Hakuna cha kufungwa kiume kichapo ni kichapo tu

Hakuna cha kufungwa kiume kichapo ni kichapo tu

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Simba tengenezeni timu timu ni ya kuunga unga Sana na wazee ni wengi kwenye timu

Haya mambo ya tumetolewa kiume ni utoto jengeni timu ya kushindana haswa mlitakiwa kupata goli ugenini kuua game kabisa leo sema kikosi hakuna tuwe wakweli!!

Ligi ya mabingwa inahitaji uwekezaji karibuni tena mwakani!!
 
Simba tengenezeni timu timu ni ya kuunga unga Sana na wazee ni wengi kwenye timu

Haya mambo ya tumetolewa kiume ni utoto jengeni timu ya kushindana haswa mlitakiwa kupata goli ugenini kuua game kabisa leo sema kikosi hakuna tuwe wakweli!!

Ligi ya mabingwa inahitaji uwekezaji karibuni tena mwakani!!
Wydad hamna timu mle , Simba walizembea Kwa mkapa
 
Simba tengenezeni timu timu ni ya kuunga unga Sana na wazee ni wengi kwenye timu

Haya mambo ya tumetolewa kiume ni utoto jengeni timu ya kushindana haswa mlitakiwa kupata goli ugenini kuua game kabisa leo sema kikosi hakuna tuwe wakweli!!

Ligi ya mabingwa inahitaji uwekezaji karibuni tena mwakani!!
Ndiyo tumetolewa kiume maana mlikuwa mmetuhesabia goli nyingi hata hamkutaraji tufike kwenye matuta.
 
sisi kama wazalendo tumehudhunishwa sana na haya matokeo lkn ......tujipambe na kombe la Azam confederation cup na



Sisi Simba level yetu ni kombe letu la mapinduzi tu
 
sisi kama wazalendo tumehudhunishwa sana na haya matokeo lkn ......tujipambe na kombe la Azam confederation cup na



Sisi Simba level yetu ni kombe letu la mapinduzi tu
[emoji23][emoji23][emoji23] eti Kombe letu ni la Mapinduzi! Tutachukua mpaka la Azam Confederation
 
Waarabu walichelewesha ili watu waendelee kuchek game na wakubet waendelee game ikiwa on
 
Ndiyo tumetolewa kiume maana mlikuwa mmetuhesabia goli nyingi hata hamkutaraji tufike kwenye matuta.
Ulivyofika matuta ukatinga nusu fainali kijana wa rage! Watu wanaangalia kutimiza malengo wewe unaleta hadithi za abunwasi hapa,
 
"Hakuna kuliwa kwa mbinde! Ukiliwa - Umeliwa"
 
Back
Top Bottom