HAKUNA ANAE IONA SASA ,BINADAMU TUNASHI SEKUNDE 2.645 NYUMA YA MUDA.

HAKUNA ANAE IONA SASA ,BINADAMU TUNASHI SEKUNDE 2.645 NYUMA YA MUDA.

marcoveratti

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
1,019
Reaction score
1,824
HAKUNA ANAE IONA SASA ,BINADAMU TUNASHI SEKUNDE 2.645 NYUMA YA MUDA.

habari za wakati huu ...

Bila kupoteza muda nanze hapa kwenye muda,
maana harisi ya kisayansi ya muda kwa Maelezo ni utofauti wa matukio,yani unaposema ameishi miaka kumi inamanisha kwamba utofauti wa tulio la kuzaliwa na kufa ni miaka kumi ,na huo ndio muda(time) .

Concept ya muda inachangamoto nyingi sana hasa kwenye hizi nyakati tatu (wakati uliopita,sasa ,ujao) yani past future na present,
kumekuwa na hata theory ambazo zinadhihirisha kuwa mtu anaweza akasafiri kwenda past yani akatoka wakati akaenda wakati ulio pita na akakutana ma watu wa zamani ambao pengine washakufa na wameoza (newton's law of relativity) inaeleza hill jambo kinaga ubaga
Hii sita izungumzia sana kwakuwa sio mada yangu ya leo.

Turudi kwenye mada kuu ,
Kimahesabu hakuna binadamu aneweza kuona present (sasa) wote yupo nyuma.
Tunavyo viona vinafanyika, vinafanyika muda unapita ndio tunaona sisi.kwa lugha nyepes tupo past .

Kwanini;
Wote tunajua kwamba kila kinachotekea yani kuona,kugusa,kusikia kuhisi na vingine vyote vinaratibiwa na ubongo. na huo ubongo hutegemea kuletewa taarifa na viungo vya fahamu mfamo ngozi na mcho.
Ubongo unapo pata taarifa kutoka kwenye viungo vya fahamu hisubiri mpaka taarifa iwe kamiri ndipo uanze kuichakata na kuitolea maamuzi

Kwa makadirio ubongo hutumia muda wa 80 milliseconds katika uchataji wa taarifa kutoka njee ya mwili,
muda huu waweza kuwa mdogo sana na kwa hali ya kawaida ya kibinadamu huwezi kuona utofauti wa mambo ambayo yamepishana kiasi cha muda huo ,utaona vyote yamefanyika kwa wakati sawa lakini kimsingi yamepishana .

Kwamatiki hyo kila tunacho kuona huwa kimetuacha na kinakuwa kimefanyika 80 milliseconds zilizopita toka kifanyike na tunachoona sisi ni past!.

Lakini pia umbali wa tukio pia huchangia binadamu kuishi nyuma ya mida,

Kabla ya taarifa kufika kwenye ubongo husafirishwa kwa njia ya kipekee ya charge za umeme zinazo itwa impulse ,hizi hukumbia kwa kasi ya 250m per hour sasa basi ikitokea ukaguswa puani na kwa wakati huo huo ukaguswa kwenye kidole cha mguu.
Ni dhahiri taarifa kutoka puani mpaka kwenye ubongo zitwahi kuliko zile za kutoka kidoleni.
kwasababu umbali utakao safiri impulse zilizo beba taarifa kutoka puani ni tofauti na taarifa za kidoleni Zitakuwa zime safiri umbali mrefu zaidi kuliko zile za taarifa za pua

kwa maana hyo hapo.kuna upishano wa muda na kuchelewa kwa kwa taarifa
Lakini pia kwa concept hii ni dhahiri watu warefu wako past zaidi ya watu wa fupi Kwani umbali kutoka miguuni mwa watu warefu ni mkubwa zaidi kuliko ule wa watu wafupi kwa maana hyo wa hutumia mda mwingi kwenye kufika kwa taarifa .

