HAKUNA ANAE IONA SASA ,BINADAMU TUNASHI SEKUNDE 2.645 NYUMA YA MUDA.

HAKUNA ANAE IONA SASA ,BINADAMU TUNASHI SEKUNDE 2.645 NYUMA YA MUDA.

Mkuu hongera kwa maada hii lakini naomba nikupinge kidogo ila kwa facts..

Una habari kuwa ubongo wetu unaoperate in future time na sio past one..?

Ni kwamba tukio lolote linalotokea ni kweli ufahamu wako unagundua baada ya tukio kufanyika ..

kwa mfano kila unapotupia jicho upande flani unajikuta kuna delay ya sekunde flani ndo unapata ufahamu kuwa kile ni kitu flani.


Hiyo yote ni kwa sababu ya process nzima ya concious mind..

Mind you kuwa interpretation ya taarifa zozote huwa zinafanywa na subconcious mind na kisha concious mind kupewa interpreted news na kisha kuiprocess kwako..
lakini kuna namna ambapo unaweza ukaishunt subconcious mind iwe inafanya interpretation katika molecular level kwenye cognitive center yako moja kwa moja bila kuifahmisha concious mind yako..

kuna watu wanasense vitu in subconcious form na wengine wanasense vitu katika concious from na huo ndo utofauti unapokuja ..

Ndo mana mkiwa kwenye umati wa watu na most of the people wanaomonitor wengine huwa wapo level zingine kabisa katika kufanya tambuzi za kila tukio litakalo tokea..

Hujawahi kuona mtu anapokuwa na nia mbaya na mtu flani au kundi flani ila kabla hajafanya lile jambo gafla anajikuta kashakamatwa mkono na wahusika kisha wanampeleka chemba wanaanza kumuliza maswali na kugundua kuwa baada ya dk chache yule mtu angenda kutupia bomu au kitu cha hatari maeneo yale....
( hapa inategemea na wahusika kama wamekuwa trained vizuri namna ya kusense future)

Mkuu naomba uuzoeshe ubongo wako kufanya interpretation za moja kwa moja toka subconcious mind ,utakuwa ni mtu wa kupredict the future in any upheld seconds..
sehemu ya mwili wako iko connected moja kwa moja na subconcios recognition centre,

Kabla mwili wako haujagusana na kitu tayari subconcious mind huwa inajua tayari..

Naomba uende shule wanazofundishwa vipofu kutambua kitu

Tena wale wanaona zaidi yako wew kwa taarifa tu na hao most serikali zinawatumia kwenye taasis maalumu ..

Sio wote bila wachache tena dont play with vipofu mkuu ni hatare sana..

ukikuta kipofu alietreniwa vizuri huwa hata hashiki fimbo kama tunaowaona..

anapewa miwani mieusi tu halafu anatinga na suti yake kisha anaingia kitaas..

Ukishaifungua subconcious mind ianze kutafsiri moja kwa moja kwako utakuwa mtu hatare sana .

Una habari kuwa jaribu kufanya zoezi dogo sana fumbo macho halafu zima taa zote chumbani anza kutembea tembea ndani.utagundua kuwa kabla hujagusa ukuta tayari utakuwa ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele ..

yani kabla hujagusa kitu tayari ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele...
Ila kama unaishi ishi tu kwa kuizoelesha concious mind kuwa first source ya utambuzi wote utakuwa unapata taarifa zote in the past zaidi..

Even special Espionage wanafundishwa namna ya kuraise utambuzi huu...

japo.sio wote wanaweza wakaraise hiyo kitu..

N.B..Try to consider subconcious interpretation in any thing ,you will walk in the future in every aspect of your present...

