Ndo maana nikakuambia acha viroja... sasa mimi na wewe ni nani hajielewi hapo? Hujui hata ngoma yenyewe ni nani ft nani!!! FYI, ile collabo sio R Kelly ft hao uliowataja bali One8 Ft R Kelly. Ile ilikuwa ni Project ya Airtel ambayo waliunda hilo kundi la One8 na One8 ndiyo ilim-ft R Kelly! Sasa wewe na wenzako kila siku mnajidanganya kwamba ni collabo ya Kiba na R Kelly... yaani sawa sawa na leo Abdul Kiba au Baba Levo aulizwe ameshawahi kufanya collabo na Diamond; halafu ajibu ndiyo! Akiulizwa ngoma gani, anajibu Leka Dutigite... sasa si atakuwa mwehu!!!
Narudia swali: Hivi huyo Kiba amewahi kufanya collabo kubwa na nani hadi ionekane kuna watu waliziba collabo yake na Ne-Yo?!