Hakuna cha hujuma, Yanga wapo serious na wanamaanisha kazi kazi

Hakuna cha hujuma, Yanga wapo serious na wanamaanisha kazi kazi

Kazi kweli ndo maana lucy aymel alituita nyani mashabiki wa Tanzania leo hapa kila mtu anakubali yanga team bora kisa kamfunga simba siku yanga akija kufungwa ndo utajua kwa nini wazungu wanatuona hatuna akili maana tunasahau haraka sana.
Kazi kweli na ndio maana Rage alituita mbumbumbu,tatizo letu sisi mashabiki wa majeneza tulijiona kuwa timu ni Bora baada ya kuwafunga st George.

Halafu hatutaki kuwapa utopolo heshima Yao. Wamemaliza ligi unbeaten wamechukua vikombe vyote sisi tukiambulia kikombe Cha mapinduzi masikini. Halafu Leo hii tunaanza kuwakashfu kwenye media? Sisi Majeneza hatujielewi kabisa
 
Shida mbumbumbu wanachojuaga wao ni kusema sisi level za caf, sisi ni unstoppable wakati hawafanyi chochote kupigania hizo level. Wanaendeshwa na expectations akilini mwao wanageuza ndio uhalisia

Ni suala la muda tu.

Hawataki kujipa muda kutafuta solutions za kweli kazi kung'ang'ania tu Inonga kahongwa, oooh Chama katolewa. Sawa endeleeni kuiona Simba hivyo hivyo mnavyoiona

Saa hizi mnasema Inonga kahongwa, vipi yule aliyepigwa dobo? Mwisho mtasema kocha nae alihongwa na GSM kumtoa Chama na mkimaliza hapo mtasema MO na Barbra wamehongwa nao kutomleta Mganda wa Vipers
Duuu! Wewe na hao washabiki wa simba wote akili zenu sawa, yaani mchezaji kupigwa tobo ndio unaona kuna kiashilia cha rushwa?
 
Duuu! Wewe na hao washabiki wa simba wote akili zenu sawa, yaani mchezaji kupigwa tobo ndio unaona kuna kiashilia cha rushwa?
We umesoma comment yangu vizuri au wanzuki ya Jana haijakuisha kichwani?
 
Wanasimba wenzangu, nakubali kwamba huenda Inonga akawa na mzaha mwingi na over confidence, lakini suala la KUHONGWA haliwezi kuwa Na uhalisia wowote.

1. Yanga wana kikosi kizuri sana, na kwa hakika wamefanya investment ya maana ... Wana key players machachari sana ambao kocha akishajua namna bora zaidi ya kuwaposition balaa litakuwa ni kubwa na huenda tutafungwa na Yanga msimu mzima.

2. Nauliza, Simba imesajili Kiungo au Mshambuliaji gani wa maaana ambae anaweza kuleta matokeo kwenye impossible angles...... SSC haijawahi kuwa Serious kwenye usajili, wanadokoa dokoa kama kuku wa kienyeji halafu wanawekeza kwenye ma tangazo, matokeo yake mashabiki wanakuwa na expectation kubwa, ambapo uhalisia on the ground unakuwa ni oppposite.

Nabil alisema namtaka Aziz Ki, akaletewa, akasema Nataka Mayele abaki, akabakishwa, akasema nataka Djuma abaki, akabakishwa, Akasema yule Morrison namtaka , akaletewa.....sasa kwa quality Kama hii ya wachezaji, SSC unawezaji kupambana na Yanga ? Kama Yanga Jana ingekuwa makini kidogo, SSC angekula hata Goli 4. Yaani unamuweka Shabalala na Azizi, mtoto mbichi mwenye maono kwa kazi nzuri ya GSM .

3. SSC aliingia na Yanga kwenye battle ya Usajili dhidi ya Djuma wakafeli, wakaingia kwenye battle ya Azizi , wakafeli..... na wakafeli sababu wahindi wanapenda cheap, CHEAP is always expensive! Ni suala la muda


4. Yanga wapo serious na na wameanza kuelewa walikuwa wanakwama wapi , Na kwa hakika Yanga inaenda kuwa TISHIO, huku SSC ikijiaminisha wao ni wakubwa huku Yanga ataendelea kuprove kuwa that is wrong, SSC mpaka sasa hakuna mchezaji ambae ni tishio . Huyo Sakho Mwenyewe ni Overrated na hana team work !

