Hakuna cha sijui 'Bakabaka Day' wala nini, ukweli ni kwamba tumeitwa Zanzibar na Waganga wetu ili tukaroge kwa Kufuru na Mwarabu afe 2/12/2023

Hakuna cha sijui 'Bakabaka Day' wala nini, ukweli ni kwamba tumeitwa Zanzibar na Waganga wetu ili tukaroge kwa Kufuru na Mwarabu afe 2/12/2023

Cognizant

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
626
Reaction score
1,409
Na milichokisahau tu ni kwamba kiuchawi na kwa dua hamuwaweza waarabu hivyo mnapoteza mno muda wenu

Pia labda niwasaidieni tu kwa kuwaambia kuwa kama ni kufanya michezo michafu (ya nje ya uwanja) hao waarabu ndiyo walimu hivyo hamtowaweza

Na msisahau kuwa hata mliowafunga kwa mtindo wa tigo pesa (5/11/2023) nao wana ushirikiano wa kirafiki na hawa waarabu hivyo watawaambia mengi juu yenu hovyo na wao kujua watawakwepa vipi

Nisalimieni sana mganga wenu wa mlandege (atakayesaidiana na yule dada wa tegeta mwenye ziwa moja na wa kundi ambaye pia ni mjomba wake kiongozi wa wanachama wa klabu inayoteseka na kipigo kitakatifu cha tarehe 5 novemba, 2023 ) ambaye atawapeni jini kali la kupambana na majini wengi wa waarabu na ambaye pia atampa mchezaji wenu bakabaka hirizi ya kuibeba kwakuwa kinyota siku hiyo yake iko vyema na kuweza kuisaidia timu
 
na milichokisahau tu ni kwamba kiuchawi na kwa dua hamuwaweza waarabu hivyo mnapoteza mno muda wenu

pia labda niwasaidieni tu kwa kuwaambia kuwa kama ni kufanya michezo michafu (ya nje ya uwanja) hao waarabu ndiyo walimu hivyo hamtowaweza

na msisahau kuwa hata mliowafunga kwa mtindo wa tigo pesa (5/11/2023) nao wana ushirikiano wa kirafiki na hawa waarabu hivyo watawaambia mengi juu yenu hovyo na wao kujua watawakwepa vipi

nisalimieni sana mganga wenu wa mlandege (atakayesaidiana na yule dada wa tegeta mwenye ziwa moja na wa kundi ambaye pia ni mjomba wake kiongozi wa wanachama wa klabu inayoteseka na kipigo kitakatifu cha tarehe 5 novemba, 2023 ) ambaye atawapeni jini kali la kupambana na majini wengi wa waarabu na ambaye pia atampa mchezaji wenu bakabaka hirizi ya kuibeba kwakuwa kinyota siku hiyo yake iko vyema na kuweza kuisaidia timu
Sawa Mkuu Genta

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Wewe kama nani yani? Unawaaminisha wanaume kuwa hawawezi ilihali ata hawajajaribu kufanya.

Walio lalamika jusizi kati hapo ni Akina nani kwamba walifungwa Kwa sababu ya Black magic sio waarabu wale ama?
 
na milichokisahau tu ni kwamba kiuchawi na kwa dua hamuwaweza waarabu hivyo mnapoteza mno muda wenu

pia labda niwasaidieni tu kwa kuwaambia kuwa kama ni kufanya michezo michafu (ya nje ya uwanja) hao waarabu ndiyo walimu hivyo hamtowaweza

na msisahau kuwa hata mliowafunga kwa mtindo wa tigo pesa (5/11/2023) nao wana ushirikiano wa kirafiki na hawa waarabu hivyo watawaambia mengi juu yenu hovyo na wao kujua watawakwepa vipi

nisalimieni sana mganga wenu wa mlandege (atakayesaidiana na yule dada wa tegeta mwenye ziwa moja na wa kundi ambaye pia ni mjomba wake kiongozi wa wanachama wa klabu inayoteseka na kipigo kitakatifu cha tarehe 5 novemba, 2023 ) ambaye atawapeni jini kali la kupambana na majini wengi wa waarabu na ambaye pia atampa mchezaji wenu bakabaka hirizi ya kuibeba kwakuwa kinyota siku hiyo yake iko vyema na kuweza kuisaidia timu
Yanga inafahamika imeenda zanzibar kulohga baada ya mchawi wao kutoka sumbawanga kushindwa kuwapa ushindi mechi ya kwanza.
 