Ikumbukwe pia kuna kucherewa kwa muda kutoka na kusafiri kwa mwanga
Kama inavyo fahika katika kila jambo tunalo liona huwa tunaona kwasababu ya mwanga(light)
Lakini pia mwanga husafiri na kasi yake kutoka kwenye kitu husika mpaka kufika kwenye mboni zetu kwa maana hyo basi mwanga huchangia kwenye kuchelewa kwa taarifa na kusababisha watu kuishi kwenye nyakati zilizopita na kushindwa kuiona "sasa"
Chukulia mfano unaangalia jari ya gari inayotokea mita 100 kutoka ulipo na kasi ya mwanga ambao unakuletea wewe taarifa hizi ni 300000000 m/s(imekadiriwa) hivyo basi taarifa hyo inatumia 1/3000000 seconds kukufikia hvyo tayari unakuwa nyuma ya muda wa tukio husika .
Mahesabu ya fisikia yana toa jumla ya muda ambao binadamu yupo nyuma kama vichocheo vyote vitakuwa vime husika kuchewesha taarifa yani mwendo wa mwanga kutoka sehemu husika ,muda wa uchakataji taarifa kusafiri kwa impulses, kuna jumla ya sekunde 2.645 binadamu anachelewa kuona tukio .

Hivyo ndio kusema bindamu tupo nyuma na tunaona sekude 2.645 baada ya jambo kufanyika


Imeandikwa na kingo SR



Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAKUNA ANAE IONA SASA ,BINADAMU TUNASHI SEKUNDE 2.645 NYUMA YA MUDA.

habari za wakati huu ...

Bila kupoteza muda nanze hapa kwenye muda,
maana harisi ya kisayansi ya muda kwa Maelezo ni utofauti wa matukio,yani unaposema ameishi miaka kumi inamanisha kwamba utofauti wa tulio la kuzaliwa na kufa ni miaka kumi ,na huo ndio muda(time) .

Concept ya muda inachangamoto nyingi sana hasa kwenye hizi nyakati tatu (wakati uliopita,sasa ,ujao) yani past future na present,
kumekuwa na hata theory ambazo zinadhihirisha kuwa mtu anaweza akasafiri kwenda past yani akatoka wakati akaenda wakati ulio pita na akakutana ma watu wa zamani ambao pengine washakufa na wameoza (newton's law of relativity) inaeleza hill jambo kinaga ubaga
Hii sita izungumzia sana kwakuwa sio mada yangu ya leo.

Turudi kwenye mada kuu ,
Kimahesabu hakuna binadamu aneweza kuona present (sasa) wote yupo nyuma.
Tunavyo viona vinafanyika, vinafanyika muda unapita ndio tunaona sisi.kwa lugha nyepes tupo past .

Kwanini;
Wote tunajua kwamba kila kinachotekea yani kuona,kugusa,kusikia kuhisi na vingine vyote vinaratibiwa na ubongo. na huo ubongo hutegemea kuletewa taarifa na viungo vya fahamu mfamo ngozi na mcho.
Ubongo unapo pata taarifa kutoka kwenye viungo vya fahamu hisubiri mpaka taarifa iwe kamiri ndipo uanze kuichakata na kuitolea maamuzi

Kwa makadirio ubongo hutumia muda wa 80 milliseconds katika uchataji wa taarifa kutoka njee ya mwili,
muda huu waweza kuwa mdogo sana na kwa hali ya kawaida ya kibinadamu huwezi kuona utofauti wa mambo ambayo yamepishana kiasi cha muda huo ,utaona vyote yamefanyika kwa wakati sawa lakini kimsingi yamepishana .

Kwamatiki hyo kila tunacho kuona huwa kimetuacha na kinakuwa kimefanyika 80 milliseconds zilizopita toka kifanyike na tunachoona sisi ni past!.