5. Ukiangalia Yanga jana matukio yote yanaonesha these guys wana wachezaji walio na QUALITY , SSC endeleeni kuamini Chama Chama , mnafeli sana ....... ,

endeleeni kumsikiliza Mo Na Barba juu ya kuletewa wachezaji wa majaribio kama Mzungu. Mkija kuamka, mtajikuta mpo kwenye nafasi ya 4 kwenye ligi.

Mavikao ya CAF huko Arusha, Sio ishara ya ubora wa timu . Ni very soon Yanga anaingia kwenye nafasi yake ya Africa !
You said it all.
 
Wanasimba wenzangu, nakubali kwamba huenda Inonga akawa na mzaha mwingi na over confidence, lakini suala la KUHONGWA haliwezi kuwa Na uhalisia wowote.

1. Yanga wana kikosi kizuri sana, na kwa hakika wamefanya investment ya maana ... Wana key players machachari sana ambao kocha akishajua namna bora zaidi ya kuwaposition balaa litakuwa ni kubwa na huenda tutafungwa na Yanga msimu mzima.

2. Nauliza, Simba imesajili Kiungo au Mshambuliaji gani wa maaana ambae anaweza kuleta matokeo kwenye impossible angles...... SSC haijawahi kuwa Serious kwenye usajili, wanadokoa dokoa kama kuku wa kienyeji halafu wanawekeza kwenye ma tangazo, matokeo yake mashabiki wanakuwa na expectation kubwa, ambapo uhalisia on the ground unakuwa ni oppposite.

Nabil alisema namtaka Aziz Ki, akaletewa, akasema Nataka Mayele abaki, akabakishwa, akasema nataka Djuma abaki, akabakishwa, Akasema yule Morrison namtaka , akaletewa.....sasa kwa quality Kama hii ya wachezaji, SSC unawezaji kupambana na Yanga ? Kama Yanga Jana ingekuwa makini kidogo, SSC angekula hata Goli 4. Yaani unamuweka Shabalala na Azizi, mtoto mbichi mwenye maono kwa kazi nzuri ya GSM .

3. SSC aliingia na Yanga kwenye battle ya Usajili dhidi ya Djuma wakafeli, wakaingia kwenye battle ya Azizi , wakafeli..... na wakafeli sababu wahindi wanapenda cheap, CHEAP is always expensive! Ni suala la muda


4. Yanga wapo serious na na wameanza kuelewa walikuwa wanakwama wapi , Na kwa hakika Yanga inaenda kuwa TISHIO, huku SSC ikijiaminisha wao ni wakubwa huku Yanga ataendelea kuprove kuwa that is wrong, SSC mpaka sasa hakuna mchezaji ambae ni tishio . Huyo Sakho Mwenyewe ni Overrated na hana team work !

5. Ukiangalia Yanga jana matukio yote yanaonesha these guys wana wachezaji walio na QUALITY , SSC endeleeni kuamini Chama Chama , mnafeli sana ....... ,

endeleeni kumsikiliza Mo Na Barba juu ya kuletewa wachezaji wa majaribio kama Mzungu. Mkija kuamka, mtajikuta mpo kwenye nafasi ya 4 kwenye ligi.

Mavikao ya CAF huko Arusha, Sio ishara ya ubora wa timu . Ni very soon Yanga anaingia kwenye nafasi yake ya Africa !
👏👏👏👏 Umeongea kiufundi Sana na kimpira aswaaa, Sasa hivi yanga wanachokifanya ni kuwaonyesha kwa vitendo kwamba wako vizuri sana kuanzia ndani ya uwanja mpaka nje ya uwanja, habari za propaganda za kina babra na Ahmed Ally wamewaachia wao waendelee nazo lakini wao wameinvest uwanjani, unapobisha unajibiwa uwanjani full stop!
 
