Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Afu wambea wale wa mwanzo waliokuwa wanachachua shughuli mbona siwaoni au wameenda lunch?? Emu rudini muhusika no 2 kafika mnaondakaje sasa???[emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Muhusika no 2 ninani Uduguu ??πŸ€ πŸ€ πŸ€ πŸ€ πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£!!!
 
Hivo hivo tupe wengine tulipitwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenzio Nazeeka Vibaya uduguuu hata sikumbuki kabesaaaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚!
Vipi hanii wako Hajambo kwanza???🀣🀣🀠🀠🀠! Usisahau kunionjesha cakee uduguuu watruuu na haniiii zeinyuuuuuπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ€ !!
 
Muhusika no 2 ninani Uduguu ??[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!!

No 1- Mzee wa miongozo
No2-Antonnia
No3-……watu wasiojulikana
No4-Wachachua shuhuli (masijala)
No5- Ndio sisi sasa wambea wa kijiwe nongwa

Haya tupeni burudani walaji wa mwisho [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Honey anasema bado hajaona km me kila akitaka kuondoka anarudi uko pembeni anajionea mashikoro mageni [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Sisi wa kijiwenongwa hatuna shughuli ndogo tumekaa masikio juuu juu tunataka ubuyu
 
Weee unahusika kwa asilimia zote!![emoji3166]!
Mie tena nahusika vipi mkuu???
Khakhakhaaaa....Ebu ncheke kwanzaaa!!
Ila jf πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£!!
 
Saw Sawasawa..
 
Hao Wala masalia wana kisebusebu na kiroho papu ajeee! Wakiona uzi kumuhusu jamaa tu viharage vyote vinawasimama haoo pruuuuuuuuu na hawajaitwa wala kutajwa!!!
 
Ila jamaa atakua na matatizo sio buree!! Ni kwamba huko aliko haoni wanawake au???? Mbona anajiaibisha kupitia hadi vibibi humu????
jamaa hana matatizo ni kataa ndoa mmoja makini ana walala alafu anatembea.

love dramatizer back in days
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…