Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Mkuu Hebu tusaidie nyuzi za jamaa alizoposti humu kama Kweli Hajawahi kupost nyuzi humu!

Kuna hiyo
 

Kuna hiyo
Ongeza Nyingine mkuu!Au weka nyuzi zake zote!!
 
Ongeza Nyingine mkuu!Au weka nyuzi zake zote!!





Darlin mbona hukufunguliwa uzi 🤣🤣🤣🤣

Au kisa ulidandia treni kwa mbele
 





Darlin mbona hukufunguliwa uzi 🤣🤣🤣🤣

Au kisa ulidandia treni kwa mbele
Mtoa uzi jibu lako hilo hapo una kingine????
Au Mambo yako tukuachie mwenyewe???? Kwa sauti ya bro Smart911 🤥!

Cc Mahondaw
 
Enzi hizo kulikuwaga moto humu ndani kuna siku hatukulala mpaka alfajiri ni umbea wa hii couple hadi uzi ukafungwa na mods [emoji1787][emoji1787][emoji1787]...nimekumbuka mbali sana
nitatoboa kweli Penseli 4 na wadau wengine Baada ya mahondaw kuachana na mzee wa miongozo jamaa alipita na wanawake kadhaa humu tena walijiachia waziwazi... Mbona hizo kapo zao zilizopangwa hazizungimziwi humuuu??? 🥴🥴🥴🧐🧐🧐!!
 
nitatoboa kweli Penseli 4 na wadau wengine Baada ya mahondaw kuachana na mzee wa miongozo jamaa alipita na wanawake kadhaa humu tena walijiachia waziwazi... Mbona hizo kapo zao zilizopangwa hazizungimziwi humuuu??? 🥴🥴🥴🧐🧐🧐!!
Ilikuwa safi, ilikuwa POA kabla ya jini wa kichuga haja Tia mguu😂😃😁
 
nitatoboa kweli Penseli 4 na wadau wengine Baada ya mahondaw kuachana na mzee wa miongozo jamaa alipita na wanawake kadhaa humu tena walijiachia waziwazi... Mbona hizo kapo zao zilizopangwa hazizungimziwi humuuu??? [emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3166][emoji3166][emoji3166]!!
Baada ya kuachana ile kapo sikuwahi sikia tena kama katoka na wengine, labda nyota ilikuwa mfifio jamaa hakujiachia nao kama kwa bidada. Mimi najua tuu kapo yake na mahondaw na yule mama mtu mzima.
 
Baada ya kuachana ile kapo sikuwahi sikia tena kama katoka na wengine, labda nyota ilikuwa mfifio jamaa hakujiachia nao kama kwa bidada. Mimi najua tuu kapo yake na mahondaw na yule mama mtu mzima.
Tamaa haijawahi kumuacha mtu salama dada bila shaka huko aliko jamaa ashajutia sana!! Na sikuhizi amekua kama zuzu humu!!!
 
Back
Top Bottom