SSC wao wanasubiri wachezaji wa Bei chee, hapo hapo wanataka matokeo. Bado wana old ways of thinking ...... kuchukua wachezaji chipukizi kama Mikisoni kisha wakulie Simba na waje kuwauza. Hiyo ni old ways of thinking ....... Yanga wao walishajua makosa yao, now wanachukua wachezaji ambao ni ready made with experience , ndio hao kina Morison , Aziz , Djuma na wengineo

Mo anawatia ujinga snaa wanasimba
Mo na babra uwa wanawadanganya wachezaji wanaosajiliwa na Yanga ni wa mkopo na wanaamini
 
Sio kisa kumfunga Simba.. ww kolo huna kikosi Cha kujilinganisha na Yanga tena hata Kabla ya usajiri wa hawa Maprooh wapya wa5. Kwani Yanga kamfunga Simba safari hii tu.. ? Umepigwa mwakajana mechi kama hii, umepigwa FA, umepigwa juzi.. kwenye ligi una zaidi ya miaka mitatu hujamfunga Yanga. Sasa unakaaje ukajifananisha na Yanga, Yanga kawazidi sana sana sana.. Ninachokiona kwa Sasa mechi za Mtani Yanga hazimpi presha ndo maana hata mkitangulia kufunga anawagonga comeback.
Huyu Nabi si Kocha wa mchezomchezo.
Kocha ambaye hajashinda hata mechi moja ya kimataifa sasa kati ya simba na yanga nani haipi uzito derby kama sio simba ile derby ya ligi kuu simba alicheza akiwa kapumnzika siku mbili toka alipocheza kimataifa ila nyinyi mwezi mzima mnajiandaa wazee wa simba wameamua kuizarau yanga hawaipi kipaombele tena haiwezekani team imfunge al ahly na Kaizer chief waje wafungwe na wavuvi wa kigamboni think twice na hapo ndo mwisho wenu wa kujifariji subirini mcheze mechi mbili za kimataifa mrudi kigamboni mkacheze na friends rangers.
 
Kocha ambaye hajashinda hata mechi moja ya kimataifa sasa kati ya simba na yanga nani haipi uzito derby kama sio simba ile derby ya ligi kuu simba alicheza akiwa kapumnzika siku mbili toka alipocheza kimataifa ila nyinyi mwezi mzima mnajiandaa wazee wa simba wameamua kuizarau yanga hawaipi kipaombele tena haiwezekani team imfunge al ahly na Kaizer chief waje wafungwe na wavuvi wa kigamboni think twice na hapo ndo mwisho wenu wa kujifariji subirini mcheze mechi mbili za kimataifa mrudi kigamboni mkacheze na friends rangers.

Una feli kaka. Endelea kuamini Hivyo , ukija kustuka hata nafasi ya 3 utaikosa
 
Kocha ambaye hajashinda hata mechi moja ya kimataifa sasa kati ya simba na yanga nani haipi uzito derby kama sio simba ile derby ya ligi kuu simba alicheza akiwa kapumnzika siku mbili toka alipocheza kimataifa ila nyinyi mwezi mzima mnajiandaa wazee wa simba wameamua kuizarau yanga hawaipi kipaombele tena haiwezekani team imfunge al ahly na Kaizer chief waje wafungwe na wavuvi wa kigamboni think twice na hapo ndo mwisho wenu wa kujifariji subirini mcheze mechi mbili za kimataifa mrudi kigamboni mkacheze na friends rangers.
Sasa mbona mnalialia
 
Kocha ambaye hajashinda hata mechi moja ya kimataifa sasa kati ya simba na yanga nani haipi uzito derby kama sio simba ile derby ya ligi kuu simba alicheza akiwa kapumnzika siku mbili toka alipocheza kimataifa ila nyinyi mwezi mzima mnajiandaa wazee wa simba wameamua kuizarau yanga hawaipi kipaombele tena haiwezekani team imfunge al ahly na Kaizer chief waje wafungwe na wavuvi wa kigamboni think twice na hapo ndo mwisho wenu wa kujifariji subirini mcheze mechi mbili za kimataifa mrudi kigamboni mkacheze na friends rangers.
Hizi ndio akili za MBUMBUMBU sasa.
 
Kazi kweli ndo maana lucy aymel alituita nyani mashabiki wa Tanzania leo hapa kila mtu anakubali yanga team bora kisa kamfunga simba siku yanga akija kufungwa ndo utajua kwa nini wazungu wanatuona hatuna akili maana tunasahau haraka sana.
Punguza kuwapapatikia Wazungu. Haohao Wazungu wako wana misemo:
  • History is written by victors.
  • He who laughs last, laughs best!
 
