Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Tulishindwana tuu mkuu nahisi nilitaka kuingia katika ndoa nikiwa bado sijajiandaa na changamoto zake ( 24 yrs) na mwenzangu hakuwa na maamuzi yake binafsi kama baba wa familia ( mtoto wa mama). So tukaishia kutoleana mahali na kupata mtoto tuu.
Noma sana kijana kuamuliwa na wazazi, sema sasa kuzaa na watu tofauti tofauti nayo ni changamoto tu, watoto wanakuwa na ubini tofauti huku mama akiwa mmoja...
..mambo mazito haya!!
 
Haha[emoji23][emoji23],, me nlitaka nikufanyie suprise jirani[emoji847]

Muongo ulitaka kumficha shem [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaona mambo yasiwe mengi kaji introduce mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jirani tabia mbaya au kuna mwamba ulimpa matumaini humu [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Muongo ulitaka kumficha shem [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaona mambo yasiwe mengi kaji introduce mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jirani tabia mbaya au kuna mwamba ulimpa matumaini humu [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Hahah😂😂..tatizo humu uongo mwingi sana jirani 🤣🤣
 
Back
Top Bottom