Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Humu sijawahi kumuamini mtu unaweza ukasema hili dume kumbe sagaji liloshindikana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kikubwa kila mtu abaki na ukweli wake uliojificha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnanivunjaaa mbavuu bhanaaa, khaaaaah
 
Maneno haya natamani kuyasikia kutoka kwako mrembo mwenye sauti mwanana na body la uchokozi... live live nikiwa nimekushikilia... "Ooh! Hohehahe, shikilia hapohapo usiachie" (in Wema sepetu's/Diva's voice) [emoji18][emoji18][emoji847][emoji847][emoji847][emoji28][emoji1474]

[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] makubwaaaa mbona kantri kila mtu anataka kumchukulia chombo chake humu??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jf kibokooooo
 
[emoji28][emoji28] unaamini vipi fake ID yaaani fake kila kitu

Ndo hapo sasa?? Mtu jina fake, avatar fake afu kirahisi nikuamini thubutuuuu!!!

Afu wanaojifanya vidume humu ndio wasagaji wakubwa wanashinda piem kututongoza shenzy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] makubwaaaa mbona kantri kila mtu anataka kumchukulia chombo chake humu??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jf kibokooooo
Hebu njoo P.M nikupe kashata za nazi 🤔
 
Back
Top Bottom