This time ligi ni ngumu

Simba ajiangalie. SINGUDA BIG STARS HATARI FIRE
 
Unapodili na waswahili, utawaonyesha njia wanakudhihaki. Siku moja wakitumia njia yako wanakudharau na kukusema kuwa haujui unachokifanya. Yanga mna uswahili mwingi.
 
Kocha ambaye hajashinda hata mechi moja ya kimataifa sasa kati ya simba na yanga nani haipi uzito derby kama sio simba ile derby ya ligi kuu simba alicheza akiwa kapumnzika siku mbili toka alipocheza kimataifa ila nyinyi mwezi mzima mnajiandaa wazee wa simba wameamua kuizarau yanga hawaipi kipaombele tena haiwezekani team imfunge al ahly na Kaizer chief waje wafungwe na wavuvi wa kigamboni think twice na hapo ndo mwisho wenu wa kujifariji subirini mcheze mechi mbili za kimataifa mrudi kigamboni mkacheze na friends rangers.
Hilo ni kweli na mimi nimelisema hapa juzi juzi. Simba wanajua umuhimu wa kuishinda Yanga hasa kwa mashabiki wake ila hawaichukulii mechi hiyo kwa uzitooo sana kama zamani. Huu ndiyo ukweli. Mtazamo na malengo yao ni mengine kwa sasa. Yanga bado wanaikamia Simba halafu wanaenda kusumbuliwa na timu kama Polisi.
 
Kazi kweli ndo maana lucy aymel alituita nyani mashabiki wa Tanzania leo hapa kila mtu anakubali yanga team bora kisa kamfunga simba siku yanga akija kufungwa ndo utajua kwa nini wazungu wanatuona hatuna akili maana tunasahau haraka sana.
This is another Gorilla. Maelezo yote hayo umeona Yanga kumfunga Simba tu?
 
Sio kisa kumfunga Simba.. ww kolo huna kikosi Cha kujilinganisha na Yanga tena hata Kabla ya usajiri wa hawa Maprooh wapya wa5. Kwani Yanga kamfunga Simba safari hii tu.. ? Umepigwa mwakajana mechi kama hii, umepigwa FA, umepigwa juzi.. kwenye ligi una zaidi ya miaka mitatu hujamfunga Yanga. Sasa unakaaje ukajifananisha na Yanga, Yanga kawazidi sana sana sana.. Ninachokiona kwa Sasa mechi za Mtani Yanga hazimpi presha ndo maana hata mkitangulia kufunga anawagonga comeback.
Huyu Nabi si Kocha wa mchezomchezo.

Maelezo yako yamekosa mantiki pale uliposema kwenye Ligi Simba hajamfunga Yanga, kwa hiyo kipimo chako ni Simba kutomfunga Yanga kwa sababu ya nguvu kubwa ambazo Yanga hutumia dhidi ya Simba, na hilo limefhihirika huko nyuma ambapo Simba imechukua vikombe vyote lakini haikuifunga Yanga labda mara chache kama zile 4-1 msimu fulani kama miwili au mitatu iliyopita. Kiubora Yanga wamejitahidi, lakini makosa ya mechi ya juzi huwez kusema Simba ni mbovu kiivyo dhidi ya Yanga. Chemistry ya Simba haijapata muunganiko, wakati Yanga ni kikosi cha msimu uliopita na nyongeza kiasi ya wachezaji huku Mwalim akiwa ni Nabi ambaye amekua na team kwa misimu mitatu sasa, ambapo hata Nabi mwanzoni wakati anaingia Yanga alikua wa kawaida sana, sema baada ya muda anawnza kuonekana.
Yote kwa yote, Yanga anakamia lakini anafungika vizuri kabisa. Jana kashinda 2-1 dhidi ya polisi, hiyo inakupa picha anafungika vizuri tu! Huo uzuri unaotajwa hapa ni kukuza jambo bila kuakisi uhalisia.

