HAKUNA ANAE IONA SASA ,BINADAMU TUNASHI SEKUNDE 2.645 NYUMA YA MUDA.

HAKUNA ANAE IONA SASA ,BINADAMU TUNASHI SEKUNDE 2.645 NYUMA YA MUDA.

Nisaidie Jibu la hili swali!..
Chukulia kila kitu constant , Mtu Mrefu na Mtu mfupi wakiwekwa uwanjani wakimbie inakuaje Mtu Mrefu atawahi kufika zaidi ya Mtu mfupi ikiwa umesema impulse za Mtu Mfupi zinawahi kupeleka taarifa kuliko za Mtu Mrefu!?.
kuna tofauti kati ya kurusha hatua na taarifa kutoka sehemu Fulani ya mwili kwenda ubongoni.
mbona rahisi sana kueleweka hii?
 
Mkuu hongera kwa maada hii lakini naomba nikupinge kidogo ila kwa facts..

Una habari kuwa ubongo wetu unaoperate in future time na sio past one..?

Ni kwamba tukio lolote linalotokea ni kweli ufahamu wako unagundua baada ya tukio kufanyika ..

kwa mfano kila unapotupia jicho upande flani unajikuta kuna delay ya sekunde flani ndo unapata ufahamu kuwa kile ni kitu flani.


Hiyo yote ni kwa sababu ya process nzima ya concious mind..

Mind you kuwa interpretation ya taarifa zozote huwa zinafanywa na subconcious mind na kisha concious mind kupewa interpreted news na kisha kuiprocess kwako..
lakini kuna namna ambapo unaweza ukaishunt subconcious mind iwe inafanya interpretation katika molecular level kwenye cognitive center yako moja kwa moja bila kuifahmisha concious mind yako..

kuna watu wanasense vitu in subconcious form na wengine wanasense vitu katika concious from na huo ndo utofauti unapokuja ..

Ndo mana mkiwa kwenye umati wa watu na most of the people wanaomonitor wengine huwa wapo level zingine kabisa katika kufanya tambuzi za kila tukio litakalo tokea..

Hujawahi kuona mtu anapokuwa na nia mbaya na mtu flani au kundi flani ila kabla hajafanya lile jambo gafla anajikuta kashakamatwa mkono na wahusika kisha wanampeleka chemba wanaanza kumuliza maswali na kugundua kuwa baada ya dk chache yule mtu angenda kutupia bomu au kitu cha hatari maeneo yale....
( hapa inategemea na wahusika kama wamekuwa trained vizuri namna ya kusense future)

Mkuu naomba uuzoeshe ubongo wako kufanya interpretation za moja kwa moja toka subconcious mind ,utakuwa ni mtu wa kupredict the future in any upheld seconds..
sehemu ya mwili wako iko connected moja kwa moja na subconcios recognition centre,

Kabla mwili wako haujagusana na kitu tayari subconcious mind huwa inajua tayari..

Naomba uende shule wanazofundishwa vipofu kutambua kitu

Tena wale wanaona zaidi yako wew kwa taarifa tu na hao most serikali zinawatumia kwenye taasis maalumu ..

Sio wote bila wachache tena dont play with vipofu mkuu ni hatare sana..

ukikuta kipofu alietreniwa vizuri huwa hata hashiki fimbo kama tunaowaona..

anapewa miwani mieusi tu halafu anatinga na suti yake kisha anaingia kitaas..

Ukishaifungua subconcious mind ianze kutafsiri moja kwa moja kwako utakuwa mtu hatare sana .

Una habari kuwa jaribu kufanya zoezi dogo sana fumbo macho halafu zima taa zote chumbani anza kutembea tembea ndani.utagundua kuwa kabla hujagusa ukuta tayari utakuwa ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele ..

yani kabla hujagusa kitu tayari ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele...
Ila kama unaishi ishi tu kwa kuizoelesha concious mind kuwa first source ya utambuzi wote utakuwa unapata taarifa zote in the past zaidi..

Even special Espionage wanafundishwa namna ya kuraise utambuzi huu...

japo.sio wote wanaweza wakaraise hiyo kitu..

N.B..Try to consider subconcious interpretation in any thing ,you will walk in the future in every aspect of your present...

Sent using Jamii Forums mobile app
Life coded na mchawi mkuu mnatakiwa muwe waalimu wangu wa kiroho.
 
Mkuu hongera kwa maada hii lakini naomba nikupinge kidogo ila kwa facts..

Una habari kuwa ubongo wetu unaoperate in future time na sio past one..?

