Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Muhusika no 2 ninani Uduguu ??[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!!

No 1- Mzee wa miongozo
No2-Antonnia
No3-……watu wasiojulikana
No4-Wachachua shuhuli (masijala)
No5- Ndio sisi sasa wambea wa kijiwe nongwa

Haya tupeni burudani walaji wa mwisho [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwenzio Nazeeka Vibaya uduguuu hata sikumbuki kabesaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]!
Vipi hanii wako Hajambo kwanza???[emoji1787][emoji1787][emoji1783][emoji1783][emoji1783]! Usisahau kunionjesha cakee uduguuu watruuu na haniiii zeinyuuuuu[emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji1783]!!

Honey anasema bado hajaona km me kila akitaka kuondoka anarudi uko pembeni anajionea mashikoro mageni [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
No 1- Mzee wa miongozo
No2-Antonnia
No3-……watu wasiojulikana
No4-Wachachua shuhuli (masijala)
No5- Ndio sisi sasa wambea wa kijiwe nongwa

Haya tupeni burudani walaji wa mwisho [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi wa kijiwenongwa hatuna shughuli ndogo tumekaa masikio juuu juu tunataka ubuyu
 
Saw
Sema wewe ndio hujawahi kuona uzi wake

Enzi zile yuko kwenye penzi zito,mahaba mahabani alikuwa kila mwaka anabandika uzi wa kumpongeza mpenzi wake kutimiza miaka fulani
Siku akipewa miuno feni ataweka uzi wa kusifia mpenzi wake na vingereza vyao vya hapa na pale 🤣

Mapenzi haya dadeq! 😂

Kimsingi Smart911 tushaona sana nyuzi zake za kutosha
Sawasawa..
 
No 1- Mzee wa miongozo
No2-Antonnia
No3-……watu wasiojulikana
No4-Wachachua shuhuli (masijala)
No5- Ndio sisi sasa wambea wa kijiwe nongwa

Haya tupeni burudani walaji wa mwisho [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao Wala masalia wana kisebusebu na kiroho papu ajeee! Wakiona uzi kumuhusu jamaa tu viharage vyote vinawasimama haoo pruuuuuuuuu na hawajaitwa wala kutajwa!!!
 
Back
Top Bottom