...vile vile tunaomba yanga ifungwe kesho kutwa mtutolee ujinga wenu kulee!Leo sisalimii mtu.
Naona kuna kampeni ya kihuni imeanzishwa kwamba as a country kuna solidarity when it comes to supporting Simba na Yanga kwenye CAFCL. Huu ni uhuni. Hakuna solidarity.
Sisi Yanga hatuwaombei mema Simba na hao simba hawatuombei mema Yanga.
HAKUNA CHA SOLIDARITY, DUA ZETU ZOTE TUNAOMBA SIMBA AFUNGWE KESHO. MTUTOLEE UPUMBAVU HUKO.
Mathalani, in England Arsenal anacheza na bayern quarter final ila hakuna shabiki wa Chelsea wa England anayoiombea mema Arsenal. Rivarly ipo pale pale. Mtutolee ujinga hapa.
Sisi na solidarity hatuwezi kukaa kwenye sentence moja. Liwaziri lenu ambalo ni simba damu damu ndo limeanzisha huu ujinga.kwan walio leta solidarity sio nyie au mnajitoa ufahamu
Mimi siwezi kwenda nusu fainali na timu imejaza kina Pa omary Jobe. Simba apigwe nyingi kesho.Kamishna wa mchezo nadhani ni mkenya yule kwa Simba na Ahly alisema Tanzania imebarikiwa kuwa na hii celebration hasa kwa wakati huu wa siku kuu
Ingawa mi ni shabiki wa yanga ila napenda wote twende mbele
Na sisi hatuwezi kufanya solidarity na michawi ya zanzibar huko. Mechi na al ahly iliyoshuka kiwango ila team imekazana kweli kweli huko zanzibar kufanya kila aina ya ushirikina.Solidarity namjingahh🤣🤣never hatufungaman na kijan ni wajingah
Hapo sasa ndo umeongea, kila mtu ashinde mechi zake, hatutaki mambo ya solidarity hapa na ubani tunawachomea usiku kucha mfungwe.Sasa nani anataka usolidarity na wewe...tukifungwa na nyie tutahakikisha mnafungwa...
Yaani kesho hamna hamna mnapigwa 4....vile vile tunaomba yanga ifungwe kesho kutwa mtutolee ujinga wenu kulee!
Ni kweli kabisa Hakuna cha Solidarity ni ujinga kabisa huu. Kwanza Solidarity huwa inahitajika pale nchi ilipo kwenye matatizo kama vile vita. Simba ifungwe tu keshoLeo sisalimii mtu.
Naona kuna kampeni ya kihuni imeanzishwa kwamba as a country kuna solidarity when it comes to supporting Simba na Yanga kwenye CAFCL. Huu ni uhuni. Hakuna solidarity.
Sisi Yanga hatuwaombei mema Simba na hao simba hawatuombei mema Yanga.
HAKUNA CHA SOLIDARITY, DUA ZETU ZOTE TUNAOMBA SIMBA AFUNGWE KESHO. MTUTOLEE UPUMBAVU HUKO.
Mathalani, in England Arsenal anacheza na bayern quarter final ila hakuna shabiki wa Chelsea wa England anayoiombea mema Arsenal. Rivarly ipo pale pale. Mtutolee ujinga hapa.
Waziri aambiwe ukweli, kesho sis ni Al ahly mwanzo mwisho.Ni kweli kabisa Hakuna cha Solidarity ni ujinga kabisa huu. Kwanza Solidarity huwa inahitajika pale nchi ilipo kwenye matatizo kama vile vita. Simba ifungwe tu kesho
Mjinga ni wewe usiyekubaliana na mawazo ya Wengine. Baki na ushabiki wako na hayo mawazo na maoni yako hayawezi kubadili ChochoteMathalani, in England Arsenal anacheza na bayern quarter final ila hakuna shabiki wa Chelsea wa England anayoiombea mema Arsenal. Rivarly ipo pale pale. Mtutolee ujinga hapa.
Mdogoh wangu mie Nina alegy na yangahNa sisi hatuwezi kufanya solidarity na michawi ya zanzibar huko. Mechi na al ahly iliyoshuka kiwango ila team imekazana kweli kweli huko zanzibar kufanya kila aina ya ushirikina.
Hapana twende pamoja nusu final kumbuka team zetu mbili ndio zimepangwa na magwiji kwa namna flani unaweza dhani ni hiyana tuungane tukiitoa hii miamba majina ya team zetu na nchi zitaimbwa kwa mwaka mzima kutoka Cairo hadi PretoriaMimi siwezi kwenda nusu fainali na timu imejaza kina Pa omary Jobe. Simba apigwe nyingi kesho.
Wakome kabisa....[emoji41]Leo sisalimii mtu.
Naona kuna kampeni ya kihuni imeanzishwa kwamba as a country kuna solidarity when it comes to supporting Simba na Yanga kwenye CAFCL. Huu ni uhuni. Hakuna solidarity.
Sisi Yanga hatuwaombei mema Simba na hao simba hawatuombei mema Yanga.
HAKUNA CHA SOLIDARITY, DUA ZETU ZOTE TUNAOMBA SIMBA AFUNGWE KESHO. MTUTOLEE UPUMBAVU HUKO.
Mathalani, in England Arsenal anacheza na bayern quarter final ila hakuna shabiki wa Chelsea wa England anayoiombea mema Arsenal. Rivarly ipo pale pale. Mtutolee ujinga hapa.
Hahahaha.... Kabisa hatuna mda wa kuyashabikia hayo Mapumbavu.Waziri aambiwe ukweli, kesho sis ni Al ahly mwanzo mwisho.