Lakini pia umbali wa tukio pia huchangia binadamu kuishi nyuma ya mida,

Kabla ya taarifa kufika kwenye ubongo husafirishwa kwa njia ya kipekee ya charge za umeme zinazo itwa impulse ,hizi hukumbia kwa kasi ya 250m per hour sasa basi ikitokea ukaguswa puani na kwa wakati huo huo ukaguswa kwenye kidole cha mguu.
Ni dhahiri taarifa kutoka puani mpaka kwenye ubongo zitwahi kuliko zile za kutoka kidoleni.
kwasababu umbali utakao safiri impulse zilizo beba taarifa kutoka puani ni tofauti na taarifa za kidoleni Zitakuwa zime safiri umbali mrefu zaidi kuliko zile za taarifa za pua

kwa maana hyo hapo.kuna upishano wa muda na kuchelewa kwa kwa taarifa
Lakini pia kwa concept hii ni dhahiri watu warefu wako past zaidi ya watu wa fupi Kwani umbali kutoka miguuni mwa watu warefu ni mkubwa zaidi kuliko ule wa watu wafupi kwa maana hyo wa hutumia mda mwingi kwenye kufika kwa taarifa .

Ikumbukwe pia kuna kucherewa kwa muda kutoka na kusafiri kwa mwanga
Kama inavyo fahika katika kila jambo tunalo liona huwa tunaona kwasababu ya mwanga(light)
Lakini pia mwanga husafiri na kasi yake kutoka kwenye kitu husika mpaka kufika kwenye mboni zetu kwa maana hyo basi mwanga huchangia kwenye kuchelewa kwa taarifa na kusababisha watu kuishi kwenye nyakati zilizopita na kushindwa kuiona "sasa"
Chukulia mfano unaangalia jari ya gari inayotokea mita 100 kutoka ulipo na kasi ya mwanga ambao unakuletea wewe taarifa hizi ni 300000000 m/s(imekadiriwa) hivyo basi taarifa hyo inatumia 1/3000000 seconds kukufikia hvyo tayari unakuwa nyuma ya muda wa tukio husika .
Mahesabu ya fisikia yana toa jumla ya muda ambao binadamu yupo nyuma kama vichocheo vyote vitakuwa vime husika kuchewesha taarifa yani mwendo wa mwanga kutoka sehemu husika ,muda wa uchakataji taarifa kusafiri kwa impulses, kuna jumla ya sekunde 2.645 binadamu anachelewa kuona tukio .

Hivyo ndio kusema bindamu tupo nyuma na tunaona sekude 2.645 baada ya jambo kufanyika


Imeandikwa na kingo SR



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hongera kwa maada hii lakini naomba nikupinge kidogo ila kwa facts..

Una habari kuwa ubongo wetu unaoperate in future time na sio past one..?

Ni kwamba tukio lolote linalotokea ni kweli ufahamu wako unagundua baada ya tukio kufanyika ..

kwa mfano kila unapotupia jicho upande flani unajikuta kuna delay ya sekunde flani ndo unapata ufahamu kuwa kile ni kitu flani.


Hiyo yote ni kwa sababu ya process nzima ya concious mind..

Mind you kuwa interpretation ya taarifa zozote huwa zinafanywa na subconcious mind na kisha concious mind kupewa interpreted news na kisha kuiprocess kwako..
lakini kuna namna ambapo unaweza ukaishunt subconcious mind iwe inafanya interpretation katika molecular level kwenye cognitive center yako moja kwa moja bila kuifahmisha concious mind yako..

kuna watu wanasense vitu in subconcious form na wengine wanasense vitu katika concious from na huo ndo utofauti unapokuja ..

Ndo mana mkiwa kwenye umati wa watu na most of the people wanaomonitor wengine huwa wapo level zingine kabisa katika kufanya tambuzi za kila tukio litakalo tokea..

Hujawahi kuona mtu anapokuwa na nia mbaya na mtu flani au kundi flani ila kabla hajafanya lile jambo gafla anajikuta kashakamatwa mkono na wahusika kisha wanampeleka chemba wanaanza kumuliza maswali na kugundua kuwa baada ya dk chache yule mtu angenda kutupia bomu au kitu cha hatari maeneo yale....
( hapa inategemea na wahusika kama wamekuwa trained vizuri namna ya kusense future)

Mkuu naomba uuzoeshe ubongo wako kufanya interpretation za moja kwa moja toka subconcious mind ,utakuwa ni mtu wa kupredict the future in any upheld seconds..
sehemu ya mwili wako iko connected moja kwa moja na subconcios recognition centre,

Kabla mwili wako haujagusana na kitu tayari subconcious mind huwa inajua tayari..