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashkuru kwa soma hadhimu mkuu watanzania ifike mahala tuwe tunapingana kwa hoja na si excuses kama hao wa spelling nimekuelewa sana mkuu na nimejifunza jambo kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nisaidie Jibu la hili swali!..
Chukulia kila kitu constant , Mtu Mrefu na Mtu mfupi wakiwekwa uwanjani wakimbie inakuaje Mtu Mrefu atawahi kufika zaidi ya Mtu mfupi ikiwa umesema impulse za Mtu Mfupi zinawahi kupeleka taarifa kuliko za Mtu Mrefu!?.
Sawa .ipo hivi kuna mambo ambayo yanafanyika nje ya mwili na ambayo yanafanyika ndani ya mwili

Tunapozungumzia nerve impulses kusafiri ni kitendo kinachotokea ndani ya mwili,
Pia linapo kuja suala la ubongo kitafasiri data ni jambo la ndani ya mwili ,,yani kwa ujumla hoja zote ni za ndani ya mwili ....na hzo zote nilizotoa huathiliwa upande hasi na kimo cha binadamu

Lakini inapokuja suala la kukimbia uwanja wa mpira ni tukio ambalo halipo constant kuwa mturefu au mfupi atashinda hutegemea mazoezi ,pumzi na frexybility ya watu husika

Lakini kikubwa ni kuwa hili suala halifanyiki ndani ya mwili....
Endapo tuta assume wote watakimbia kwa hatua sawa na muda sawa mrefu atabebwa na ukubwa wa hatua zake lakini hii haimfanyi kuwa mbele ya muda.

Atashinda mbio lakini bado ukweli wa kuwa nyumba ya muda kutoka na hija nilizotoa utabaki pale pale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa .ipo hivi kuna mambo ambayo yanafanyika nje ya mwili na ambayo yanafanyika ndani ya mwili

Tunapozungumzia nerve impulses kusafiri ni kitendo kinachotokea ndani ya mwili,
Pia linapo kuja suala la ubongo kitafasiri data ni jambo la ndani ya mwili ,,yani kwa ujumla hoja zote ni za ndani ya mwili ....na hzo zote nilizotoa huathiliwa upande hasi na kimo cha binadamu

Lakini inapokuja suala la kukimbia uwanja wa mpira ni tukio ambalo halipo constant kuwa mturefu au mfupi atashinda hutegemea mazoezi ,pumzi na frexybility ya watu husika

Lakini kikubwa ni kuwa hili suala halifanyiki ndani ya mwili....
Endapo tuta assume wote watakimbia kwa hatua sawa na muda sawa mrefu atabebwa na ukubwa wa hatua zake lakini hii haimfanyi kuwa mbele ya muda.

Atashinda mbio lakini bado ukweli wa kuwa nyumba ya muda kutoka na hija nilizotoa utabaki pale pale.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwenye factors zinazoaffect transmissions of nerve impulse hakuna factor ya urefu na ifupi kwa binadamu..

kuna factor ambazo nerve impulse ina depend na sio urefu au ufup wa mtu..

consider about Myelin sheath ,surface area,axonal dimeter pamoja na temperature,hizo ndo main factors ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hongera kwa maada hii lakini naomba nikupinge kidogo ila kwa facts..

Una habari kuwa jaribu kufanya zoezi dogo sana fumbo macho halafu zima taa zote chumbani anza kutembea tembea ndani.utagundua kuwa kabla hujagusa ukuta tayari utakuwa ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele ..

yani kabla hujagusa kitu tayari ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele...
Ila kama unaishi ishi tu kwa kuizoelesha concious mind kuwa first source ya utambuzi wote utakuwa unapata taarifa zote in the past zaidi..

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu zamani nlikua nikifumba macho na kusogeza kiganja karibu na paji la uso nahisi kama paji linavuta hivi, kiachiria kuna kitu karibu kiguse paji la uso baada ya kusoma maelezo yako nimejaribu hali hiyo haipo tena

namna gani mtu anaweza rudisha hali hii?
 
kwenye factors zinazoaffect transmissions of nerve impulse hakuna factor ya urefu na ifupi kwa binadamu..

kuna factor ambazo nerve impulse ina depend na sio urefu au ufup wa mtu..

consider about Myelin sheath ,surface area,axonal dimeter pamoka na temperature,huzi ndo main factors ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikupe point kwanini impulse traveling inaathiriwa na urefu na ufupi nilitoa mfano hapo juu chukulia moto unaunguza pua.

