Hilo ni kweli na mimi nimelisema hapa juzi juzi. Simba wanajua umuhimu wa kuishinda Yanga hasa kwa mashabiki wake ila hawaichukulii mechi hiyo kwa uzitooo sana kama zamani. Huu ndiyo ukweli. Mtazamo na malengo yao ni mengine kwa sasa. Yanga bado wanaikamia Simba halafu wanaenda kusumbuliwa na timu kama Polisi.