Naomba uende shule wanazofundishwa vipofu kutambua kitu

Tena wale wanaona zaidi yako wew kwa taarifa tu na hao most serikali zinawatumia kwenye taasis maalumu ..

Sio wote bila wachache tena dont play with vipofu mkuu ni hatare sana..

ukikuta kipofu alietreniwa vizuri huwa hata hashiki fimbo kama tunaowaona..

anapewa miwani mieusi tu halafu anatinga na suti yake kisha anaingia kitaas..

Ukishaifungua subconcious mind ianze kutafsiri moja kwa moja kwako utakuwa mtu hatare sana .

Una habari kuwa jaribu kufanya zoezi dogo sana fumbo macho halafu zima taa zote chumbani anza kutembea tembea ndani.utagundua kuwa kabla hujagusa ukuta tayari utakuwa ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele ..

yani kabla hujagusa kitu tayari ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele...
Ila kama unaishi ishi tu kwa kuizoelesha concious mind kuwa first source ya utambuzi wote utakuwa unapata taarifa zote in the past zaidi..

Even special Espionage wanafundishwa namna ya kuraise utambuzi huu...

japo.sio wote wanaweza wakaraise hiyo kitu..

N.B..Try to consider subconcious interpretation in any thing ,you will walk in the future in every aspect of your present...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kuhusu sauti? Umetupa tu kuhusu mwanga
 
HAKUNA ANAE IONA SASA ,BINADAMU TUNASHI SEKUNDE 2.645 NYUMA YA MUDA.

habari za wakati huu ...

Bila kupoteza muda nanze hapa kwenye muda,
maana harisi ya kisayansi ya muda kwa Maelezo ni utofauti wa matukio,yani unaposema ameishi miaka kumi inamanisha kwamba utofauti wa tulio la kuzaliwa na kufa ni miaka kumi ,na huo ndio muda(time) .

Concept ya muda inachangamoto nyingi sana hasa kwenye hizi nyakati tatu (wakati uliopita,sasa ,ujao) yani past future na present,
kumekuwa na hata theory ambazo zinadhihirisha kuwa mtu anaweza akasafiri kwenda past yani akatoka wakati akaenda wakati ulio pita na akakutana ma watu wa zamani ambao pengine washakufa na wameoza (newton's law of relativity) inaeleza hill jambo kinaga ubaga
Hii sita izungumzia sana kwakuwa sio mada yangu ya leo.

Turudi kwenye mada kuu ,
Kimahesabu hakuna binadamu aneweza kuona present (sasa) wote yupo nyuma.
Tunavyo viona vinafanyika, vinafanyika muda unapita ndio tunaona sisi.kwa lugha nyepes tupo past .

Kwanini;
Wote tunajua kwamba kila kinachotekea yani kuona,kugusa,kusikia kuhisi na vingine vyote vinaratibiwa na ubongo. na huo ubongo hutegemea kuletewa taarifa na viungo vya fahamu mfamo ngozi na mcho.
Ubongo unapo pata taarifa kutoka kwenye viungo vya fahamu hisubiri mpaka taarifa iwe kamiri ndipo uanze kuichakata na kuitolea maamuzi

Kwa makadirio ubongo hutumia muda wa 80 milliseconds katika uchataji wa taarifa kutoka njee ya mwili,
muda huu waweza kuwa mdogo sana na kwa hali ya kawaida ya kibinadamu huwezi kuona utofauti wa mambo ambayo yamepishana kiasi cha muda huo ,utaona vyote yamefanyika kwa wakati sawa lakini kimsingi yamepishana .

Kwamatiki hyo kila tunacho kuona huwa kimetuacha na kinakuwa kimefanyika 80 milliseconds zilizopita toka kifanyike na tunachoona sisi ni past!.