Ile external effector ambayo ni moto taarifa zake Zita safirishwa kutoka puani mpaka kwenye ubongo ndio uchataji wa taarifa uanze .
Assume umbali ni 10 sm na pia speed ya impulse ni almost 250 km /h ,basi hapo kuna muda uliotumika kutoka puani mpka taarifa hizi kufika kwenye ubongo.

Sasa hamia kwenye kidole cha mguuni kinapo ungua hapa taarifa itakatisha kupitia urefu wa mtu huyo wote (yani utaanzia kwenye kidole mpaka kichwani ) ikumbukwe kuwa speed ya impulse ni ile ile ila umbali umeongezeka.

Mpaka hapa utaona utofauti uliopo kwamba ni wazi hata kama matukio haya mawili yatafanyika kwa muda sawa lakini kufika taarifa kwenye ubongo kwaajiri ya uchataji utakuwa ni tofauti.

Hapa ndipo factor ya urefu na ufupi inapoingia mtu mrefu taarifa itasafiri umbali mrefu zaidi ili kufika kwenye ubongo na kutumia mda mrefu zaidi kuliko alie mfupi ambae taarifa husafiri kwa umbali mfupi kulingana na kimo chake kuwa kifupi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye urefu na ufupi umepuyanga mkuu
HAKUNA ANAE IONA SASA ,BINADAMU TUNASHI SEKUNDE 2.645 NYUMA YA MUDA.

habari za wakati huu ...

Bila kupoteza muda nanze hapa kwenye muda,
maana harisi ya kisayansi ya muda kwa Maelezo ni utofauti wa matukio,yani unaposema ameishi miaka kumi inamanisha kwamba utofauti wa tulio la kuzaliwa na kufa ni miaka kumi ,na huo ndio muda(time) .

Concept ya muda inachangamoto nyingi sana hasa kwenye hizi nyakati tatu (wakati uliopita,sasa ,ujao) yani past future na present,
kumekuwa na hata theory ambazo zinadhihirisha kuwa mtu anaweza akasafiri kwenda past yani akatoka wakati akaenda wakati ulio pita na akakutana ma watu wa zamani ambao pengine washakufa na wameoza (newton's law of relativity) inaeleza hill jambo kinaga ubaga
Hii sita izungumzia sana kwakuwa sio mada yangu ya leo.

Turudi kwenye mada kuu ,
Kimahesabu hakuna binadamu aneweza kuona present (sasa) wote yupo nyuma.
Tunavyo viona vinafanyika, vinafanyika muda unapita ndio tunaona sisi.kwa lugha nyepes tupo past .

Kwanini;
Wote tunajua kwamba kila kinachotekea yani kuona,kugusa,kusikia kuhisi na vingine vyote vinaratibiwa na ubongo. na huo ubongo hutegemea kuletewa taarifa na viungo vya fahamu mfamo ngozi na mcho.
Ubongo unapo pata taarifa kutoka kwenye viungo vya fahamu hisubiri mpaka taarifa iwe kamiri ndipo uanze kuichakata na kuitolea maamuzi

Kwa makadirio ubongo hutumia muda wa 80 milliseconds katika uchataji wa taarifa kutoka njee ya mwili,
muda huu waweza kuwa mdogo sana na kwa hali ya kawaida ya kibinadamu huwezi kuona utofauti wa mambo ambayo yamepishana kiasi cha muda huo ,utaona vyote yamefanyika kwa wakati sawa lakini kimsingi yamepishana .

Kwamatiki hyo kila tunacho kuona huwa kimetuacha na kinakuwa kimefanyika 80 milliseconds zilizopita toka kifanyike na tunachoona sisi ni past!.

Lakini pia umbali wa tukio pia huchangia binadamu kuishi nyuma ya mida,

Kabla ya taarifa kufika kwenye ubongo husafirishwa kwa njia ya kipekee ya charge za umeme zinazo itwa impulse ,hizi hukumbia kwa kasi ya 250m per hour sasa basi ikitokea ukaguswa puani na kwa wakati huo huo ukaguswa kwenye kidole cha mguu.
Ni dhahiri taarifa kutoka puani mpaka kwenye ubongo zitwahi kuliko zile za kutoka kidoleni.
kwasababu umbali utakao safiri impulse zilizo beba taarifa kutoka puani ni tofauti na taarifa za kidoleni Zitakuwa zime safiri umbali mrefu zaidi kuliko zile za taarifa za pua

kwa maana hyo hapo.kuna upishano wa muda na kuchelewa kwa kwa taarifa
Lakini pia kwa concept hii ni dhahiri watu warefu wako past zaidi ya watu wa fupi Kwani umbali kutoka miguuni mwa watu warefu ni mkubwa zaidi kuliko ule wa watu wafupi kwa maana hyo wa hutumia mda mwingi kwenye kufika kwa taarifa .

