababua nyuso zao, nao watakuwa na nyuso zilizo kunjana.


105. Je! Hazikuwa Aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha?

106. Watasema: Mola wetu Mlezi! Tulizidiwa na uovu wetu na tukawa watu tulio potea.

107. Mola wetu Mlezi! Tutoe humu Motoni (uturudishe tena duniani) Na kama tukifanya tena maasi basi kweli sisi ni wenye kudhulumu.

108. Atasema Mwenyezi Mungu: Tokomeeni humo, wala msinisemeze.

109. Bila ya shaka lilikuwapo kundi katika waja wangu likisema: Mola wetu Mlezi! Tumeamini; basi tusamehe na uturehemu, nawe ndiwe Mbora wa wanao rehemu.

110. Lakini nyinyi mliwakejeli hata wakakusahaulisheni kunikumbuka, na mlikuwa mkiwacheka.

111. Hakika Mimi leo nimewalipa kwa vile walivyo subiri. Bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu.

112. Atasema: (Mwenyezi Mungu) Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka?

113. Watasema: Tulikaa siku moja au sehemu ya siku (haitimii siku kamili). Basi waulize wanao weka hisabu.

114. Atasema: Nyinyi hamkukaa huko duniani ila kidogo tu, laiti ingeli kuwa mnajua.

115. Je! Mlidhani ya kwamba tulikuumbeni bure tu, na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa?

116. Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki, hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi Tukufu.
Mambo ya bikra 72
 
Kuna kauli huwa inatolewa ya Mwisho mwema hasa pale inapoonekana Mtu tajiri au hawa ma celebrities/watu maarufu wanavyofurahia maisha , kwenye comments za watu utakuta tujaliwe mwisho mwema .

Je kufia imani , kutotafuta pesa na kuwa maskini , kutofurahia ya dunia kunakufanya kuwa na mwisho mwema ?



Kuwa na mwisho mwema ni kujiepusha kufanya mambo yanayo umiza watu wengine
Kwa Mfano
1. Usipindishe sheria na kunyima mtu haki yake
2. Usipunje kwenye mizani
3. Usishuhudie uongo kwani unaumiza au unanyima haki mwingine
4. Usiibe au kushiriki kuiba kwa namna yoyote ile
5. Usifanye ushirikia/ uchawi kwa kuwadhuru watu wengine
6. Usiue nafsi ambayo haina hatia nk nknk

Mungu hana tatizo na watu kuwa Matajiri, japo anatoa angalizo kuwa, utajiri wa mtu usiwaumize watu wengine
Lakini pia, tajiri anayetoa misaada hasa kwa wasio na uwezo anafanya vizuri sana kwani Mungu hupenda watu wenye manufaa kwa watu wengine.
 
Back
Top Bottom