Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
38-858 SR9 C12 Pigpens CypherWe maku kumbe upo, mbona hujibu mails zangu ?
Best za kitambo jamani??? Mtoto wa mama nikimaanisha mtu anakuwa hana maamuzi yake mama ndio anakuwa final say kwa kila kitu hata ambacho kama mume inabidi aamue yeye. Yaani kama mond vile au Dev wa tamthilia ya Azam Two.Mtoto wa mama ukimaanisha nn[emoji15]
Best za kitambo jamani??? Mtoto wa mama nikimaanisha mtu anakuwa hana maamuzi yake mama ndio anakuwa final say kwa kila kitu hata ambacho kama mume inabidi aamue yeye. Yaani kama mond vile au Dev wa tamthilia ya Azam Two.
Best za kitambo jamani??? Mtoto wa mama nikimaanisha mtu anakuwa hana maamuzi yake mama ndio anakuwa final say kwa kila kitu hata ambacho kama mume inabidi aamue yeye. Yaani kama mond vile au Dev wa tamthilia ya Azam Two.
Phil unazingua, nenda na muda.38-858 SR9 C12 Pigpens Cypher
Acha ujumbe nitaukuta
Mapigo na Mwendo
Wizo anazingua balaa nimecheka ππππWizoooo amewezaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habari ndo hiyooooo!! Miongozi hana mbambamba ukijileta anapita na wewe πππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi K? Wee sema kweliii?
Tulia shem ananipa mwaliko wewe si ulinibania ππππSawasawa kipenzi...unaupiga mwingi naonaπ€£π€£π€£π
Vi jf junior vitakuwa vingi ππππSoon nawapa mualikoβΊοΈ
Hahaππ,, me nlitaka nikufanyie suprise jiraniπ€Tulia shem ananipa mwaliko wewe si ulinibania ππππ
Noma sana kijana kuamuliwa na wazazi, sema sasa kuzaa na watu tofauti tofauti nayo ni changamoto tu, watoto wanakuwa na ubini tofauti huku mama akiwa mmoja...Tulishindwana tuu mkuu nahisi nilitaka kuingia katika ndoa nikiwa bado sijajiandaa na changamoto zake ( 24 yrs) na mwenzangu hakuwa na maamuzi yake binafsi kama baba wa familia ( mtoto wa mama). So tukaishia kutoleana mahali na kupata mtoto tuu.
Haha[emoji23][emoji23],, me nlitaka nikufanyie suprise jirani[emoji847]
Hahahππ..tatizo humu uongo mwingi sana jirani π€£π€£Muongo ulitaka kumficha shem [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaona mambo yasiwe mengi kaji introduce mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jirani tabia mbaya au kuna mwamba ulimpa matumaini humu [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Najua hamuwezi kuniangusha kabisa...
Hahahπππ..anaogopa kuibiwaTuna kuangushaje jirani yetu?!!! Hapa harusi tunayo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema shem kanichekesha sana kakukomesha kaona unamficha ficha bhangi, kaona akulipue
Nani amekudanganya tena Leejay?π€£Hahahππ..tatizo humu uongo mwingi sana jirani π€£π€£
Hahahπππ....niache πNani amekudanganya tena Leejay?π€£
Mtaje hapa tumuaibishe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahah[emoji23][emoji23][emoji23]....niache [emoji119]