YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Sisi wa kijiwenongwa hatuna shughuli ndogo tumekaa masikio juuu juu tunataka ubuyu
Hatutoki labda watuue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na umbea hatuachi ng’o ndo kumekucha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wa kijiwenongwa hatuna shughuli ndogo tumekaa masikio juuu juu tunataka ubuyu
🤠🤠🤠🤠🤠😁😁😁😁😁!Afu wambea wale wa mwanzo waliokuwa wanachachua shughuli mbona siwaoni au wameenda lunch?? Emu rudini muhusika no 2 kafika mnaondakaje sasa???[emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Hao Wala masalia wana kisebusebu na kiroho papu ajeee! Wakiona uzi kumuhusu jamaa tu viharage vyote vinawasimama haoo pruuuuuuuuu na hawajaitwa wala kutajwa!!!
[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!
Kirusiiiiiiiiiii!!
Yotee hii kisa liborooouuuuu nyiee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!
kasinde! aisee kumbe kaka ni chinja chinja[emoji23][emoji23][emoji23] mambo ni mengi humu kaka yangu sijui bado yupo nae alikuwa anamuandikia nyuzi jamaa. Anaitwa Kasinde kama sikosei
Tena anipe yote
Mambo yao nawaachia wao wenyewee, lakini maboro yao wanipe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asiibanie
Unipatie zile za kimasai, ziwe nyingi nyingi 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asiibanie
Mambo yao nawaachia wao wenyewee, lakini maboro yao wanipe.
Kiruuuuuu 🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🙌🙌🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!Linawachanganya?? Nasikia una mtoto wa mzee wa miongozo eti? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nini 🤣Weweee....😊
Unipatie zile za kimasai, ziwe nyingi nyingi [emoji23]
Nishashiba jobless nipo kwa hewa now!Best ulienda lunch? Nimesubiri hapa mpk usingizi ulitaka kunipitia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya tuendelee eee ko kuna watu wazee wa loose ball
Inasemekana lakini😃Linawachanganya?? Nasikia una mtoto wa mzee wa miongozo eti? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanasema Etiiiih..🤐Kiruuuuuu 🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🙌🙌🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Nishashiba jobless nipo kwa hewa now!
Ah humu watu noma sana dada!!
kwahyo itoshe kusema mayai alilia chipsi au😃Nishashiba jobless nipo kwa hewa now!
Ah humu watu noma sana dada!!
Inasemekana lakini[emoji2]
kwahyo itoshe kusema mayai alilia chipsi au[emoji2]