Lakini pia umbali wa tukio pia huchangia binadamu kuishi nyuma ya mida,

Kabla ya taarifa kufika kwenye ubongo husafirishwa kwa njia ya kipekee ya charge za umeme zinazo itwa impulse ,hizi hukumbia kwa kasi ya 250m per hour sasa basi ikitokea ukaguswa puani na kwa wakati huo huo ukaguswa kwenye kidole cha mguu.
Ni dhahiri taarifa kutoka puani mpaka kwenye ubongo zitwahi kuliko zile za kutoka kidoleni.
kwasababu umbali utakao safiri impulse zilizo beba taarifa kutoka puani ni tofauti na taarifa za kidoleni Zitakuwa zime safiri umbali mrefu zaidi kuliko zile za taarifa za pua

kwa maana hyo hapo.kuna upishano wa muda na kuchelewa kwa kwa taarifa
Lakini pia kwa concept hii ni dhahiri watu warefu wako past zaidi ya watu wa fupi Kwani umbali kutoka miguuni mwa watu warefu ni mkubwa zaidi kuliko ule wa watu wafupi kwa maana hyo wa hutumia mda mwingi kwenye kufika kwa taarifa .

Ikumbukwe pia kuna kucherewa kwa muda kutoka na kusafiri kwa mwanga
Kama inavyo fahika katika kila jambo tunalo liona huwa tunaona kwasababu ya mwanga(light)
Lakini pia mwanga husafiri na kasi yake kutoka kwenye kitu husika mpaka kufika kwenye mboni zetu kwa maana hyo basi mwanga huchangia kwenye kuchelewa kwa taarifa na kusababisha watu kuishi kwenye nyakati zilizopita na kushindwa kuiona "sasa"
Chukulia mfano unaangalia jari ya gari inayotokea mita 100 kutoka ulipo na kasi ya mwanga ambao unakuletea wewe taarifa hizi ni 300000000 m/s(imekadiriwa) hivyo basi taarifa hyo inatumia 1/3000000 seconds kukufikia hvyo tayari unakuwa nyuma ya muda wa tukio husika .
Mahesabu ya fisikia yana toa jumla ya muda ambao binadamu yupo nyuma kama vichocheo vyote vitakuwa vime husika kuchewesha taarifa yani mwendo wa mwanga kutoka sehemu husika ,muda wa uchakataji taarifa kusafiri kwa impulses, kuna jumla ya sekunde 2.645 binadamu anachelewa kuona tukio .

Hivyo ndio kusema bindamu tupo nyuma na tunaona sekude 2.645 baada ya jambo kufanyika


Imeandikwa na kingo SR



Sent using Jamii Forums mobile app
Nifanyeje mkuu niishi kwa kuendana na muda maluumu
 
Hii mada ni nzuri sana na ni fikirishi, sema watu wengi tumesoma HKL hivyo tunapata uzito kuipitia mwisho tunatoa excuse za herufi, title, etc, kana kwamba hatujawahi kuwa na writing errors. Ngoja niingie chimbo mkuu!
 
Mkuu hongera kwa maada hii lakini naomba nikupinge kidogo ila kwa facts..

Una habari kuwa ubongo wetu unaoperate in future time na sio past one..?

Ni kwamba tukio lolote linalotokea ni kweli ufahamu wako unagundua baada ya tukio kufanyika ..

kwa mfano kila unapotupia jicho upande flani unajikuta kuna delay ya sekunde flani ndo unapata ufahamu kuwa kile ni kitu flani.


Hiyo yote ni kwa sababu ya process nzima ya concious mind..

Mind you kuwa interpretation ya taarifa zozote huwa zinafanywa na subconcious mind na kisha concious mind kupewa interpreted news na kisha kuiprocess kwako..
lakini kuna namna ambapo unaweza ukaishunt subconcious mind iwe inafanya interpretation katika molecular level kwenye cognitive center yako moja kwa moja bila kuifahmisha concious mind yako..

kuna watu wanasense vitu in subconcious form na wengine wanasense vitu katika concious from na huo ndo utofauti unapokuja ..

Ndo mana mkiwa kwenye umati wa watu na most of the people wanaomonitor wengine huwa wapo level zingine kabisa katika kufanya tambuzi za kila tukio litakalo tokea..

