Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

Hakuna aliyewahi kuona uzi wa Smart911

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa!!!
Hivi kwanini mtu ananilazimisha niwe MBABA akati mie ni SHANGAZI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna watu wamerogwaa tunalazimishana jinsia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi ni SHANGAZIII full stop, kama mtu hataki anye boga. [emoji7]
 
Kama ni TALL, DARK and HANDSOME ntaangaliaa uwezekano wa KUJIWEKA jamanii, mnisamehe mimi [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]

Ma-TALL ni wachachee tutabanana tu humo humo kwa kweli [emoji85]

Acha mate wizo na mabwana zetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wizo intelli karudi umemuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] naona anajibaraguza tu hajui hata ashike wapii anajikongoja kama yatima [emoji1787]

Mimi ndo SHANGAZI AKEE, atajua hajui.
 
Hivi kwanini mtu ananilazimisha niwe MBABA akati mie ni SHANGAZI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna watu wamerogwaa tunalazimishana jinsia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi ni SHANGAZIII full stop, kama mtu hataki anye boga. [emoji7]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anye nini?? Wizo mbavu zinauma
 
Back
Top Bottom