Ni kweli kibongobongo Yanga ya sasa ime improve, lakini haitishi kabisa! Hivi magoli yale mepesi waliyofungwa Simba ni kwa sababu Yanga ni bora sana? Ni big No, ni kwa sababu ya makosa katika mchezo. Yanga wanapata kuongea kwa sababu ya makosa ambayo Simba waliyafanya kipindi cha pili. Lakini pia team ya Yanga, bado iko na uswahili mwingi sana, angalia geti walilotumia kupita wakati wanaingia uwanjani, purely un professional. Kimataifa sijui watafanya hivyo? Simba ijiepushe na mambo ya namna hii ya hovyo.
Kando ya hapo, hata wakati Simba ikiwa bora ilishafungwa na Kagera sugar pale Taifa, imefungwa na Prison kule Mbeya nk. Kufungwa ni mchezo, lakini hata ukifanya tathmini, mechi za ngao ya jamii bado ni kama Pre Season, team bado haziwi timamu( fitness).
Kwa hiyo, hoja yako imekaa kishabiki zaidi badala ya Critical Scientific Analysis.
 
Maelezo yako yamekosa mantiki pale uliposema kwenye Ligi Simba hajamfunga Yanga, kwa hiyo kipimo chako ni Simba kutomfunga Yanga kwa sababu ya nguvu kubwa ambazo Yanga hutumia dhidi ya Simba, na hilo limefhihirika huko nyuma ambapo Simba imechukua vikombe vyote lakini haikuifunga Yanga labda mara chache kama zile 4-1 msimu fulani kama miwili au mitatu iliyopita. Kiubora Yanga wamejitahidi, lakini makosa ya mechi ya juzi huwez kusema Simba ni mbovu kiivyo dhidi ya Yanga. Chemistry ya Simba haijapata muunganiko, wakati Yanga ni kikosi cha msimu uliopita na nyongeza kiasi ya wachezaji huku Mwalim akiwa ni Nabi ambaye amekua na team kwa misimu mitatu sasa, ambapo hata Nabi mwanzoni wakati anaingia Yanga alikua wa kawaida sana, sema baada ya muda anawnza kuonekana.
Yote kwa yote, Yanga anakamia lakini anafungika vizuri kabisa. Jana kashinda 2-1 dhidi ya polisi, hiyo inakupa picha anafungika vizuri tu! Huo uzuri unaotajwa hapa ni kukuza jambo bila kuakisi uhalisia.

Ni kweli kibongobongo Yanga ya sasa ime improve, lakini haitishi kabisa! Hivi magoli yale mepesi waliyofungwa Simba ni kwa sababu Yanga ni bora sana? Ni big No, ni kwa sababu ya makosa katika mchezo. Yanga wanapata kuongea kwa sababu ya makosa ambayo Simba waliyafanya kipindi cha pili. Lakini pia team ya Yanga, bado iko na uswahili mwingi sana, angalia geti walilotumia kupita wakati wanaingia uwanjani, purely un professional. Kimataifa sijui watafanya hivyo? Simba ijiepushe na mambo ya namna hii ya hovyo.
Kando ya hapo, hata wakati Simba ikiwa bora ilishafungwa na Kagera sugar pale Taifa, imefungwa na Prison kule Mbeya nk. Kufungwa ni mchezo, lakini hata ukifanya tathmini, mechi za ngao ya jamii bado ni kama Pre Season, team bado haziwi timamu( fitness).
Kwa hiyo, hoja yako imekaa kishabiki zaidi badala ya Critical Scientific Analysis.
Hakuna hoja ya kishabiki hapo huo wote ni ukweli, kwani Kuna mtu asiyejua kuwa makosa tena madogo kabisa ndo yanaghalim team.?
Kosa lako ndo goli la mwenzio na Kila mahali iko hvyo..
Tuje kwenye magoli, naona umejifanya kuya-undermine magoli waliyofungwa Makolo ni dhaifu Sawa, Sasa team kubwa kama Simba inakuwaje inaruhusu kufungwa magoli dhaifu tena yakianza kupita kwenye matobo ya wachezaji...Halafu kama mmeona kuruka ukuta kwa Yanga kunawanufaisha nanyi si Mruke ili mshinde kama Mlivyowasha moto kule SA na bado mkala za Uso.

Tukutane tena kwenye Ligi tar 23 October Ila Suala la kuifunga Yanga msahau miaka hii, Hadi Mama anaachia hii nchi
 
Back
Top Bottom