Umeamkaje lakini?Hakuna ambacho hatujafanya, SIMBA SC ni level zingine kabisaaaaaa🔥🔥
Hii ilikuwa klabu Bingwa mtu alikula week na ilikuwa Group stage sio hatua za Vidudu na pia team iliokula hizo week yaan 7 wooote walikuwa wametimia hakupewa 🟥 mtu hata mmoja
Hahahhahhahha Aiseee acha kwanza ncheke maana Watu wamepiga boom 💥 mortuary halafu wanajisifu wameua duh kweli Mgumba kapata 🤰 basi mate mji mzima 😀😀😀View attachment 3078542
Inafutwajwe wakati bado ni bingwa,,,yani ni bingwa present, future na past.......this is Dar Young AfricansHata ule msemo wa "bingwa wa historia" ufutwe siyo?
Una hangover wewe.Kunywa uji wa sembe upone.Inafutwajwe wakati bado ni bingwa,,,yani ni bingwa present, future na past.......this is Dar Young Africans
Kwahiyo kumbe kipa namba moja hakuwa golini mkamuokota mkaa benchi mkajipigia tu.Wewe nawe ushaingia kwenye mfumo wa wansokurupuka. Kipa aliyepigwa wiki siyo huyu. Huyu alikuwa na kadi so hakudaka siku hiyo.
Shida iko wapi?Kwahiyo kumbe kipa namba moja hakuwa golini mkamuokota mkaa benchi mkajipigia tu.
SijuiWasingefanya wangekuwa nayo?
Kwakweli ubingwa unalevya hadi asubuhi unaamka na hangoverUna hangover wewe.Kunywa uji wa sembe upone.
Sawasawa.Ngoja tuone.Kwakweli ubingwa unalevya hadi asubuhi unaamka na hangover
Foleni ya losers?
Simba wanacheza "looser" au hujui wewe kolo?Foleni ya losers?
Tuanachukua.Hivi mmeanza hatua ya ngapi?Mtoano.Simba wanacheza "looser" au hujui wewe kolo?
Chukueni kombe sasa
Tusubiri mashindano ya best losers hivi wao waanza liniMm yanga damu ila simba mnastahili pongezi nyie ni wakubwa AFRIKA
Hata tukiandika kwa uchungu tunaangalia vilabu bora Afrika kwenye kumi bora ni vipi?Naamini chura ni namba sita au tano Siyo?Tusubiri mashindano ya best losers hivi wao waanza lini
kama na nyie mmewahi basi tuonyesheni hiyo foleni yenu ya loosers😂😂😂Foleni ya losers?