Dalili za watu kuchafuana zinajongea kabisaa.naona watu watakavyokula Ban kupitia uzi huuHuu uzi unachafuka sasa hv[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu Hebu tusaidie nyuzi za jamaa alizoposti humu kama Kweli Hajawahi kupost nyuzi humu!
Ongeza Nyingine mkuu!Au weka nyuzi zake zote!!Happy Birthday Mahondaw
Your smile makes me feel special you always make me happy.... You do not know how much special you are to me. I want to do everything to make your birthday a special one.... You are always with me in my hard time, and it’s time for me to show you how important you are for me... To wish you a...www.jamiiforums.com
Kuna hiyo
Ongeza Nyingine mkuu!Au weka nyuzi zake zote!!
Mtoa uzi jibu lako hilo hapo una kingine????Happy Birthday Mahondaw
mahondaw when i think of you... I long to feel your touch, am whispering in your ears, words are old as time, words only you hear because are mine... mahondaw remember the very first day i saw you and made my moves when you looked in my eyes... mahondaw because by now i know that you are...www.jamiiforums.com
Happy Birthday Mahondaw wangu
mahondaw wangu siku hii ni maalum ya maisha yako, nataka kuona tabasamu lako kwenye hii siku yako ya kuzaliwa. Hakuna kilicho bora kuliko kushiriki siku hii maalum na wewe mahondaw wangu, wewe ndiyo furaha yangu. Hakika najivunia kupata mpenzi aliyetulia mbele ya jamii ila mtundu sana uwapo na...www.jamiiforums.com
Mahondaw mpenzi wangu, kitandani usishuke zima taa kabisa
mahondaw I still remember the first day we met, you were too shy to say much at all... mahondaw remember the first day when I saw your face, remember the first day when you smiled at me i stepped to you and then i said to you are the woman i dreamed about, remember the first day when i called...www.jamiiforums.com
Happy Birthday Mahondaw wangu
I often find myself thinking of the many ways on how you bring joy and happiness to me with an encouraging word. You have a smile that’s always bright… I often find myself loving you mahondaw wangu... thinking how lucky I am to have you mahondaw wangu... I just want you to know i am always...www.jamiiforums.com
Darlin mbona hukufunguliwa uzi 🤣🤣🤣🤣
Au kisa ulidandia treni kwa mbele
nitatoboa kweli Penseli 4 na wadau wengine Baada ya mahondaw kuachana na mzee wa miongozo jamaa alipita na wanawake kadhaa humu tena walijiachia waziwazi... Mbona hizo kapo zao zilizopangwa hazizungimziwi humuuu??? 🥴🥴🥴🧐🧐🧐!!Enzi hizo kulikuwaga moto humu ndani kuna siku hatukulala mpaka alfajiri ni umbea wa hii couple hadi uzi ukafungwa na mods [emoji1787][emoji1787][emoji1787]...nimekumbuka mbali sana
Ilikuwa safi, ilikuwa POA kabla ya jini wa kichuga haja Tia mguu😂😃😁nitatoboa kweli Penseli 4 na wadau wengine Baada ya mahondaw kuachana na mzee wa miongozo jamaa alipita na wanawake kadhaa humu tena walijiachia waziwazi... Mbona hizo kapo zao zilizopangwa hazizungimziwi humuuu??? 🥴🥴🥴🧐🧐🧐!!
Baada ya kuachana ile kapo sikuwahi sikia tena kama katoka na wengine, labda nyota ilikuwa mfifio jamaa hakujiachia nao kama kwa bidada. Mimi najua tuu kapo yake na mahondaw na yule mama mtu mzima.nitatoboa kweli Penseli 4 na wadau wengine Baada ya mahondaw kuachana na mzee wa miongozo jamaa alipita na wanawake kadhaa humu tena walijiachia waziwazi... Mbona hizo kapo zao zilizopangwa hazizungimziwi humuuu??? [emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3166][emoji3166][emoji3166]!!
Wakaishia kuliwa vichwa tu !!Nimeona hilo😂, ma best walikua Wana mpa hongera, afu baadae Waka pindua meza😃😁😂
Mama yupi Tena mtu mzima😁😂Baada ya kuachana ile kapo sikuwahi sikia tena kama katoka na wengine, labda nyota ilikuwa mfifio jamaa hakujiachia nao kama kwa bidada. Mimi najua tuu kapo yake na mahondaw na yule mama mtu mzima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa sanaa.
Huu uzi Una kitu, utafika mbaliii,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tamaa haijawahi kumuacha mtu salama dada bila shaka huko aliko jamaa ashajutia sana!! Na sikuhizi amekua kama zuzu humu!!!Baada ya kuachana ile kapo sikuwahi sikia tena kama katoka na wengine, labda nyota ilikuwa mfifio jamaa hakujiachia nao kama kwa bidada. Mimi najua tuu kapo yake na mahondaw na yule mama mtu mzima.
Kabla wachawi hawajaingilia kati
Anyway mambo yao tuwaachie wenyewe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ulikuwa unaumwa tukakuacha ulaleKumbe jana kulikuwa na maua ya udugu mbona hukunitag [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu si ndio alisababisha warembo wa humu wakaleteana makankasha au nimefananisha?!
😄😄😄😄binadamu 🙌🙌🙌Nimeona hilo😂, ma best walikua Wana mpa hongera, afu baadae Waka pindua meza😃😁😂
Wachawi ndio watu gani hao?