Ikumbukwe pia kuna kucherewa kwa muda kutoka na kusafiri kwa mwanga
Kama inavyo fahika katika kila jambo tunalo liona huwa tunaona kwasababu ya mwanga(light)
Lakini pia mwanga husafiri na kasi yake kutoka kwenye kitu husika mpaka kufika kwenye mboni zetu kwa maana hyo basi mwanga huchangia kwenye kuchelewa kwa taarifa na kusababisha watu kuishi kwenye nyakati zilizopita na kushindwa kuiona "sasa"
Chukulia mfano unaangalia jari ya gari inayotokea mita 100 kutoka ulipo na kasi ya mwanga ambao unakuletea wewe taarifa hizi ni 300000000 m/s(imekadiriwa) hivyo basi taarifa hyo inatumia 1/3000000 seconds kukufikia hvyo tayari unakuwa nyuma ya muda wa tukio husika .
Mahesabu ya fisikia yana toa jumla ya muda ambao binadamu yupo nyuma kama vichocheo vyote vitakuwa vime husika kuchewesha taarifa yani mwendo wa mwanga kutoka sehemu husika ,muda wa uchakataji taarifa kusafiri kwa impulses, kuna jumla ya sekunde 2.645 binadamu anachelewa kuona tukio .

Hivyo ndio kusema bindamu tupo nyuma na tunaona sekude 2.645 baada ya jambo kufanyika


Imeandikwa na kingo SR



Sent using Jamii Forums mobile app

Take a look below.
The speed of a nerve impulse varies with the type of nerve impulse the nervous system is sending. Some signals such as those for muscle position, travel at speeds up to 119m/s. Nerve impulses such as pain signals travel slower at 0.61m/s. Touch signals travel at speeds of76.2m/s.
Kama speed ya touch signals ndo iyo maanaake ni kwamba ili tofauti iwepo kati ya mrefu na mfupi, Huyo MTU mrefu anatakiwa awe na urefu kuanzia 77mitres na kuendelea. MTU Huyo atatoka wapi jamani maana hata kabeba urefu huo hawana.
Hii ni sawa na kuwasha taa mbili za umeme kwa pamoja ambazo zipo umbali tofauti, taa iliyopo mbali ni sawa na mtu mrefu na taa iliyopo karibu ni sawa na mtu mfupi, hapo tutaangalia speed ya electrons 2200km/s maana umeme ni flow of electrons, Hapo taa zote zitawaka within 1second labda tofauti ya umbali uzidi speed of electron per second,
 
Mkuu hongera kwa maada hii lakini naomba nikupinge kidogo ila kwa facts..

Una habari kuwa ubongo wetu unaoperate in future time na sio past one..?

Ni kwamba tukio lolote linalotokea ni kweli ufahamu wako unagundua baada ya tukio kufanyika ..

kwa mfano kila unapotupia jicho upande flani unajikuta kuna delay ya sekunde flani ndo unapata ufahamu kuwa kile ni kitu flani.


Hiyo yote ni kwa sababu ya process nzima ya concious mind..

Mind you kuwa interpretation ya taarifa zozote huwa zinafanywa na subconcious mind na kisha concious mind kupewa interpreted news na kisha kuiprocess kwako..
lakini kuna namna ambapo unaweza ukaishunt subconcious mind iwe inafanya interpretation katika molecular level kwenye cognitive center yako moja kwa moja bila kuifahmisha concious mind yako..

kuna watu wanasense vitu in subconcious form na wengine wanasense vitu katika concious from na huo ndo utofauti unapokuja ..

