technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Wydad hamna timu mle , Simba walizembea Kwa mkapaSimba tengenezeni timu timu ni ya kuunga unga Sana na wazee ni wengi kwenye timu
Haya mambo ya tumetolewa kiume ni utoto jengeni timu ya kushindana haswa mlitakiwa kupata goli ugenini kuua game kabisa leo sema kikosi hakuna tuwe wakweli!!
Ligi ya mabingwa inahitaji uwekezaji karibuni tena mwakani!!
Ndiyo tumetolewa kiume maana mlikuwa mmetuhesabia goli nyingi hata hamkutaraji tufike kwenye matuta.Simba tengenezeni timu timu ni ya kuunga unga Sana na wazee ni wengi kwenye timu
Haya mambo ya tumetolewa kiume ni utoto jengeni timu ya kushindana haswa mlitakiwa kupata goli ugenini kuua game kabisa leo sema kikosi hakuna tuwe wakweli!!
Ligi ya mabingwa inahitaji uwekezaji karibuni tena mwakani!!
Huku hawawezi kufurukuta hawaMlitolewa huku mapema tu mkaangukia shirikisho mtulie.....
Ndo mpaki bus sasa ..mnge funguka kama kawaida muone motoWydad hamna timu mle , Simba walizembea Kwa mkapa
[emoji23][emoji23][emoji23] eti Kombe letu ni la Mapinduzi! Tutachukua mpaka la Azam Confederationsisi kama wazalendo tumehudhunishwa sana na haya matokeo lkn ......tujipambe na kombe la Azam confederation cup na
Sisi Simba level yetu ni kombe letu la mapinduzi tu
Imani tumeilinda, tumepiga vita vizuriMwendo mmeumaliza
Ni aibu kubwa kuambiwa utapigwa na kupigwa kweli. Huko iliko Kolo fc si kwake , sehemu sahihi kwa Simba ni mapinduzi cup! Huwa inatakata kweli kweli!Huku hawawezi kufurukuta hawa
Hao hao walikupiga 2, kama ni ingekuwa mimba basi wiki hii ingeonekana kwenye UPT.Simba tengenezeni timu timu ni ya kuunga unga Sana na wazee ni wengi kwenye timu
Ulivyofika matuta ukatinga nusu fainali kijana wa rage! Watu wanaangalia kutimiza malengo wewe unaleta hadithi za abunwasi hapa,Ndiyo tumetolewa kiume maana mlikuwa mmetuhesabia goli nyingi hata hamkutaraji tufike kwenye matuta.