Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Nadhani mtoa mada amepata muongozo
 
Kama ni TALL, DARK and HANDSOME ntaangaliaa uwezekano wa KUJIWEKA jamanii, mnisamehe mimi [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]

Ma-TALL ni wachachee tutabanana tu humo humo kwa kweli [emoji85]
Ntakubondaaaa wizooooo mfyuuuuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko mnaona raha wenzenu wakiuwawa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wafupi kwa gubu ni shida, nani tena huyo anataka kuwaua mashangazi?
 
Sana’aaaaa we kikubwa shikilia hapo hapo usiachie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222]
Maneno haya natamani kuyasikia kutoka kwako mrembo mwenye sauti mwanana na body la uchokozi... live live nikiwa nimekushikilia... "Ooh! Hohehahe, shikilia hapohapo usiachie" (in Wema sepetu's/Diva's voice) 😌😌🤗🤗🤗😅👍🏾
 
Hivi kwanini mtu ananilazimisha niwe MBABA akati mie ni SHANGAZI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna watu wamerogwaa tunalazimishana jinsia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi ni SHANGAZIII full stop, kama mtu hataki anye boga. [emoji7]
Wizooooo ukisemaa, nani anapingaaa???
Imepitaaa hiyooooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji28][emoji28] jf kujua kuwa huyu ni Me au Ke ni kazi sanaa . Watu huwa wanajitoa tu muhanga .. na unapo jitoa muhanga maana umekubali kitakachotokea huko utamalizana nacho

Humu sijawahi kumuamini mtu unaweza ukasema hili dume kumbe sagaji liloshindikana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kikubwa kila mtu abaki na ukweli wake uliojificha
 
Humu sijawahi kumuamini mtu unaweza ukasema hili dume kumbe sagaji liloshindikana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kikubwa kila mtu abaki na ukweli wake uliojificha
😅😅 unaamini vipi fake ID yaaani fake kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…