Sio kwa POVU hilo! Hah ha ha haaa!hivyo ndivyo mnavyojidanganya ndio maana hata Sallam interview nzima anang'ang'ania kusema kama Ali ana shida ya kusaidiwa amwambie amsaidie eboooooo kwani yeye Sallam ni nani kwenye Bongo flava?!
Wanajiona kama wao ndio wenye Hati miliki na bongo flava...hawajui kuwa ilipokuwepo toka Fella akiwa anapiga watu washawasha mitaa ya Woodstock,Cape Town.
Enzi hizo Babu Tale akijaribu kuimba na kina Madee zama hizo Sallam ni Meneja Moro United...Bongo flaba ulikuwepo na Ali Kiba alikuwepo wasiojone wao ndio GoodFather wa hii kitu.
Acha viroja wewe! Kwahiyo ni Kiba Ft R. Kelly au R.Kelly Ft Kiba?R kelly
Sio hakutumika kama Lead Act bali hakuwa Lead Act kabisa!Ndio unataka kusema nini hapo?!Ali Kiba hakutumika kama Lead act kwenye show ya Juzi Mombasa?!
Hapo naanza kuelewa!Mtoa mada Mimi nipo Mombasa , hakuna msanii anaetupa burudani kama Diamond kinachofanya Ali aje sana huku ni kwamba ni bei chee kumuita
Matusi yeshaanza!! Fans wa Alli bhana, hawana tofauti naye!!Wewe bado sijajua jinsia yako..Yaani inawezekana vipi utake Mwanaume mwenzio awe na tabia zenye kukufurahisha kwani mumeo huyo?!
wewe kama unapenda basi penda mziki wake na sio tabia zake binafsi kila mtu ana mapungufu yake..
Wewe Unaona sawa kwa kuwa kaumbwa na dharahu basi ndio afanyie figisu figisu na Sallam kwani Sallam ndio mwenye mziki wake?
na huwezi kuaminika popote nishajua unatabia ya kubadili badili mawazo siku yoyote unaweza kuhama kwa Diamond ukaenda kwa Ben Pol kisa tabia za Diamond kupenda penda wanawake zinakukera
Mkuu nilishapanga kuachana nae mamoja lakini naogopa watu wa Haki za Binadamu wanaweza kunituhumu namnyanyapaa manake kiukweli kama ulivyosema, ana elements zoooooote za mtu anayepaswa kupuuzwa! Lakini si itakuwa unyanyapaa; au?Usibishane na uyo punga wa kizaramo
Wew hujielewi umeuliza kiba kafany collabo gani na msanii mkubwa nikaeleza r Kelly mean r Kelly ft kiba,fall ipupa,a man na wengine hivyo hata ne yo kwake wakaidaAcha viroja wewe! Kwahiyo ni Kiba Ft R. Kelly au R.Kelly Ft Kiba?
Ndo maana nikakuambia acha viroja... sasa mimi na wewe ni nani hajielewi hapo? Hujui hata ngoma yenyewe ni nani ft nani!!! FYI, ile collabo sio R Kelly ft hao uliowataja bali One8 Ft R Kelly. Ile ilikuwa ni Project ya Airtel ambayo waliunda hilo kundi la One8 na One8 ndiyo ilim-ft R Kelly! Sasa wewe na wenzako kila siku mnajidanganya kwamba ni collabo ya Kiba na R Kelly... yaani sawa sawa na leo Abdul Kiba au Baba Levo aulizwe ameshawahi kufanya collabo na Diamond; halafu ajibu ndiyo! Akiulizwa ngoma gani, anajibu Leka Dutigite... sasa si atakuwa mwehu!!!Wew hujielewi umeuliza kiba kafany collabo gani na msanii mkubwa nikaeleza r Kelly mean r Kelly ft kiba,fall ipupa,a man na wengine hivyo hata ne yo kwake wakaida
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] umemchapa kofi la kwenye machoNdo maana nikakuambia acha viroja... sasa mimi na wewe ni nani hajielewi hapo? Hujui hata ngoma yenyewe ni nani ft nani!!! FYI, ile collabo sio R Kelly ft hao uliowataja bali One8 Ft R Kelly. Ile ilikuwa ni Project ya Airtel ambayo waliunda hilo kundi la One8 na One8 ndiyo ilim-ft R Kelly! Sasa wewe na wenzako kila siku mnajidanganya kwamba ni collabo ya Kiba na R Kelly... yaani sawa sawa na leo Abdul Kiba au Baba Levo aulizwe ameshawahi kufanya collabo na Diamond; halafu ajibu ndiyo! Akiulizwa ngoma gani, anajibu Leka Dutigite... sasa si atakuwa mwehu!!!
Narudia swali:
hivi huoni salam amekaa kinafiki nafiki....afu ni kawaida ya watu wa aina ile.....Yaani thread imekaa kimahaba tupu kwa Alikiba. Yaani Neyo aache kufanya collabo na Alikiba kisa Sallam? Yaani waandaaji wa show waliomlipa Alikiba pesa nyingi wakubali kuzima mic kisa Sallam? Kwani huyo Sallam ni nani hadi awe na power kiasi hicho? Hii thread ni nonsense!
Kwahiyo kipi cha kujivunia kati ya hao watu wawili ne yo na r kelly mean ww unaona ne yo ni bonge la msanii kwa wakati huo ambao anakutana na diamond hapo uneambiwa hata hiyo coraboration ne yo ndie aliyetaka kumjua diamond sasa unakuna maneno mengiNdo maana nikakuambia acha viroja... sasa mimi na wewe ni nani hajielewi hapo? Hujui hata ngoma yenyewe ni nani ft nani!!! FYI, ile collabo sio R Kelly ft hao uliowataja bali One8 Ft R Kelly. Ile ilikuwa ni Project ya Airtel ambayo waliunda hilo kundi la One8 na One8 ndiyo ilim-ft R Kelly! Sasa wewe na wenzako kila siku mnajidanganya kwamba ni collabo ya Kiba na R Kelly... yaani sawa sawa na leo Abdul Kiba au Baba Levo aulizwe ameshawahi kufanya collabo na Diamond; halafu ajibu ndiyo! Akiulizwa ngoma gani, anajibu Leka Dutigite... sasa si atakuwa mwehu!!!
Narudia swali: Hivi huyo Kiba amewahi kufanya collabo kubwa na nani hadi ionekane kuna watu waliziba collabo yake na Ne-Yo?!