Ni kwamba tukio lolote linalotokea ni kweli ufahamu wako unagundua baada ya tukio kufanyika ..

kwa mfano kila unapotupia jicho upande flani unajikuta kuna delay ya sekunde flani ndo unapata ufahamu kuwa kile ni kitu flani.


Hiyo yote ni kwa sababu ya process nzima ya concious mind..

Mind you kuwa interpretation ya taarifa zozote huwa zinafanywa na subconcious mind na kisha concious mind kupewa interpreted news na kisha kuiprocess kwako..
lakini kuna namna ambapo unaweza ukaishunt subconcious mind iwe inafanya interpretation katika molecular level kwenye cognitive center yako moja kwa moja bila kuifahmisha concious mind yako..

kuna watu wanasense vitu in subconcious form na wengine wanasense vitu katika concious from na huo ndo utofauti unapokuja ..

Ndo mana mkiwa kwenye umati wa watu na most of the people wanaomonitor wengine huwa wapo level zingine kabisa katika kufanya tambuzi za kila tukio litakalo tokea..

Hujawahi kuona mtu anapokuwa na nia mbaya na mtu flani au kundi flani ila kabla hajafanya lile jambo gafla anajikuta kashakamatwa mkono na wahusika kisha wanampeleka chemba wanaanza kumuliza maswali na kugundua kuwa baada ya dk chache yule mtu angenda kutupia bomu au kitu cha hatari maeneo yale....
( hapa inategemea na wahusika kama wamekuwa trained vizuri namna ya kusense future)

Mkuu naomba uuzoeshe ubongo wako kufanya interpretation za moja kwa moja toka subconcious mind ,utakuwa ni mtu wa kupredict the future in any upheld seconds..
sehemu ya mwili wako iko connected moja kwa moja na subconcios recognition centre,

Kabla mwili wako haujagusana na kitu tayari subconcious mind huwa inajua tayari..

Naomba uende shule wanazofundishwa vipofu kutambua kitu

Tena wale wanaona zaidi yako wew kwa taarifa tu na hao most serikali zinawatumia kwenye taasis maalumu ..

Sio wote bila wachache tena dont play with vipofu mkuu ni hatare sana..

ukikuta kipofu alietreniwa vizuri huwa hata hashiki fimbo kama tunaowaona..

anapewa miwani mieusi tu halafu anatinga na suti yake kisha anaingia kitaas..

Ukishaifungua subconcious mind ianze kutafsiri moja kwa moja kwako utakuwa mtu hatare sana .

Una habari kuwa jaribu kufanya zoezi dogo sana fumbo macho halafu zima taa zote chumbani anza kutembea tembea ndani.utagundua kuwa kabla hujagusa ukuta tayari utakuwa ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele ..

yani kabla hujagusa kitu tayari ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele...
Ila kama unaishi ishi tu kwa kuizoelesha concious mind kuwa first source ya utambuzi wote utakuwa unapata taarifa zote in the past zaidi..

Even special Espionage wanafundishwa namna ya kuraise utambuzi huu...

japo.sio wote wanaweza wakaraise hiyo kitu..

N.B..Try to consider subconcious interpretation in any thing ,you will walk in the future in every aspect of your present...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Jumapili tulivu kama hii naomba umwambie mtu wa jikoni akusikilize hapo tafadhali,

Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnh haya nambo magumu sana kuelewa kwa upande wangu..mara waseme time ni illusion...mara tena leo tunaishi nyuma ya mda...mara tena tujifunze kuwa ndani ya mda...mara tena tuishi mbele ya mda...mara tena...........
Mda....mda....mda!?????
 
We jamaa inaonekana hata biology na physics haujagusa unajua kwa nn?
1.umemtaja aliyetoa theory of relativity ni newton na wakati in reality ni albert einstein.(hapo umeonyesha ukilaza kwenye physics)
2.halafu kama ungekuwa umesoma na umeelewa kweli relativity( hapa namaanisha both general and special relativity) ungeweza kuelewa kitu wanakiita frame reference na time delay.
3.kwenye bilogy hapa haiiitaji kuwa na degree wala masters hapa unahitaji elimu yako ya Biological science advanced level ukienda kusoma part ya coordination utakuta kuna kitu wanaita summation hiki ni kile kitendo ambacho neurone kupitia kujirudia rudia kwa utumwaji wa signal inafikia kiwango cha usafirishaji signal hiki kitu kimegawanyika sehemu mbili ya kwanza ni
a).temporal summation
b).spartial summation
Na hapo ndipo kuna derlay inapotokea kwamba neva itahitaji kupumzika kwa muda mchache kabla ya kutuma tena impulse nyengine hiyo delay ni ya kawaida na haina effect kwenye kuishi nyuma ya muda.
 