Hujawahi kuona mtu anapokuwa na nia mbaya na mtu flani au kundi flani ila kabla hajafanya lile jambo gafla anajikuta kashakamatwa mkono na wahusika kisha wanampeleka chemba wanaanza kumuliza maswali na kugundua kuwa baada ya dk chache yule mtu angenda kutupia bomu au kitu cha hatari maeneo yale....
( hapa inategemea na wahusika kama wamekuwa trained vizuri namna ya kusense future)

Mkuu naomba uuzoeshe ubongo wako kufanya interpretation za moja kwa moja toka subconcious mind ,utakuwa ni mtu wa kupredict the future in any upheld seconds..
sehemu ya mwili wako iko connected moja kwa moja na subconcios recognition centre,

Kabla mwili wako haujagusana na kitu tayari subconcious mind huwa inajua tayari..

Naomba uende shule wanazofundishwa vipofu kutambua kitu

Tena wale wanaona zaidi yako wew kwa taarifa tu na hao most serikali zinawatumia kwenye taasis maalumu ..

Sio wote bila wachache tena dont play with vipofu mkuu ni hatare sana..

ukikuta kipofu alietreniwa vizuri huwa hata hashiki fimbo kama tunaowaona..

anapewa miwani mieusi tu halafu anatinga na suti yake kisha anaingia kitaas..

Ukishaifungua subconcious mind ianze kutafsiri moja kwa moja kwako utakuwa mtu hatare sana .

Una habari kuwa jaribu kufanya zoezi dogo sana fumbo macho halafu zima taa zote chumbani anza kutembea tembea ndani.utagundua kuwa kabla hujagusa ukuta tayari utakuwa ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele ..

yani kabla hujagusa kitu tayari ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele...
Ila kama unaishi ishi tu kwa kuizoelesha concious mind kuwa first source ya utambuzi wote utakuwa unapata taarifa zote in the past zaidi..

Even special Espionage wanafundishwa namna ya kuraise utambuzi huu...

japo.sio wote wanaweza wakaraise hiyo kitu..

N.B..Try to consider subconcious interpretation in any thing ,you will walk in the future in every aspect of your present...

Sent using Jamii Forums mobile app


Sasa utafanyaje ili upate taarifa moja kwa moja kutoka subconcious mind badala ya concious mind?
 
Kabla ya taarifa kufika kwenye ubongo husafirishwa kwa njia ya kipekee ya charge za umeme zinazo itwa impulse ,hizi hukumbia kwa kasi ya 250m per hour sasa basi ikitokea ukaguswa puani na kwa wakati huo huo ukaguswa kwenye kidole cha mguu.
Ni dhahiri taarifa kutoka puani mpaka kwenye ubongo zitwahi kuliko zile za kutoka kidoleni.
kwasababu umbali utakao safiri impulse zilizo beba taarifa kutoka puani ni tofauti na taarifa za kidoleni Zitakuwa zime safiri umbali mrefu zaidi kuliko zile za taarifa za pua


kwa maana hyo hapo.kuna upishano wa muda na kuchelewa kwa kwa taarifa
Lakini pia kwa concept hii ni dhahiri watu warefu wako past zaidi ya watu wa fupi Kwani umbali kutoka miguuni mwa watu warefu ni mkubwa zaidi kuliko ule wa watu wafupi kwa maana hyo wa hutumia mda mwingi kwenye kufika kwa taarifa.
Nisaidie Jibu la hili swali!..
Chukulia kila kitu constant , Mtu Mrefu na Mtu mfupi wakiwekwa uwanjani wakimbie inakuaje Mtu Mrefu atawahi kufika zaidi ya Mtu mfupi ikiwa umesema impulse za Mtu Mfupi zinawahi kupeleka taarifa kuliko za Mtu Mrefu!?.
 
kumekuwa na hata theory ambazo zinadhihirisha kuwa mtu anaweza akasafiri kwenda past yani akatoka wakati akaenda wakati ulio pita na akakutana ma watu wa zamani ambao pengine washakufa na wameoza (newton's law of relativity) inaeleza hill jambo kinaga ubaga
Hii sita izungumzia sana kwakuwa sio mada yangu ya leo.
Siki ukiweka hiyo mada naomba usiache kunitag mkuu.

Ungefanya vyema kuileta mapema
 
Back
Top Bottom