Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mzee wa ainasikitisha sanaHahahaha,
Nimeanza kwa kucheka kwa maana Smart911 is among the strangest members humu JF.
Mzee wa:
"Ngoja waje kukupa muongozo"
"binadamu wa siku hizi ni wabishi sana"
"Natumaini mtoa mada ulipata muongozo"
"cc:mahondaw"
Jamaa wala hanaga cha kuongea zaidi ya hizi kauli. Daah!
HahahahahaSema wewe ndio hujawahi kuona uzi wake
Enzi zile yuko kwenye penzi zito,mahaba mahabani alikuwa kila mwaka anabandika uzi wa kumpongeza mpenzi wake kutimiza miaka fulani
Siku akipewa miuno feni ataweka uzi wa kusifia mpenzi wake na vingereza vyao vya hapa na pale π€£
Mapenzi haya dadeq! π
Kimsingi Smart911 tushaona sana nyuzi zake za kutosha
Naunga mkono hoja.itakua niwale mabloo madomo zege chakuongea hawana wanabaki kuguna tuu.
mwanaume inabidi som Tim unaongea hata mada yauongo ili uonekane sio unakaa kamajinga.
Hahahaha,
Nimeanza kwa kucheka kwa maana Smart911 is among the strangest members humu JF.
Mzee wa:
"Ngoja waje kukupa muongozo"
"binadamu wa siku hizi ni wabishi sana"
"Natumaini mtoa mada ulipata muongozo"
"cc:mahondaw"
Jamaa wala hanaga cha kuongea zaidi ya hizi kauli. Daah!
Humjui huyu mtu weweπ πitakua niwale mabloo madomo zege chakuongea hawana wanabaki kuguna tuu.
mwanaume inabidi som Tim unaongea hata mada yauongo ili uonekane sio unakaa kamajinga.
π€£π€£Ngoja nikae hapa taratibu naona kuna sehemu moshi unafuka lazima moto utawaka tu π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa sanaa.Sema wewe ndio hujawahi kuona uzi wake
Enzi zile yuko kwenye penzi zito,mahaba mahabani alikuwa kila mwaka anabandika uzi wa kumpongeza mpenzi wake kutimiza miaka fulani
Siku akipewa miuno feni ataweka uzi wa kusifia mpenzi wake na vingereza vyao vya hapa na pale [emoji1787]
Mapenzi haya dadeq! [emoji23]
Kimsingi Smart911 tushaona sana nyuzi zake za kutosha
Shida yake ni kuacha kum tag shemeji yetu Mahondaw siku hizi, sijui wameshamwagana?Hahahaha,
Nimeanza kwa kucheka kwa maana Smart911 is among the strangest members humu JF.
Mzee wa:
"Ngoja waje kukupa muongozo"
"binadamu wa siku hizi ni wabishi sana"
"Natumaini mtoa mada ulipata muongozo"
"cc:mahondaw"
Jamaa wala hanaga cha kuongea zaidi ya hizi kauli. Daah!
monde arabeNoma sana
By Monde araba
Mapenzi haya [emoji1787]Sema wewe ndio hujawahi kuona uzi wake
Enzi zile yuko kwenye penzi zito,mahaba mahabani alikuwa kila mwaka anabandika uzi wa kumpongeza mpenzi wake kutimiza miaka fulani
Siku akipewa miuno feni ataweka uzi wa kusifia mpenzi wake na vingereza vyao vya hapa na pale [emoji1787]
Mapenzi haya dadeq! [emoji23]
Kimsingi Smart911 tushaona sana nyuzi zake za kutosha
π€£ Huyu mwamba hanaga tabu na mada ya mtu utukane uongee ujinga atalike tuπNampenda raraa reree yeye hana choyo na mambo ya like. Ana like π kila mada
Kabla wachawi hawajaingilia katiSema wewe ndio hujawahi kuona uzi wake
Enzi zile yuko kwenye penzi zito,mahaba mahabani alikuwa kila mwaka anabandika uzi wa kumpongeza mpenzi wake kutimiza miaka fulani
Siku akipewa miuno feni ataweka uzi wa kusifia mpenzi wake na vingereza vyao vya hapa na pale π€£
Mapenzi haya dadeq! π
Kimsingi Smart911 tushaona sana nyuzi zake za kutosha
Aliyeingilia lile penzi katuharibia wengiKabla wachawi hawajaingilia kati
Anyway mambo yao tuwaachie wenyewe ππππ