Tumebakiwa na wapumbavu wachache sana ambao bado mpaka sasa wanaamini kwenye mpira ni ushirikina na watu kama nyie ndio mnaoturidisha nyuma. Yanga huko alishatoka kitambo, wewe na timu lako endeleeni kuhangaika huko kwenye ushirikina wenu
 

Attachments

  • F6kGqZLXMAATAgq.jpeg
    F6kGqZLXMAATAgq.jpeg
    28 KB · Views: 3
Tumebakiwa na wapumbavu wachache sana ambao bado mpaka sasa wanaamini kwenye mpira ni ushirikina na watu kama nyie ndio mnaoturidisha nyuma. Yanga huko alishatoka kitambo, wewe na timu lako endeleeni kuhangaika huko kwenye ushirikina wenu
Ndio vilabu vya Dar es salaam, Yanga wamewekeza kwenye ulozi kuliko mazoezi.
Wewe una meci kubwa siku 5 zijazo badala ya kudeal na afya na saikolojia ya wachezaji wewe unaleta waganga toka kila kona ya nchi ili ushinde.

Yanga imekuwa kama wanasiasa, ikifika karibu na chaguzi makafara kila kona ,
 
Ndio vilabu vya Dar es salaam, Yanga wamewekeza kwenye ulozi kuliko mazoezi.
Wewe una meci kubwa siku 5 zijazo badala ya kudeal na afya na saikolojia ya wachezaji wewe unaleta waganga toka kila kona ya nchi ili ushinde.

Yanga imekuwa kama wanasiasa, ikifika karibu na chaguzi makafara kila kona ,
Endeleeni kusambaza propaganda uchwara. Kama uchawi ungekua unafaidisha basi Yanga angechukua CAF Confederations kwa kushinda mechi ya nyumbani. Haya mambo nyie komaeni nayo makolo maana hakuna mnaloweza kulifanikisha msimu huu zaidi ya ulozi, Eeeh ndilo mnaloliweza kwa sasa ila nawashauri badilikeni mtakuja kushtuka mmeachwa mbali
 
Endeleeni kusambaza propaganda uchwara. Kama uchawi ungekua unafaidisha basi Yanga angechukua CAF Confederations kwa kushinda mechi ya nyumbani. Haya mambo nyie komaeni nayo makolo maana hakuna mnaloweza kulifanikisha msimu huu zaidi ya ulozi, Eeeh ndilo mnaloliweza kwa sasa ila nawashauri badilikeni mtakuja kushtuka mmeachwa mbali
Hujui hata kusoma kiswahili?
nimekwambia Walienda na mchawi toka Sumbawanga kule KwaMwarabu na wakala 3 kavu, ,,,,,wamemkacha jamaa na Sasa wanaenda kusaka uchawi wa Zanzibar.
Hapo huelewi nini?
 
Hujui hata kusoma kiswahili?
nimekwambia Walienda na mchawi toka Sumbawanga kule KwaMwarabu na wakala 3 kavu, ,,,,,wamemkacha jamaa na Sasa wanaenda kusaka uchawi wa Zanzibar.
Hapo huelewi nini?
Hizi propaganda zako wapelekee makolo wenzako. Sasa kama umetumia uchawi haujakufaidisha bado uendelee kukomaa nao wa nini?🤣🤣

Nakusindikiza wewe na makolo five wenzako na kibao cha Young Lunya~Stupid
 

Attachments

Back
Top Bottom