HAKUNA ANAE IONA SASA ,BINADAMU TUNASHI SEKUNDE 2.645 NYUMA YA MUDA.

Nisaidie Jibu la hili swali!..
Chukulia kila kitu constant , Mtu Mrefu na Mtu mfupi wakiwekwa uwanjani wakimbie inakuaje Mtu Mrefu atawahi kufika zaidi ya Mtu mfupi ikiwa umesema impulse za Mtu Mfupi zinawahi kupeleka taarifa kuliko za Mtu Mrefu!?.
kuna tofauti kati ya kurusha hatua na taarifa kutoka sehemu Fulani ya mwili kwenda ubongoni.
mbona rahisi sana kueleweka hii?
 
Life coded na mchawi mkuu mnatakiwa muwe waalimu wangu wa kiroho.
 
Kwa Jumapili tulivu kama hii naomba umwambie mtu wa jikoni akusikilize hapo tafadhali,

Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnh haya nambo magumu sana kuelewa kwa upande wangu..mara waseme time ni illusion...mara tena leo tunaishi nyuma ya mda...mara tena tujifunze kuwa ndani ya mda...mara tena tuishi mbele ya mda...mara tena...........
Mda....mda....mda!?????
 
We jamaa inaonekana hata biology na physics haujagusa unajua kwa nn?
1.umemtaja aliyetoa theory of relativity ni newton na wakati in reality ni albert einstein.(hapo umeonyesha ukilaza kwenye physics)
2.halafu kama ungekuwa umesoma na umeelewa kweli relativity( hapa namaanisha both general and special relativity) ungeweza kuelewa kitu wanakiita frame reference na time delay.
3.kwenye bilogy hapa haiiitaji kuwa na degree wala masters hapa unahitaji elimu yako ya Biological science advanced level ukienda kusoma part ya coordination utakuta kuna kitu wanaita summation hiki ni kile kitendo ambacho neurone kupitia kujirudia rudia kwa utumwaji wa signal inafikia kiwango cha usafirishaji signal hiki kitu kimegawanyika sehemu mbili ya kwanza ni
a).temporal summation
b).spartial summation
Na hapo ndipo kuna derlay inapotokea kwamba neva itahitaji kupumzika kwa muda mchache kabla ya kutuma tena impulse nyengine hiyo delay ni ya kawaida na haina effect kwenye kuishi nyuma ya muda.
 
Anyway uandishi sio poa sana ila napata cincept ktk uandidhi wako

Twende sasa Kuna kitu kihesabu kinaitwa "errors" kwa maana ya utofauti wa actual result na approximated result

Sasa ukiangalia hizo analysis unafanya utagundua hizo taarifa zinazotembea kutoka kwenye mguu wa mtu mrefu na mtu mfupi ( kama ulivyo sema ). Au hata kwenye pua na mguu (viungo vya mtu m1 kama ulivyo sema na kumaanisha ) kwa nature ya speed yake error itakua ni ndogo kiasi chakua haina madhara yoyote kihesabu na huwezi kuona utofauti wowote wa kudelay ktk kutafsiri kwa taarifa almost zote zitakua zinatasfitiwa ndani ya mda m1


Hope tuko pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hilo zoezi lako utasense kuna kitu kwasababu ni kwako upo kila siku ushapajua, sehemuu mpya huwezi sense chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…