Ndo mana mkiwa kwenye umati wa watu na most of the people wanaomonitor wengine huwa wapo level zingine kabisa katika kufanya tambuzi za kila tukio litakalo tokea..

Hujawahi kuona mtu anapokuwa na nia mbaya na mtu flani au kundi flani ila kabla hajafanya lile jambo gafla anajikuta kashakamatwa mkono na wahusika kisha wanampeleka chemba wanaanza kumuliza maswali na kugundua kuwa baada ya dk chache yule mtu angenda kutupia bomu au kitu cha hatari maeneo yale....
( hapa inategemea na wahusika kama wamekuwa trained vizuri namna ya kusense future)

Mkuu naomba uuzoeshe ubongo wako kufanya interpretation za moja kwa moja toka subconcious mind ,utakuwa ni mtu wa kupredict the future in any upheld seconds..
sehemu ya mwili wako iko connected moja kwa moja na subconcios recognition centre,

Kabla mwili wako haujagusana na kitu tayari subconcious mind huwa inajua tayari..

Naomba uende shule wanazofundishwa vipofu kutambua kitu

Tena wale wanaona zaidi yako wew kwa taarifa tu na hao most serikali zinawatumia kwenye taasis maalumu ..

Sio wote bila wachache tena dont play with vipofu mkuu ni hatare sana..

ukikuta kipofu alietreniwa vizuri huwa hata hashiki fimbo kama tunaowaona..

anapewa miwani mieusi tu halafu anatinga na suti yake kisha anaingia kitaas..

Ukishaifungua subconcious mind ianze kutafsiri moja kwa moja kwako utakuwa mtu hatare sana .

Una habari kuwa jaribu kufanya zoezi dogo sana fumbo macho halafu zima taa zote chumbani anza kutembea tembea ndani.utagundua kuwa kabla hujagusa ukuta tayari utakuwa ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele ..

yani kabla hujagusa kitu tayari ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele...
Ila kama unaishi ishi tu kwa kuizoelesha concious mind kuwa first source ya utambuzi wote utakuwa unapata taarifa zote in the past zaidi..

Even special Espionage wanafundishwa namna ya kuraise utambuzi huu...

japo.sio wote wanaweza wakaraise hiyo kitu..

N.B..Try to consider subconcious interpretation in any thing ,you will walk in the future in every aspect of your present...

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief,how do I train my subconcious mind?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hapo umiacha tena...what is sympathetic training ?

Sent using Jamii Forums mobile app
your mind is like a magnet ....it can attract whatever you feel..

kwa learners unaweza ukaanza taratibu kama ifuatavyo.

1.unaweza ukawa kila jicho linapotupa ( kila unapoangalis kit chochote )unakuwa unavuta kile kitu kwa hisia kali kutoka kwenye mind..
mfano ukiangalia chochote pale pale unakivutia hisia kali kwa kutumia mind...( njia hii itafanya ubongo uwe unainterprete kwa speed kubwa sana na badae inashift mode of operation)

2.Njia nyingine ni kuactivatr your third eye of the horus...but njia hii inahitaji meditation ya hali ya juu sana..maybe nikipata muda nitajaribu kuelezea hapa siku flani ..kuna mlolongo wa michakato hapa but it is very technically simple..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
your mind is like a magnet ....it can attract whatever you feel..

kwa learners unaweza ukaanza taratibu kama ifuatavyo.

1.unaweza ukawa kila jicho linapotupa ( kila unapoangalis kit chochote )unakuwa unavuta kile kitu kwa hisia kali kutoka kwenye mind..
mfano ukiangalia chochote pale pale unakivutia hisia kali kwa kutumia mind...( njia hii itafanya ubongo uwe unainterprete kwa speed kubwa sana na badae inashift mode of operation)

2.Njia nyingine ni kuactivatr your third eye of the horus...but njia hii inahitaji meditation ya hali ya juu sana..maybe nikipata muda nitajaribu kuelezea hapa siku flani ..kuna mlolongo wa michakato hapa but it is very technically simple..



Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Mkuu,nasubiri muendelezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasole nelcon edition ya 12 kile kinatulika advance physics na anatomy by lichards edition ya 3 mwaka 2017 kasome hvyo vitabu ndio source

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom