Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna naogopaaaa, uduguu kuna sehemu nilijikwaaa hapa wakati najoin, 5yrs ago.

Isije isijee. Woiiiiiii nakufwaaaaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Basi na wewe file lako litaletwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Emu nambie ulikojikwaa bas udugu nawee
 
We trudie Jambo gani ulilo sikia, kuhusu Mimi 🤣😂😂🤒
 
Oyooooooo!! Haya wambea wenzangu finally tuna mtoto wetu kweli Miongozo Jr
Awwhhhh!! [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]

Uzi ufungwe km vipi!! Haya wengine mnaobanjuka kazi iendelee tuzidi kuwapata member wengi wa baadae JF
Udrruuguuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
kuna Yule mliozaa na Chizi Maarifa akaja kumsalimia na kumuona mtoto na kuondoka nae bila ridhaa yako mamamtoto au huyo ni mwingine??? Na huyo mdogo ni kweli kuwa ni wa intelligent Bussinessman ??
Mkuu uli jaribu kugundua Nini😂🤣🤣, trudie is my friend and sister kiroho Safi🤒.
👉So watoto wake ni Kama wangu tu🤗🤒
 
Kwani watoto wako SI Kama wangu tu, so hata wakisema mi SI shangai🤗🤒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…