Anyway uandishi sio poa sana ila napata cincept ktk uandidhi wako

Twende sasa Kuna kitu kihesabu kinaitwa "errors" kwa maana ya utofauti wa actual result na approximated result

Sasa ukiangalia hizo analysis unafanya utagundua hizo taarifa zinazotembea kutoka kwenye mguu wa mtu mrefu na mtu mfupi ( kama ulivyo sema ). Au hata kwenye pua na mguu (viungo vya mtu m1 kama ulivyo sema na kumaanisha ) kwa nature ya speed yake error itakua ni ndogo kiasi chakua haina madhara yoyote kihesabu na huwezi kuona utofauti wowote wa kudelay ktk kutafsiri kwa taarifa almost zote zitakua zinatasfitiwa ndani ya mda m1


Hope tuko pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hongera kwa maada hii lakini naomba nikupinge kidogo ila kwa facts..

Una habari kuwa ubongo wetu unaoperate in future time na sio past one..?

Ni kwamba tukio lolote linalotokea ni kweli ufahamu wako unagundua baada ya tukio kufanyika ..

kwa mfano kila unapotupia jicho upande flani unajikuta kuna delay ya sekunde flani ndo unapata ufahamu kuwa kile ni kitu flani.


Hiyo yote ni kwa sababu ya process nzima ya concious mind..

Mind you kuwa interpretation ya taarifa zozote huwa zinafanywa na subconcious mind na kisha concious mind kupewa interpreted news na kisha kuiprocess kwako..
lakini kuna namna ambapo unaweza ukaishunt subconcious mind iwe inafanya interpretation katika molecular level kwenye cognitive center yako moja kwa moja bila kuifahmisha concious mind yako..

kuna watu wanasense vitu in subconcious form na wengine wanasense vitu katika concious from na huo ndo utofauti unapokuja ..

Ndo mana mkiwa kwenye umati wa watu na most of the people wanaomonitor wengine huwa wapo level zingine kabisa katika kufanya tambuzi za kila tukio litakalo tokea..

Hujawahi kuona mtu anapokuwa na nia mbaya na mtu flani au kundi flani ila kabla hajafanya lile jambo gafla anajikuta kashakamatwa mkono na wahusika kisha wanampeleka chemba wanaanza kumuliza maswali na kugundua kuwa baada ya dk chache yule mtu angenda kutupia bomu au kitu cha hatari maeneo yale....
( hapa inategemea na wahusika kama wamekuwa trained vizuri namna ya kusense future)

Mkuu naomba uuzoeshe ubongo wako kufanya interpretation za moja kwa moja toka subconcious mind ,utakuwa ni mtu wa kupredict the future in any upheld seconds..
sehemu ya mwili wako iko connected moja kwa moja na subconcios recognition centre,

Kabla mwili wako haujagusana na kitu tayari subconcious mind huwa inajua tayari..

Naomba uende shule wanazofundishwa vipofu kutambua kitu

Tena wale wanaona zaidi yako wew kwa taarifa tu na hao most serikali zinawatumia kwenye taasis maalumu ..

Sio wote bila wachache tena dont play with vipofu mkuu ni hatare sana..

ukikuta kipofu alietreniwa vizuri huwa hata hashiki fimbo kama tunaowaona..

anapewa miwani mieusi tu halafu anatinga na suti yake kisha anaingia kitaas..

Ukishaifungua subconcious mind ianze kutafsiri moja kwa moja kwako utakuwa mtu hatare sana .

Una habari kuwa jaribu kufanya zoezi dogo sana fumbo macho halafu zima taa zote chumbani anza kutembea tembea ndani.utagundua kuwa kabla hujagusa ukuta tayari utakuwa ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele ..

yani kabla hujagusa kitu tayari ushapata idea kuwa kuna kitu hapa mbele...
Ila kama unaishi ishi tu kwa kuizoelesha concious mind kuwa first source ya utambuzi wote utakuwa unapata taarifa zote in the past zaidi..

Even special Espionage wanafundishwa namna ya kuraise utambuzi huu...

japo.sio wote wanaweza wakaraise hiyo kitu..

N.B..Try to consider subconcious interpretation in any thing ,you will walk in the future in every aspect of your present...

Sent using Jamii Forums mobile app
hilo zoezi lako utasense kuna kitu kwasababu ni kwako upo kila siku ushapajua, sehemuu mpya huwezi sense chochote
 
Back
Top Bottom