Hakuna cha hujuma, Yanga wapo serious na wanamaanisha kazi kazi

Mbumbu bana, unajua moja ya malengo ya kocha wenu aliyopewa ni kushinda ngao ya jamii, ligi kuu na fa? Au sasa hivi imeamua kurudi kinyume nyume hakawii baadaye kusema maleo yao ilikuwa ni kuijenga timu kwa ajili ya 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…