Hakuna ambacho SIMBA hatujafanya

Hakuna ambacho SIMBA hatujafanya

Hakuna ambacho hatujafanya, SIMBA SC ni level zingine kabisaaaaaa🔥🔥

Hii ilikuwa klabu Bingwa mtu alikula week na ilikuwa Group stage sio hatua za Vidudu na pia team iliokula hizo week yaan 7 wooote walikuwa wametimia hakupewa 🟥 mtu hata mmoja

Hahahhahhahha Aiseee acha kwanza ncheke maana Watu wamepiga boom 💥 mortuary halafu wanajisifu wameua duh kweli Mgumba kapata 🤰 basi mate mji mzima 😀😀😀View attachment 3078542
Umeamkaje lakini?
 
Mbio za wazee tunajua mwisho ni kilometres 5.
Bado kidogo utopolo patawaka
 
Wewe nawe ushaingia kwenye mfumo wa wansokurupuka. Kipa aliyepigwa wiki siyo huyu. Huyu alikuwa na kadi so hakudaka siku hiyo.
Kwahiyo kumbe kipa namba moja hakuwa golini mkamuokota mkaa benchi mkajipigia tu.
 
Kaongee na Mohamed Mwameja.
😂😂😂

GVl8aDbXUAAdFOT.jpeg

Yupo kwenye hii foleni?
 
Ni kweli hakuna kitu hamjafanya naona ubingwa wa caf mlishachukua! mara hii tutawafundisha tunauchukuaje. Yanga bingwa itawaonyesha kombe tunalichukuaje.
Kwendraaaaa😂
 
Back
Top Bottom